Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
Nasikia wimbo wa Taifa wa Zanzibar ulikuwa ubadilishwe pindi KAFU wangepata madaraka. Walitaka KASWIDA moja iteuliwe iwe wimbo wa Taifa!
Baada ya Hamad Rashid kukinyonyoa manyoya sasa CUF imeibuka na kutangaza kunyakuwa dola 2015.Eti kuondoka kwa baadhi ya wanachama na viongozi ni kuvua gamba ili kivutie zaidi.Nadhani kuingia ikulu ya zanzibar kumewalewesha na kudhani madaraka huchukuliwa kama unavyopakuwa tende!
Source: Tanzania Daima
Kujibu swali lako lililobeba thread:
KAFU kuongoza dola ya Tanzania 2015 iwapo Watanzania wote tutaamua KUSILIMU
Lolote lawezekana, usiwabeze kwani wanatofauti gani na vyama vingine vya Upinzani? havina sera. Kuimba ufisadi kila siku siyo sera.
teh,teh,teh ujira wa ma.ga.mba ni kazi sana,yaani wewe cdm itakuua kwa presha tulia dada,mbona huelezi huo moto unafukuta wapi na kati ya nani na nani? Ninavyojua mimi moto unafukuta ccm kati ya kundi la el na kundi la spika wa zamani six na mwakyembe huku baba mwanaasha akichombeza kwa mbali.haya na wewe weka wazi kama mimi huko cdm ni kati ya nani nani wanaofanya huo moto ufukute
ni ukweli ulio wazi kua chama chochote cha pinzani hususani cdm ni ngumu sana kuchukua inji hii kwa kura za wananchi(ccm bado inawatu wake wengi kulinganisha na chama chochote nchini)na tatizo cdm sera zao ni za machafuko chafuko tu hivo kutawala inji hii labda wapindue
,,nimesema ukweli unaouma hivo nitukaneni tu nshajiandaa kwa hili
wewe jiandae ,tuchue mara mbili...! Siku hiyn ndio utakapojua kweli cameroon imepata kichimbio kifaacho.tutawafilisi wote waliohujumu uchumi wa nchi na kuwafungulia mashtaka .tia maji p.u.m.b.a.v.u wakubwani ukweli ulio wazi kua chama chochote cha pinzani hususani cdm ni ngumu sana kuchukua inji hii kwa kura za wananchi(ccm bado inawatu wake wengi kulinganisha na chama chochote nchini)na tatizo cdm sera zao ni za machafuko chafuko tu hivo kutawala inji hii labda wapindue
,,nimesema ukweli unaouma hivo nitukaneni tu nshajiandaa kwa hili
ni ukweli ulio wazi kua chama chochote cha pinzani hususani cdm ni ngumu sana kuchukua inji hii kwa kura za wananchi(ccm bado inawatu wake wengi kulinganisha na chama chochote nchini)na tatizo cdm sera zao ni za machafuko chafuko tu hivo kutawala inji hii labda wapindue
,,nimesema ukweli unaouma hivo nitukaneni tu nshajiandaa kwa hili