CHADEMA ipo mbioni kugomea uchaguzi wa serikali za mtaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025. Katiba na muundo wa tume ya uchaguzi vyatajwa

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Baada ya CCM kuendelea kushikilia msimamo wao wa kuteua wasimamizi wa uchaguzi nchini; Chadema kipo mbioni kujitoa kwenye uchaguzi hadi pale tutakapokubali kuwa na tume huru.

Kwa muundo wa vyama vya upinzani Tanzania ,chadema ikijitoa hakutakuwa na uchaguzi badala yake tutarudi kwenye bunge la chama kimoja. Lakini pia hali hii itawagawa wananchi kama ambavyo nyufa za kukosekana haki zinaonekana kwa sasa

Je, CCM watatumia mbinu gani kukwepa huu mtego ikiwa waliyapuuza maridhiano? Je watafanya siasa wenyewe kama wanavyofanya sasa?
 
Baada ya CCM kuendelea kushikilia msimamo wao wa kuteua wasimamizi wa uchaguzi nchini; Chadema kipo mbioni kujitoa kwenye uchaguzi hadi pale tutakapokubali kuwa na tume huru.

Kwa muundo wa vyama vya upinzani Tanzania ,chadema ikijitoa hakutakuwa na uchaguzi badala yake tutarudi kwenye bunge la chama kimoja. Lakini pia hali hii itawagawa wananchi kama ambavyo nyufa za kukosekana haki zinaonekana kwa sasa

Je, CCM watatumia mbinu gani kukwepa huu mtego ikiwa waliyapuuza maridhiano? Je watafanya siasa wenyewe kama wanavyofanya sasa?
Mimi mwenyekiti wa UDP na mwenzangu Zitto tunaingia kwenye uchaguzi kama kawaida. Case closed
 
Haiwezekani marefarii nao wawe CCM FC mechi gani sasa hiyo bora kuachana na huu ulaghai.

Hakuna kupiga kura kupiga kura ni kuhalalisha ujinga wa CCM.

Ni kuwaandikia Western Donors barua wapige stop misaada.
Wajinga ndo waliwao. Mbowe keshamaliza kujenga Gorofa. Nyie Nyumbu suseni tu watashiriki wengine
 
Baada ya CCM kuendelea kushikilia msimamo wao wa kuteua wasimamizi wa uchaguzi nchini; Chadema kipo mbioni kujitoa kwenye uchaguzi hadi pale tutakapokubali kuwa na tume huru.

Kwa muundo wa vyama vya upinzani Tanzania ,chadema ikijitoa hakutakuwa na uchaguzi badala yake tutarudi kwenye bunge la chama kimoja. Lakini pia hali hii itawagawa wananchi kama ambavyo nyufa za kukosekana haki zinaonekana kwa sasa

Je, CCM watatumia mbinu gani kukwepa huu mtego ikiwa waliyapuuza maridhiano? Je watafanya siasa wenyewe kama wanavyofanya sasa?
Si kugomea tu,

Time hii Tuhakikishe uchaguzi wa maigizo haufanyiki kabisa.

Na Mungu awe upande wetu,

Sababu Mungu pia hapendi wizi wa kura.

Mungu ni Mungu wa KWELI na HAKI.

Amen
 
Baada ya CCM kuendelea kushikilia msimamo wao wa kuteua wasimamizi wa uchaguzi nchini; Chadema kipo mbioni kujitoa kwenye uchaguzi hadi pale tutakapokubali kuwa na tume huru.

Kwa muundo wa vyama vya upinzani Tanzania ,chadema ikijitoa hakutakuwa na uchaguzi badala yake tutarudi kwenye bunge la chama kimoja. Lakini pia hali hii itawagawa wananchi kama ambavyo nyufa za kukosekana haki zinaonekana kwa sasa

Je, CCM watatumia mbinu gani kukwepa huu mtego ikiwa waliyapuuza maridhiano? Je watafanya siasa wenyewe kama wanavyofanya sasa?

Tofautisha kugomea na kuusimamisha uchaguzi
 
Baada ya CCM kuendelea kushikilia msimamo wao wa kuteua wasimamizi wa uchaguzi nchini; Chadema kipo mbioni kujitoa kwenye uchaguzi hadi pale tutakapokubali kuwa na tume huru.

