CHADEMA & Kushindwa: The Future!

CHADEMA & Kushindwa: The Future!

Acha kutoa pumba.... Huna chochote-si-lolote!!! Redi NY mshikaji tuendelee kusukuma box ooop kuendesha malori. Huiwezi siasa weee... Elimu huna umebaki kuwa ndumila kuwili.
 
Sometimes ingekuwa bora kama ungechangia threads za members wengine pia.
Acha uselfish. Tutakuwa tunachangia tuu threads zako mpaka lini?
Be interactive.
 
Sometimes ingekuwa bora kama ungechangia threads za members wengine pia.
Acha uselfish. Tutakuwa tunachangia tuu threads zako mpaka lini?
Be interactive.

- Hoja bro wachana na mimi, cause hutaweza kunimaliza hoja kwa taifa kwanza!

William.
 
Kwa shilingi 2000 za kitanzania unaweza ukapata hukumu na proceeding zote za kesi.
Hebu nenda kaombe ya kesi ya Lema Arusha. Utachanganyikiwa ndugu yangu. Omba na ya juzi ya segerea utachoka!! Tatizo ni mhimili wa mahakama kuingiliwa na DOLA. Miye nadhani ungeleta UZI wa madhara yanayoweza kutokea kama hali hiyo ikiendelea. Ni KWELI bila utawala wa sheria hakuna utawala au NCHI HAITAWALIKI.
Nipo hapa Nairobi wanaapisha upya majaji na wanafuatilia historia za maamuzi waliyofanya na wengine wakubwa kabisa wamefukuzwa!!. Mchakato huu uko Objective kwa sababu dola imewekwa kando na wachambuzi wanatoka sehemu mbalimbali za dunia.
Swali je mchakato ukija kwetu ni Jaji yupi atakapona? Jaji mkuu aliyepita Augustino Ramadhani amekiri waziwazi amewahi kushinikizwa na dola kufanya maamuzi ya kuipendelea DOLA!!

- Umesikika sana!

William.
 
Acha kutoa pumba.... Huna chochote-si-lolote!!! Redi NY mshikaji tuendelee kusukuma box ooop kuendesha malori. Huiwezi siasa weee... Elimu huna umebaki kuwa ndumila kuwili.

- Matokeo ya bishara ya utumbo, ha! ha! huwezi kuogopa harufu!

William.
 
Chadema mpende kukubali matokeo msidhan mnakubalika vilvo ni wajinga wachache ndo huamin ndan ya chadema
 
- Wengi wetu tunaotaka mabadiliko ya kweli kwa taifa letu, huwa tunawachukulia Chadema seriously kama chama as the best alternative from CCM, lakini pole pole au kwa kasi sana wamekuwa wakijenga imani potofu sana among wananchi kwamba kila wanaposhindwa, either iwe uchaguzi au kesi za uchaguzi, basi haki inakuwa haikutendeka na kwamba nchi haiwezi kutawalika.

- Imean, kwenye kila ushindani kuna kushinda na kushindwa, depending on how much politics you have in you kushindwa kunaweza kuwa ni kushinda, lakini unapoanza kujenga mazingara ya kwamba ukishindwa tu haki haikutendeka na hasa kwenye siasa, unajenga a very fragile political base, ambayo Mungu jalia ukija kushika madaraka itakuja kukumiza wewe mwenyewe, maana itawaruhusu uliowashinda ku-claim your conflict theory ya kutokea kwamba haki haikutendeka!

- Ujumbe wangu kwa Chadema ni kwamba some of us are taking you very serious, sasa huu msingi mnaoujenga wa haki kutendeka pale tu mnapokuwa mmeshinda, ni hatari sana kwa siasa za mbele kwa taifa, jaribuni kuweka taifa mbele kama sisi wengine.


MUNGU AIBARIKI TANZANIA!



William @DSM City!

Kwanza jizoeshe kutumia lugha moja iliyonyoka bila kuchanganya lugha mbili katika mada yako. Hii - Imean, kwenye kila ushindani kuna kushinda na kushindwa, depending on how much politics you have in you kushindwa kunaweza kuwa ni kushinda. Au hii ifuatayo: Ujumbe wangu kwa Chadema ni kwamba some of us are taking you very serious, sasa huu.

Malechela ukipata ubunge ndivyo utakavyoongea na wananchi wa Mtera kwa kuwaambia I mean, my confidence kuwaletea maendeleo, May be I will do kadiri ya uwezo wangu.

Tulia jifunze lugha na ujifunzi nchi inavyoenda usikimbilia matawini bila kujua tawi limeshikwazwaje toka shinani.
 

Kwanza jizoeshe kutumia lugha moja iliyonyoka bila kuchanganya lugha mbili katika mada yako. Hii - Imean, kwenye kila ushindani kuna kushinda na kushindwa, depending on how much politics you have in you kushindwa kunaweza kuwa ni kushinda.Au hii ifuatayo:Ujumbe wangu kwa Chadema ni kwamba some of us are taking you very serious, sasa huu.

