CHADEMA kuchukua nchi ni baadae sana

Nimekuwa nikifuatilia trends za Chadema, na pia mimi ni pro-Chadema, lakini kwa mambo haya naona Chadema bado tatujawa na mpango mkakati wa kuchukua nchi 2015. Mifano hai michache ni kama ifuatavyo, you can add others.
  1. Network coverage za Chadema haiko consistent, mfano, umeishia wapi ule mpango wa kuanzisha Chadema TV? Tumeambiwa iko mbioni kuanzishwa na kuwa sasa tunaweza kuaccess habari ambazo ziko uploaded kwenye you tube, lakini mpaka leo habari za mwisho ni zile za Igunga. Je tunasubiri zima moto nyingine utakapotokea uchaguzi mdogo mwingine ndo tuende kwenye hiyo link? Kwa hili Chadema needs strategic people who will keep the updates of what is happening in our country, not only during elections. Watu ambao wataenda kwa wananchi kuchukua habari na kuzipost wakati tukisubiri huo mpango wa kuanzisha Tv. Je kama hili dogo limeshindikana, je vipi hiyo TV ikianzishwa, sustainability yake itakuwaje?
  2. Baadhi ya viongozi wa CDM hawako honest. Na hapa namtaja MBOWE, kwa kitendo cha kwenda NMC kuhutubia wananchi na baadaye yeye kutoroka na kuwaacha wenzake akina Slaa na wananchi kusulubiwa na polisi, siyo kitendo cha kujivunia hata kidogo. Umeonyesha mfano mbaya kwa wananchi. Kama huogopi rumande mbona umekimbia? Simamia unachokisema daima mh. Mbowe, unless we wont trust you.
  3. Mengine mtaongezea naishia hapa kwa sasa.
hakuna Pro wa CDM mwenye post za kipuuzi kama zako.Utakua Pro wa Magamba.Unazungumzia CDM TV unadhani kuanzisha TV Channel ni rahisi kama kufungua genge?Unajua kitu alichoenda kufanya baada kuondoka pale NMC?Usipende kuandika post usizokua na uhakika nazo na usituletee story za kwenye kahawa hapa JF.Idiot...!
 
hakuna pro wa cdm mwenye post za kipuuzi kama zako.utakua pro wa magamba.unazungumzia cdm tv unadhani kuanzisha tv channel ni rahisi kama kufungua genge?unajua kitu alichoenda kufanya baada kuondoka pale nmc?usipende kuandika post usizokua na uhakika nazo na usituletee story za kwenye kahawa hapa jf.idiot...!
alikwenda kufanya nini zaidi ya kuyakimbia makombora ya polisi? Anajisalimisha kwa sasa kwa sababu anaona ishakuwa so kisiasa ktk jamii!
 
Kwa ujumla Cdm wengi ni wanasiasa uchwara na wote wako kwa maslahi binafsi, hakuna mwenye uchungu halisi na nchi hii ni WANAFIKI tu. kama watajaliwa kuchukua nchi hii utaona watakavyo vurugana.
katika wote wewe ndio umesema maneno yaliyosimama na yenye uhakika.
 
Jingine kukutwa na risasi kwa doctor slaa ambayo bado hatujajua matumizi yake alipokuwa hapo NMC, kupanga maandamano ya mikoa mbalimbali bila kujipanga

wanasiasa wengi hasa wakubwa kama SLAA ni lazima wawe na bastola,na mbona anaimiliki kihalali...JIPANGEEEEE.......
 
