CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

mdau umeanza kujihami, inaonesha hauna uhakika na mawazo yako. 2015 kweli ni mbali, wangechukua hata 2013 ningefurahi sana.
 
Shut your big mouth up!

tatizo cdm sera zao ni za machafuko chafuko tu hivo kutawala inji hii labda wapindue
,,nimesema ukweli unaouma hivo nitukaneni tu nshajiandaa
 
ni ukweli ulio wazi kua chama chochote cha pinzani hususani cdm ni ngumu sana kuchukua inji hii kwa kura za wananchi(ccm bado inawatu wake wengi kulinganisha na chama chochote nchini)na tatizo cdm sera zao ni za machafuko chafuko tu hivo kutawala inji hii labda wapindue ,,nimesema ukweli unaouma hivo nitukaneni tu nshajiandaa kwa hili
Wewe upo na mawazo mfirisi sana,hujui kuwa CCM sasa ni mwisho wake ukizingatia kushamili kwa UFISADI ndani ya CCM pamoja na MAKUNDI yaliyomo ndina ya CCM.Uwe na elimu ya SIASA ulete vitu vya msingi,CDM ni imara kuliko unavyo fikilia.Pia uwena uwezo wa kuona mbali usikomee kuona mwisho wa pua yako.
 
JF sio kijiwe cha kahawa , hebu tuelezele al moniraga, ni wapi katika sera za cdm pamendikwa kipaumbele chao ni machafuko. Hivi unajua sera ni nini?. Unasema labda wapindue Unajua maana ya kupindua nchi?. Sina uhakika kama unafahamu unachokiandika. Jifunze kuandika hoja zenye mantiki
 
ni ukweli ulio wazi kua chama chochote cha pinzani hususani cdm ni ngumu sana kuchukua inji hii kwa kura za wananchi(ccm bado inawatu wake wengi kulinganisha na chama chochote nchini)na tatizo cdm sera zao ni za machafuko chafuko tu hivo kutawala inji hii labda wapindue ,,nimesema ukweli unaouma hivo nitukaneni tu nshajiandaa kwa hili
Wewe upo na mawazo mfirisi sana,hujui kuwa CCM sasa ni mwisho wake ukizingatia kushamili kwa UFISADI ndani ya CCM pamoja na MAKUNDI yaliyomo ndina ya CCM.Uwe na elimu ya SIASA ulete vitu vya msingi,CDM ni imara kuliko unavyo fikiria.Pia uwe na uwezo wa kuona mbali usikomee kuona mwisho wa pua yako.
 
ni ukweli ulio wazi kua chama chochote cha pinzani hususani cdm ni ngumu sana kuchukua inji hii kwa kura za wananchi(ccm bado inawatu wake wengi kulinganisha na chama chochote nchini)na tatizo cdm sera zao ni za machafuko chafuko tu hivo kutawala inji hii labda wapindue
,,nimesema ukweli unaouma hivo nitukaneni tu nshajiandaa kwa hili

cjui kama unachosema kina ukweli' labda wewe ndo hukikubali!
 
Ilikua n.r.a,akaja nccr mageuzi,ikaja cuf na leo chadema basi ujue haya ni mawimbi tu hupita baharini .ccm ndo baba..ngoja chadema mpate pesa kidogo mtaona migogoro na chama kitayumba atimaye ........... Malizia
 
watu wenyewe ndo hao kina lema elimu za kuungaunga,hata form 4 hajamaliza.kila siku fujo.nadhani cdm wangejifunza siasa za ndesa na zitto chama kingeimarika sana.
 