Malechela ukipata ubunge ndivyo utakavyoongea na wananchi wa Mtera kwa kuwaambia I mean, my confidence kuwaletea maendeleo, May be I will do kadiri ya uwezo wangu.

Tulia jifunze lugha na ujifunzi nchi inavyoenda usikimbilia matawini bila kujua tawi limeshikwazwaje toka shinani.


- Ni dalili kwamba Ujumbe umefika hapo, sawa sawa ndugu yangu!

William.
 
- Ni dalili kwamba Ujumbe umefika hapo, sawa sawa ndugu yangu!

William.

Inaelekea we umeondoka bongo ungali mdogo kiswahili kilikuwa bado hakichashika kasi. Mie niliondoka kijijini nikiwa na umri wa miaka 14, na tangu hapo siku nilizofanikiwa kufika kijijini nilikuwa sikai zaidi ya siku mbili kwa sababu ya majukunu mbalimbali. leo hii nifikapo kijijini hawamini ninavyogonga kimatumbi hawaamini, kwani kile ambacho hata wazee wanashangaa kama kuwazidi walioishi huko miaka yote.

Sasa ndugu yangu Malecela hii ya nusu kithungu na nusu kimatumbi watu hawatakuelewa, jaribu kunyoosha kimatumbi na unapogonga kithungu basi iwe hicho tu.
 
William,
Nadhani sasa hivi CCM kama chama tunapaswa kujiangalia kwa undani zaidi, Chadema hakiwezi kuwa chama mbadala tunashukuru kipo na kinatoa changamoto, kumbuka ni maovu yetu CCM ndiyo yanayoipa nguvu Chadema; wengi wanaohama CCM na kujiunga Chadema hawahami kwasababu ya sera mbaya za CCM bali ni ubadhirfu na baadhi ya viongozi wetu. Cha msingi badala ya kupoteza muda kuijadili Chadema kama chama mbadala tunapaswa kujijadili sisi CCM kama chama wapi tunatoka na wapi tunaelekea, Chadema ni upepo tu leo, mbunge wao akivuliwa ubunge mahakama hazina uhuru, akivuliwa wa CCM hawana usemi, hiyo ni mifano halisi. Wakati wa kuoneana haya umepitwa viongozi wa CCM ni lazima wawajibike kwa wananchi waliowachagua.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
malecela upo sahihi kiasi kwa sababu kweli cdm tunapo shindwwa wengi tunakuwa na imani kuwa tumechakachuliwa ila hii yote ni janja nying inayo tumiwa na magamba na ndo maana wananch hawana iman kabsa na mahakama na tume ya uchaguz
 
Hivi nyinyi bila kuiba mnaweza kushinda?
Namnukuu Ndesambulo,"Nilishamuambia Kikwete mwaka jana CCM bila wizi wa kura hawawezi kushinda"
Mwisho wa kunukuu....
Hatuna imani na nyinyi CCM tena kwa kuwa ndio imekuwa tabia yenu ila mwisho wake unakaribia

"Ndesambulo" ndio nani huyu? au ulimaanisha Ndesamburo?
 
...Ni mpaka pale CCM itakapooacha kuingilia mihimili mingine ya maamuzi hasa mahakama na tume ya taifa ya uchaguzi ndipo haki itaonekana kutendeka na malalamiko yatapungua kama si kukoma kabisa.

Kuna ka-ukweli fulani hivi hapo.
1. Tume ya uchaguzi na watendaji wake wanateuliwa na raisi (ambaye aghalabu huwa ni mgombea pia)
2. Wakuu wa vyombo vya dola huteuliwa na raisi (kwa mazingira yetu hawawezi kwenda kinyume na aliewateua)
3. Majaji huteuliwa na raisi, sometimes wanakuwa na maslahi na aliyewateua, hawawezi kwenda kinyume naye (the case of Mujulizi/Ujaji/EPA/kupewa kuendesha kesi ya Lema, kabla hajajitoa
4. Kampeni zinaendeshwa pasipo usawa. Wapinzani hawapewi nafasi sawa ya kukampeni, hili nalo tuliangalie. Rejea mikutano ya wapinzani inayozuiwa kwa sababu za "Kiintelijensia"

 
msisumbuane na mtu aliye na ufahamu mdogo kwa kifupi william ubongo wako haufanyi kazi sawasawa kama unabishi sikumoja sikumoja utatembea uchi
 
msisumbuane na mtu aliye na ufahamu mdogo kwa kifupi william ubongo wako haufanyi kazi sawasawa kama unabishi sikumoja sikumoja utatembea uchi

- Ngoja nijaribu kukuelewa, unasema ufahamu wangu ni mdogo, na kwamba ubongo wangu haufanyi kazi, hebu tu-assume kwamba ubongo wako ni mzima na ufahamu wako ni mkubwa sana, sasa unakujaje kubishana na the opposite? ha! ha! ha!ha!


William.
 
tatizo la serikali iliyopo madarakani ni kutokutaka uhuru wa vyombo vyake. hii ina mwisho. 2015
 
Back
Top Bottom