Nimekuwa nikifuatilia trends za Chadema, na pia mimi ni pro-Chadema, lakini kwa mambo haya naona Chadema bado tatujawa na mpango mkakati wa kuchukua nchi 2015. Mifano hai michache ni kama ifuatavyo, you can add others.
  1. Network coverage za Chadema haiko consistent, mfano, umeishia wapi ule mpango wa kuanzisha Chadema TV? Tumeambiwa iko mbioni kuanzishwa na kuwa sasa tunaweza kuaccess habari ambazo ziko uploaded kwenye you tube, lakini mpaka leo habari za mwisho ni zile za Igunga. Je tunasubiri zima moto nyingine utakapotokea uchaguzi mdogo mwingine ndo tuende kwenye hiyo link? Kwa hili Chadema needs strategic people who will keep the updates of what is happening in our country, not only during elections. Watu ambao wataenda kwa wananchi kuchukua habari na kuzipost wakati tukisubiri huo mpango wa kuanzisha Tv. Je kama hili dogo limeshindikana, je vipi hiyo TV ikianzishwa, sustainability yake itakuwaje?
  2. Baadhi ya viongozi wa CDM hawako honest. Na hapa namtaja MBOWE, kwa kitendo cha kwenda NMC kuhutubia wananchi na baadaye yeye kutoroka na kuwaacha wenzake akina Slaa na wananchi kusulubiwa na polisi, siyo kitendo cha kujivunia hata kidogo. Umeonyesha mfano mbaya kwa wananchi. Kama huogopi rumande mbona umekimbia? Simamia unachokisema daima mh. Mbowe, unless we wont trust you.
  3. Mengine mtaongezea naishia hapa kwa sasa.

SLAA ndo alimwambia MBOWE yeye aondoke ili wakiwa kule kituoni ye ajue ni jinsi gani ya kuwasaidia...ACHA KUKURUPUKA KAMA DEMU WANGU..
 
Nimekuwa nikifuatilia trends za Chadema, na pia mimi ni pro-Chadema, lakini kwa mambo haya naona Chadema bado tatujawa na mpango mkakati wa kuchukua nchi 2015. Mifano hai michache ni kama ifuatavyo, you can add others.
  1. Network coverage za Chadema haiko consistent, mfano, umeishia wapi ule mpango wa kuanzisha Chadema TV? Tumeambiwa iko mbioni kuanzishwa na kuwa sasa tunaweza kuaccess habari ambazo ziko uploaded kwenye you tube, lakini mpaka leo habari za mwisho ni zile za Igunga. Je tunasubiri zima moto nyingine utakapotokea uchaguzi mdogo mwingine ndo tuende kwenye hiyo link? Kwa hili Chadema needs strategic people who will keep the updates of what is happening in our country, not only during elections. Watu ambao wataenda kwa wananchi kuchukua habari na kuzipost wakati tukisubiri huo mpango wa kuanzisha Tv. Je kama hili dogo limeshindikana, je vipi hiyo TV ikianzishwa, sustainability yake itakuwaje?
  2. Baadhi ya viongozi wa CDM hawako honest. Na hapa namtaja MBOWE, kwa kitendo cha kwenda NMC kuhutubia wananchi na baadaye yeye kutoroka na kuwaacha wenzake akina Slaa na wananchi kusulubiwa na polisi, siyo kitendo cha kujivunia hata kidogo. Umeonyesha mfano mbaya kwa wananchi. Kama huogopi rumande mbona umekimbia? Simamia unachokisema daima mh. Mbowe, unless we wont trust you.
  3. Mengine mtaongezea naishia hapa kwa sasa.
Hakuna aliyekuomba maoni yako....kama hatuwezi kuchukua nchi si ungoje muda ufike.....wewe ni pro-definitely magambash tu, no wonder you spit nonsense
 
Jingine kukutwa na risasi kwa doctor slaa ambayo bado hatujajua matumizi yake alipokuwa hapo NMC, kupanga maandamano ya mikoa mbalimbali bila kujipanga
Eh risasi tena au wewe ndo ulimkuta na hizo risasi.Kwa jinsi ulivyo-post naweza kuhisi elimu yako ni ya kiwango gani
 
hakuna Pro wa CDM mwenye post za kipuuzi kama zako.Utakua Pro wa Magamba.Unazungumzia CDM TV unadhani kuanzisha TV Channel ni rahisi kama kufungua genge?Unajua kitu alichoenda kufanya baada kuondoka pale NMC?Usipende kuandika post usizokua na uhakika nazo na usituletee story za kwenye kahawa hapa JF.Idiot...!

alikimbia bana acha unazi! jela mchezo!
 
ni matter of time then kila kitu kitakua wazi,hatuwezi kujadili mambo kwa hisia na msukumo wa ki itikadi,ngoja watoke watasema what was actualy the issue behind tukio zima hili la arusha coz kwasasa ni habari za juu juu tu ndo tunazipata
 
Wanachama na mashabiki wa magamba wana fanana kwa jambo kuu moja, hawawezi kufikiri bali huishi kwa fikra za wengine.
 