ELIMU YA LEMA!.
Imebainika kuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ni 'KIHIYO', hayo yamejiri mahakamani ktk kesi inayoendelea ya kupinga matokeo ya ubunge wa Lema. Akihojiwa na wakili wa wadai Alute Mughway Lema alishindwa kuielezea mahakama kiwango chake halisi cha elimu kinyume na alivyojaza ktk fomu ya tume ya taifa ya uchaguzi na katika kumbukumbu za ofisi ya bunge ambapo fomu hizo zinaönyesha Lema alimaliza darasa la 7 1989 na kujiunga sekondari 1989-1992 (miaka 3) na kuonesha kujiunga na 'A- level' mwaka huo huo wa 1992-1993 (hakunaga) na pindi alipobanwa na wakili Mughway alikiri kuwa hakumaliza kidato cha nne bali aliishia kidato cha tatu tu ambapo alitakiwa aeleze aliwezaje kwa hali hiyo kusoma A-level AKAJICHANGANYA, Pia lema alipata wakati mgumu na kushindwa kutoa maelezo ya madai yake ya kuwa na diploma ya CAMBRIDGE COLLEGE ambapo alishindwa kuielezea mahakama nini maana ya diploma, pia kutokujua chuo hicho maarufu kilipo. Huyu ndio Godbless Jonathan Lema 'MPIGA DILI' wa Arusha ambaye pia eti ni 'WAZIRI KIVULI MAMBO YA NDANI'...Ama kweli "ELIMU YA MJINGA NI MAJUNGU... IKIWA UNAONA ELIMU NI GHALI BASI JARIBU UJINGA"!.
 
Ilikua n.r.a,akaja nccr mageuzi,ikaja cuf na leo chadema basi ujue haya ni mawimbi tu hupita baharini .ccm ndo baba..ngoja chadema mpate pesa kidogo mtaona migogoro na chama kitayumba atimaye ........... Malizia

kitu kinachoua ccm ni wahindi na ujinga basi, siyo pesa! chadema itafuata mkondo wa ccm kama wakizidisha mijinga kwenye cabinets na kamati za chama za maamuzi. bahati ninayoiona ni kwamba chadema wameanza na mkakati wa kutumia wasomi zaidi kuliko vinginevyo. sidhani kama itafika siku chadema wamnadi mgembea urais aliyeishia darasa la nne. utasema sabodo keshajipenyeza. Kumbe kesi ya sabodo ni tofauti kwa sura mbili: sabodo anatoa michango chadema kwa uwazi, wahindi wa ccm wanafadhili chama hicho kwa siri. sabodo anafadhili wanasiasa wasomi katika chadema, wahindi wa ccm wanafadhili vilaza. Upo hapo?
 
ELIMU YA LEMA!.
Imebainika kuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ni 'KIHIYO', hayo yamejiri mahakamani ktk kesi inayoendelea ya kupinga matokeo ya ubunge wa Lema. Akihojiwa na wakili wa wadai Alute Mughway Lema alishindwa kuielezea mahakama kiwango chake halisi cha elimu kinyume na alivyojaza ktk fomu ya tume ya taifa ya uchaguzi na katika kumbukumbu za ofisi ya bunge ambapo fomu hizo zinaönyesha Lema alimaliza darasa la 7 1989 na kujiunga sekondari 1989-1992 (miaka 3) na kuonesha kujiunga na 'A- level' mwaka huo huo wa 1992-1993 (hakunaga) na pindi alipobanwa na wakili Mughway alikiri kuwa hakumaliza kidato cha nne bali aliishia kidato cha tatu tu ambapo alitakiwa aeleze aliwezaje kwa hali hiyo kusoma A-level AKAJICHANGANYA, Pia lema alipata wakati mgumu na kushindwa kutoa maelezo ya madai yake ya kuwa na diploma ya CAMBRIDGE COLLEGE ambapo alishindwa kuielezea mahakama nini maana ya diploma, pia kutokujua chuo hicho maarufu kilipo. Huyu ndio Godbless Jonathan Lema 'MPIGA DILI' wa Arusha ambaye pia eti ni 'WAZIRI KIVULI MAMBO YA NDANI'...Ama kweli "ELIMU YA MJINGA NI MAJUNGU... IKIWA UNAONA ELIMU NI GHALI BASI JARIBU UJINGA"!.

aliniacha hoi pale alipoulizwa kirefu cha TCU naye akasema ni Tanzania Student University. Badala ya Tanzania Commission for University!
 