Kwa muundo wa vyama vya upinzani Tanzania ,chadema ikijitoa hakutakuwa na uchaguzi badala yake tutarudi kwenye bunge la chama kimoja. Lakini pia hali hii itawagawa wananchi kama ambavyo nyufa za kukosekana haki zinaonekana kwa sasa

Je, CCM watatumia mbinu gani kukwepa huu mtego ikiwa waliyapuuza maridhiano? Je watafanya siasa wenyewe kama wanavyofanya sasa?
Heri kukosa yote kuliko kuambulia makombo ya fisadi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mavyama yalivyo mengi, wasuse twala
Mi naona tutakua tunapiga mark time, CHADEMA watumie mbinu zozote njema,uchaguzi usifanyike ili pesa ambazo zingetumika kuwalipa kada wa CCM wanaotakiwa kusimamia chaguzi na kutangaza matokeo kwa kufuata maelekezo ya waliowateua,zitumike hata kuajiri wahitimu wa vyuo mbalimbali,ili walau majobless tupungue mitaani.Haina haja,kuingia kwenye uchaguzi ambao matokeo yake ni predictable.
 
Baada ya CCM kuendelea kushikilia msimamo wao wa kuteua wasimamizi wa uchaguzi nchini; Chadema kipo mbioni kujitoa kwenye uchaguzi hadi pale tutakapokubali kuwa na tume huru.

Kwa muundo wa vyama vya upinzani Tanzania ,chadema ikijitoa hakutakuwa na uchaguzi badala yake tutarudi kwenye bunge la chama kimoja. Lakini pia hali hii itawagawa wananchi kama ambavyo nyufa za kukosekana haki zinaonekana kwa sasa

Je, CCM watatumia mbinu gani kukwepa huu mtego ikiwa waliyapuuza maridhiano? Je watafanya siasa wenyewe kama wanavyofanya sasa?
Wasuse tu.....!
 
Wanaiomba CCM ibadili katiba na sheria za uchaguzi ambazo zinaibeba CCM yenyewe...ungekuwa ww ndio unaongoza CCM ungekubali?...ushauri wangu kwa chadema wakubali kuwa hamas kwa baadae
 
Chadema ikigomea uchaguzi ACT atapewa majimbo kadhaa ya kupitisha wagonbea wake kwa mkono wa dola na Kisha kuwa wabunge. Halafu watapewa viti maalumu vya kutosha. Halafu akina Halima Mdee wataapishwa tena na kuwa wabunge .
Ikiwa hivyo, itakuwa ni ngumu kwa chadema kuishawishi dunia kuwa tume siyo huru.

Wa kuamulia ugomvi na ushubwada huu ni wananchi kuamka na kuamua kuchapana na ccm na ikibidi kuuana. Bila hivyo ccm itacheza na uchaguzi mpk mwisho wa dunia.
 
Wanaiomba CCM ibadili katiba na sheria za uchaguzi ambazo zinaibeba CCM yenyewe...ungekuwa ww ndio unaongoza CCM ungekubali?...ushauri wangu kwa chadema wakubali kuwa hamas kwa baadae
Watafute wafia chama wakipiganie...vinginevyo hawatapata dola kamwe....hakuna wa kuwaachia dola hata kidogo

Wafanye kama nchi zingine....vyama vikigombana ...jeshi litaiweka pembeni katiba...kwa CCM ilihitajika miaka 10 tu kutoka madarakani...ila uvivu wa chadema...

Mara ukabila chama kiwe cha wachaga tu...mara mwenyekiti awe mmoja tu wa maisha....mara watumbue fedha za ruzuku...chadema ni chama ambacho hakina miundo mbinu...

Nionyeshe viwanja vikubwa vya chadema vinavyo hudumia wananchi?...nionyeshe offisi za chadema ambazo vijana wanaweza pewa ajira za kudumu kama makatibu na offices attendat?....nioyeshe soko la chadema la wakulima?...nionyeshe hospitali kubwa ya chadema ya kuhudumia watu...... nioneshe taasisi ya fedha kubwa ya chadema.... nioneshe vyombo vya habari vya chadema..... vyote hivyo..hakuna...vyama havina ushindani kwenye maendeleo...ni ujinga tu ndio vimekalia...hakuna viwanda...hakuna vyuo vya mafunzo vya chama.

Hivi kwa mwendo huo chama kitapewa dola kwa kufa na kupona? Jinga sana..
 
Back
Top Bottom