battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,672
- 2,540
Nadhani suala la mgombea binafsi lilishapelekwa mahakamani na mahakamq kuruhusu kuwepo na mgombea binafsi.Ni serikali tuu ndio imesita kutekeleza amri ya mahakama.
Labda Spika anatumia kipengele hicho cha sheria, kwani hata akina mdee wakienda mahakamani jibu ni kuwa wao ni Binafsi
Au siyo ndugu Pascal?
Labda Spika anatumia kipengele hicho cha sheria, kwani hata akina mdee wakienda mahakamani jibu ni kuwa wao ni Binafsi
Au siyo ndugu Pascal?