Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
malecela naona bado una stress za mamilioni uliyo yatoa uliushinde ubunge wa afrika mashariki.. Je unataka chadema kihoji hata pale haki inapotondeka? Au unataka tuandamane kuwa pongeza noooooooooo ni jukumu lao kuhakikisha haki inatendeka na si vingevyo halafu kumbuka chadema ni chama cha siasa, ukitaka kuona utumbo unaofanywa na mahakama zetu chukua hukumu ya godblless lema na ya huyo mwizi mwezeko, nikuhakikishie kati ya kesi zilizo kuwa wazi kabisa ni ya huyu fisadi mwenzako ni afadhali sumbawanga mngetuchakachua......- kuhoji unaposhindwa tu kwa chama kikubwa cha siasa kama cha chadema, inaleta maswali mengi sana kuliko majibu on nia na madhumuni yao kwa taifa!
William.