Kwa hiyo nyinyi CDM mkishinda mmetendewa haki,mkishindwa hamkutendewa haki mtasubili sana! KIDUMU CHAMA TAWALA CHA CCM.
Hata mimi nimekuwa na nitaendelea kuwashangaa sana hawa vilaza wa Chadema, yani wao sijui wanataka washinde tu hata sehemu ambayo wameshindwa. Safi sana Le Mtuz kwa uzi bomba uliotulia.
.
"Ama kweli CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".