Ilikua n.r.a,akaja nccr mageuzi,ikaja cuf na leo chadema basi ujue haya ni mawimbi tu hupita baharini .ccm ndo baba..ngoja chadema mpate pesa kidogo mtaona migogoro na chama kitayumba atimaye ........... Malizia

Umeongea ukweli...wanapita kama walivyopita wengine
 
ELIMU YA LEMA!.
Imebainika kuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ni 'KIHIYO', hayo yamejiri mahakamani ktk kesi inayoendelea ya kupinga matokeo ya ubunge wa Lema. Akihojiwa na wakili wa wadai Alute Mughway Lema alishindwa kuielezea mahakama kiwango chake halisi cha elimu kinyume na alivyojaza ktk fomu ya tume ya taifa ya uchaguzi na katika kumbukumbu za ofisi ya bunge ambapo fomu hizo zinaönyesha Lema alimaliza darasa la 7 1989 na kujiunga sekondari 1989-1992 (miaka 3) na kuonesha kujiunga na 'A- level' mwaka huo huo wa 1992-1993 (hakunaga) na pindi alipobanwa na wakili Mughway alikiri kuwa hakumaliza kidato cha nne bali aliishia kidato cha tatu tu ambapo alitakiwa aeleze aliwezaje kwa hali hiyo kusoma A-level AKAJICHANGANYA, Pia lema alipata wakati mgumu na kushindwa kutoa maelezo ya madai yake ya kuwa na diploma ya CAMBRIDGE COLLEGE ambapo alishindwa kuielezea mahakama nini maana ya diploma, pia kutokujua chuo hicho maarufu kilipo. Huyu ndio Godbless Jonathan Lema 'MPIGA DILI' wa Arusha ambaye pia eti ni 'WAZIRI KIVULI MAMBO YA NDANI'...Ama kweli "ELIMU YA MJINGA NI MAJUNGU... IKIWA UNAONA ELIMU NI GHALI BASI JARIBU UJINGA"!.

aliniacha hoi pale alipoulizwa kirefu cha TCU naye akasema ni Tanzania Student University. Badala ya Tanzania Commission for University!
 
Mwaka 2010 watu takribani mil 10 hawakupiga kura na CCM ikapata mil 5....nadhani hao ndio wanaCCM,only 5 mil.
Hakuna chama kinachoweza kupewa usajili kama sera yake ni MACHAFUKO.
Maana kama sera ni machafuko hicho sio chama cha siasa ni Al-shabaab.
Kama unafanya analysis ya demographic changes ya population ambayo ni valid kwa casting ballot kufikia 2015,utaelewa what's going to happen.
Please wake up!
 
Uoga sifa ya mjinga hao waume zako ccm wana sera gan nzuri ambazo sio za machafuko?au unafiki na majungu ndo unadhan siasa safi?back 2 clas kwan we bado mjingamjinga(hujielewi)
 
aliniacha hoi pale alipoulizwa kirefu cha TCU naye akasema ni Tanzania Student University. Badala ya Tanzania Commission for University!

Mkuu hii ni kweli au unachangamsha genge tu?Kama ni kweli basi kazi ipo aisee!!
 
Kama imeshakamata zaidi ya 30% kupitia wabunge na madiwani huoni hizo ni dalili za kuchukua nchi very soon.FUNGUKA.

Weka takwimu mzee acha bla bla wabunge 49 Kati ya zaidi ya wabunge 300 na kitu hiyo ni asilimia 30? Au nyie ndio mlio kimbia hesabu?.
 
ni ukweli ulio wazi kua chama chochote cha pinzani hususani cdm ni ngumu sana kuchukua inji hii kwa kura za wananchi(ccm bado inawatu wake wengi kulinganisha na chama chochote nchini)na tatizo cdm sera zao ni za machafuko chafuko tu hivo kutawala inji hii labda wapindue
,,nimesema ukweli unaouma hivo nitukaneni tu nshajiandaa kwa hili

hapo kwenye "inji" ndo sikuelewa ulitaka kusema nini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom