CHADEMA & Kushindwa: The Future!

Katika nchi nyingi za kibeberu ambazo vyombo vya sheria viko chini ya serikali mara chache sana vyombo hivi vikatenda haki! Mfano ni Ivory Coast ambako mahakama kuu ilimuidhinisha Bagbo dhidi ya Wade kama rais wa nchi hiyo kinyume na matokeo halisi ya uchaguzi.

Hiyo red bolded
1) Unatumia kigezo na takwakimu zipi hapo?
2) Ni tangu lini hiyo imekuwa unavyosema hapa?
3) Huo uchaguzi ulifanyika lini na wapi? Bagbo ni Cote d'Ivore, Wade ni Senegal sasa lini walikutana na kugombea Abidjan?

Siku nyingine panga hoja kwa mtiririko wa fikra na baada ya kufanya uchunguzi.
 
William huwezi kuwa seriaz. Haipo kwenye damu yako kabisa.

Kwa sababu zamani ilizoeleka kuwa "wananchi hawajui kitu" na ni wa "kuaminishwa" tu. So watawala walikuwa wanajua hiyo weakness ambayo, ikageuzwa kuwa mtaji na wakaitengenezea makusudi ili kuwaweka watu ktk zoo (or rather a state of zombihood).

Fast forwad, sasa wananchi wameamshwa na wameamka. Wanajua (kwa sehemu) mbivu na mbichi, hawahitaji tena watawala kuwapa tafsiri za mambo wanayoyaona na kuyaishi; hilo wanalifanya wenyewe sasa.

Na pia huwezi kuitenga CDM na mwamko wa wananchi juu ya sheria, rushwa na maendeleo na jinsi mambo yanayoendelea sasa Tz. Hivyo njama zako za kuwashutumu CDM kwa makosa ya historia zimeshindwa.
 
- Yale yale mkuu jaribu kuwa na jipya, haki imetendeka kama haikutendeka hukumu ni mkusanyiko wa FACTS and EVIDENCE, muhimu ni kuwahi kukata rufaa kwenye Sheria sio kulalama kwenye public, hailisaidii Taifa in the future!, kwa sababu unajenga mazingara ya wananchi kutokubali kushindwa na wewe utakapokuja kushinda utaaambiwa exactly what you have planted yaani theory ya haki haikutendeka, ni waste ni paralysing ni very unproductive kwa taifa!

- Ni muhimu sana Chadema wakaacha hiyo tabia sasa mapema sana!


William.

Huwezi kuianbia Chadema iache kulalamika,ni Kama unataka kuifunga mdomo vile.Chadema wanalalamika na kuchukua hatua pale wanapoona haki haikutendeka.Tatizo la ninyi mlio madarakani huwa mnawadharau wapinzani na kuwaona hawana akili,hasa pale wanapoyakemea maovu yenu waziwazi.Ingalikuwa wewe ni raisi ipo siku ungewachagulia upinzani ni nini waseme au ni nini watende.Ni matukio mangapi tumeona mahakama zikiwanyima haki wananchi masikini?PESA WANAZOZITUMIA MATAJIRI KUNUNUA HAKI NA KUWANYIMA WENGINE HAKI MAHAKAMNI,,,ni sawa kabisa na NGUVU WANAZOZITUMIA WATAWALA KUINGILIA MIHIMILI MINGINE NA KUFANYA VILE WANATAKA KWA MASLAHI YAO..
 
Back
Top Bottom