Jingine kukutwa na risasi kwa doctor slaa ambayo bado hatujajua matumizi yake alipokuwa hapo NMC, kupanga maandamano ya mikoa mbalimbali bila kujipanga

Kama anamiliki silaa hiyo kialali, ni haki kuwa na lisasi na ndo maana haijatumika vinginevyo! hoja ya nyongeza ya msingi lakini.
 
alikimbia bana acha unazi! jela mchezo!
Waberoya na Ngongo salam zenu, tabia zenu za "kisengenyaji"zinawavua nguo zenu zote na kuwaacha dhariri. Ujira wa mwiha unawatoa utu wenu na mmebaki magumegume, na kwakuwa hamjui mnechekelea kama mazuzu!
 
Kujihami na yuko tayari kwa chochote na wakati wowote, so doctor kwa nini alikimbia na kujificha kwenye gari ya matangazo, ss ile ilikua na kazi gani au aliibea tu ya mapambo? awaulize kina rage matumizi ya kupanda nayo jukwaani
Umenisikitisha kusifia mambo yasiyofaa kwa jamii. Msimamo wako wa kisiasa usikuondolee uwezo wako wa kufikiria.
 
kitu pekee ambacho chadema wanakiweza vizuri ni kukwaruzana na dola, ndio maana madiwani walipopatana arusha akina mbowe wakasikitika sana kwa vile watakosa nafasi ya kukorofishana na polisi na kufanya maandamano, ndio maana lema kakataa dhamana ili atumie ule mgogoro kuuzia sura, hii inawasaidia kupata ruzuku zaidi na wanaztumia hasira za watanzania kwa manufaa ya matumbo yao, hawana matawi yaliyosambaa vizuri nchi nzima na hii wanaifanya kwa makusudi ili wawe na maamuzi yao ya ki-bange bange bila kuulizwa, ndio maana wakamnyima zitto uongozi wa upinzani bungeni, wakamnyima uenyekiti, bcause that guy is serious, chadema na ccm ni walewale wote watoto wa mjini
 
Nimekuwa nikifuatilia trends za Chadema, na pia mimi ni pro-Chadema, lakini kwa mambo haya naona Chadema bado tatujawa na mpango mkakati wa kuchukua nchi 2015. Mifano hai michache ni kama ifuatavyo, you can add others.
  1. Network coverage za Chadema haiko consistent, mfano, umeishia wapi ule mpango wa kuanzisha Chadema TV? Tumeambiwa iko mbioni kuanzishwa na kuwa sasa tunaweza kuaccess habari ambazo ziko uploaded kwenye you tube, lakini mpaka leo habari za mwisho ni zile za Igunga. Je tunasubiri zima moto nyingine utakapotokea uchaguzi mdogo mwingine ndo tuende kwenye hiyo link? Kwa hili Chadema needs strategic people who will keep the updates of what is happening in our country, not only during elections. Watu ambao wataenda kwa wananchi kuchukua habari na kuzipost wakati tukisubiri huo mpango wa kuanzisha Tv. Je kama hili dogo limeshindikana, je vipi hiyo TV ikianzishwa, sustainability yake itakuwaje?
  2. Baadhi ya viongozi wa CDM hawako honest. Na hapa namtaja MBOWE, kwa kitendo cha kwenda NMC kuhutubia wananchi na baadaye yeye kutoroka na kuwaacha wenzake akina Slaa na wananchi kusulubiwa na polisi, siyo kitendo cha kujivunia hata kidogo. Umeonyesha mfano mbaya kwa wananchi. Kama huogopi rumande mbona umekimbia? Simamia unachokisema daima mh. Mbowe, unless we wont trust you.
  3. Mengine mtaongezea naishia hapa kwa sasa.

Siku zote nimekuwa nikisema hawa jamaa wako kimaslahi binafsi sana. Angalia sasa wamewapeleka watu kukesha tena bila sababu ya msingi, then tunaaambiwa MBOWE kawatoeoka Polisi , SLAA kakutwa amejificha kwenye SPIKA akiwa na bunduki yenye risasi 7, tuwaeleweje? Watanzania nadhani tunatakiwa kujifunza kitu kutoka na machafuko haya yasiyo na tija kwa watanzania. Wanataka kutimiza haja zao tu hawana lolote.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom