CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

Watachukua nchi wakati Ismail Jussa alisema adui yao mkubwa ni Ukristo na Ubara?
 
Watachukua nchi wakati Ismail Jussa alisema adui yao mkubwa ni Ukristo na Ubara?
Jussa aliongea ukweli mtupu juu ya cuf. Cuf ilipoanzishwa ilikuwa inaitwa ZUF( Zanzibar United Front) kutokana na sheria kukataza vyama vya upande mmoja ndiyo wakabadilisha herufi z ikawa c. Walibadilisha herifi wakati malengo yalibaki palepale, kwa hiyo jussa tumshukuru kusema ukweli juu ya chama chake!
 
Mbona wanahangaika sana hawa watu?chama kinazidi kupukutika sijui hiyo nchi wataichukuaje?
 
Baada ya Hamad Rashid kukinyonyoa manyoya sasa CUF imeibuka na kutangaza kunyakuwa dola 2015.Eti kuondoka kwa baadhi ya wanachama na viongozi ni kuvua gamba ili kivutie zaidi.Nadhani kuingia ikulu ya zanzibar kumewalewesha na kudhani madaraka huchukuliwa kama unavyopakuwa tende!


Source: Tanzania Daima

Lolote lawezekana, usiwabeze kwani wanatofauti gani na vyama vingine vya Upinzani? havina sera. Kuimba ufisadi kila siku siyo sera.
 
wataichukua nchi waipeleke wapi hao masheikh,ingekuwa chama makini chdm ningekubali,lakini waliojifia khaa
Umakini wa Chadema nini? au kwa vile nao hawajajivua gamba? wako njiani kujivua, moto unafukuta huko ile mbaya.
 
Baada ya Hamad Rashid kukinyonyoa manyoya sasa CUF imeibuka na kutangaza kunyakuwa dola 2015.Eti kuondoka kwa baadhi ya wanachama na viongozi ni kuvua gamba ili kivutie zaidi.Nadhani kuingia ikulu ya zanzibar kumewalewesha na kudhani madaraka huchukuliwa kama unavyopakuwa tende!


Source: Tanzania Daima

Naona CUF wanaota ndoto za alinacha.
 
Kujibu swali lako lililobeba thread:
KAFU kuongoza dola ya Tanzania 2015 iwapo Watanzania wote tutaamua KUSILIMU
Haswaaaa!!!
Tena kwa vile wamezoea kuwa na kura za MARUHANI, watachukua nchi maruhani iitwayo kibwengotanzania.
 
mbona tayari wanayo?
au zanzibar siyo nchi?hili swali wamwulize maalim seif.
 
Lolote lawezekana, usiwabeze kwani wanatofauti gani na vyama vingine vya Upinzani? havina sera. Kuimba ufisadi kila siku siyo sera.

Kwa maana hiyo kuimba kujivua gamba huku mkijua wazi hiyo shughuli hamuiwezi ndo sera eti eeeh................
 
Huyu ndio CAFU wa ukweli.........achaneni ana hao NGAFU.........:lol::eyebrows::embarassed2:

55265598-1259164639-cafu.jpg
 
Umakini wa Chadema nini? au kwa vile nao hawajajivua gamba? wako njiani kujivua, moto unafukuta huko ile mbaya.

teh,teh,teh ujira wa ma.ga.mba ni kazi sana,yaani wewe cdm itakuua kwa presha tulia dada,mbona huelezi huo moto unafukuta wapi na kati ya nani na nani? Ninavyojua mimi moto unafukuta ccm kati ya kundi la EL na kundi la spika wa zamani six na mwakyembe huku baba mwanaasha akichombeza kwa mbali.haya na wewe weka wazi kama mimi huko cdm ni kati ya nani nani wanaofanya huo moto ufukute
 
wana kila sababu ya kuota ndoto mchana aka kuweweseka.....labda kama watachukua zenji kusiko na makanisa
 
Huyu ndio CAFU wa ukweli.........achaneni ana hao NGAFU.........:lol::eyebrows::embarassed2:

55265598-1259164639-cafu.jpg

hahah afu we jamaa bana..kweli jogoo hatagi na ukiona ametaga ujue umri wake wa kuishi ndo umefika mwisho..
 
:shock::shock:
Wamesahau kiruc kingne ambacho kitawatesa milele ambaye ni jusa kwan ameshatamka kwamba wabara na wakristo hawatakiwi cuf ina maana kuwa cuf ni chama cha waislam
 
Cuf wanaota wanakula mkate kumbe wanatafuna godoro...poleni sana ndoa balaa ....
 
Jsaudi nakushauri uache bangi, ninavyokuona huiwezi. Shauri yko!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom