kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,012
- 11,944
Rage alipopanda na bastola jukwaan matumizi yake yalikuwa nini?
Zile za CCM sio bastola ila za CDM ndio bastola,magamba wanajitahidi kuichafua CDM lakini wapi,waache waendelee kuweweseka tu.
Rage alipopanda na bastola jukwaan matumizi yake yalikuwa nini?
Ninachozungumzia ni changamoto kwa CDM kujiimarisha kisiasa, sijakuelewa unachobisha ni nini? na content ya thread yangu inaongelea CDM na hivyo muamko ninaouongelea unahusiana na CDM ambacho hujaelewa ni nn?Sasa kama hakuna mikakati ya ku-penetrate kama ulivyosema tutegemee miujiza?Bado hueleweki mkuu, mikoa yenye muamko wa kisiasi maana yake nini?
Mikoa ambayo haikuchagua Chadema si kwamba haina muamko wa kisiasa ni kwamba wana vyama vyao CCM na CUF
Mikoa hiyo kwa mfano CUF ina madiwani wingi na imepata kura nyingi za urais? huo si muamko wa kisiasa?
Sema chadema wameshindwa ku-penetrate huko usituambie hatuna muamko kisiasa..
Ninachozungumzia ni changamoto kwa CDM kujiimarisha kisiasa, sijakuelewa unachobisha ni nini? na content ya thread yangu inaongelea CDM na hivyo muamko ninaouongelea unahusiana na CDM ambacho hujaelewa ni nn?Sasa kama hakuna mikakati ya ku-penetrate kama ulivyosema tutegemee miujiza?
unapoint ila kumbuka kuwa matokeo yaliyotangazwa 2010 sio matokeo halisi.
mmh!
Mwamko mdogo wa kisiasa=CDM kukosa kura?
kweli tuna mbumbumbu katika kaifa hili! ila anyway 9% ndio wenye div 1-3.
Tuache kuganganyana, mimi binafsi nilishiriki moja kwa moja uchaguzi wa mwaka 2010 jimbo la Lushoto kuna baadhi ya maeneo hawajui kuna chama kinaitwa CDM zaidi ya CCM na CUF zaidi na mbaya zaidi kuna wapiga kura walikuwa wanahoji propaganda kwamba CDM ni chama cha wakristo na bendera ya CDM kwanini ina rangi nyekundu ambapo kwa mtizamo wao ni chama cha wamwaga damu kwa kasumba walizoliswa na Magamba....lakini cha zaidi ni kwamba hakuna kampeni ya nguvu iliyofanywa na CDM mkoa wa Tanga (kwa mfano).
Vilevile nilishiriki uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Funta-Bumbuli na kuona kwamba CDM kinaanza kutambulika na kushika kasi kinachokosekana ni msukumo dhabiti wa kienezi. Pamoja na kuwa ni mara ya kwanza CDM kusimamisha mgombea udiwani kata ya funta CDM kilipata kura 502 dhidi ya 1400 za CCM na CUF kuambulia kura 88 pamoja na uwepo wake wa siku nyingi jimbo la Bumbuli.
Lakini vilevile kwa zipo tetesi kwamba Januari Makamba hawamkubali sana Bumbuli kutokana na gia aliyotumia kuingia kwenye kura za maoni na hatimaye kupata nafasi ya kugombea ikiwa ni pamoja na mambo ya family matters ambapo wanadai aliwadanganya wananchi wa Bumbuli na iwapo atatokea mtu strong kusambaza elimu ya uraia na cocompete na Januari kama atapita kugombea tena ipo dalili kubwa za kummwaga. Najaribu kukusanya baadhi ya data na nitamwaga siku sio nyingi hapa jamvini. Ikumbukwe kwamba Januari alipita bila kupingwa kwa mizengwe iliyafanywa na mgombea wa CDM na taarifa niliyoipata mgombea yule amepewa ukatibu na CCM wilaya moja ya kanda ya ziwa. Pamoja na CDM kutosimamisha mgombea ubunge na kutopiga kampeni jimbo la Bumbuli ndilo linaongoza kwa kumpa kura nyingi Dr.Slaa (takriban zaidi ya 10,000) mkoa wa Tanga.
Iwapo kutafanyika kampeni ya nguvu ya elimu ya uraia bila shaka wilaya ya Lushoto ndio itakuwa kitovu cha mapambazuko ya kifikra mkoa wa Tanga kutokana na mwamko ulioanza kutokea. Wilaya ya Lushoto ina majimbo matatu: Lushoto, Bumbuli na Mlalo. Ikumbukwe kwamba idadi kubwa ya kabila la wasambaa ambao ndio utambulisho wa mkoa wa Tanga wengi wapo Wilaya ya Lushoto.
Tufute fikra ya kuibiwa kura kwanza, CDM iweke malengo kwenye baadhi ya mikoa niliyotaja iwapo CDM itafanikiwa kuwabeat CCM kwa kura nyingi uwezekano wa kuchakachua kama upo UTASHINDIKANA.
yaani unaona sifa watu kutokuijua chadema!!!!!!?????? Badala uwahurumie hao ambao hawaijui na ufanye jitihada waijue au wajue vyama vingine vya siasa kwa maendeleo yao wenyewe!!!!!
Embu jaribu kulinganisha maeneo waliong'ang'ania ccm miaka yote na ulinganishe na hali ya maishi mfano pwani, tanga dodoma, tabora, ruvuma, mtwara, n.k then anghalia maeneo ya moshi, karatu, mwanza n.k. Walilie ndugu zako kwa kutokuijua chadema na sio jambo la kujivunia hata kidogo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Bado hueleweki mkuu, mikoa yenye muamko wa kisiasi maana yake nini?
Mikoa ambayo haikuchagua Chadema si kwamba haina muamko wa kisiasa ni kwamba wana vyama vyao CCM na CUF
Mikoa hiyo kwa mfano CUF ina madiwani wingi na imepata kura nyingi za urais? huo si muamko wa kisiasa?
Sema chadema wameshindwa ku-penetrate huko usituambie hatuna muamko kisiasa..