CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Leo mwana JF huyu, kaibua hoja hii

Mkuu Rabbon , kiukweli huyu jamaa yenu, anawazeveza tuu, kujifanya hajui!. Kama sio huyu Mama, Chadema saa hizi ingekuwa RIP long time ago, kama nilivyo andika hapa CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao kama sio Samia, Chadema would have been long dead kwa ukata!.

Baada ya Chadema kutotambua matokeo, ikawatimua kina Mdee, wakakata rufaa Baraza Kuu, kutokana na ukata, Chadema ilishindwa kuitisha kikao cha Baraza Kuu, mpaka kiliposhikwa mkono na fulani!. Ina maana Lissu hakujua fedha za kuitisha Baraza Kuu zilitoka wapi?.

Viongozi wakuu wa Chadema, walifanya ziara nje ya nchi, chama kikiwa hoi bin taaban kiuchumi!, Lissu hakushangaa pesa zimetoka wapi ndio anajifanya kushangaa sasa!.

Kilichokuja kutokea, Chadema iliyatambua matokeo, ikalitambua Bunge na kumtambua rais, sasa wanalamba ruzuku ya wale wabunge wao 19!

Msikilize hapa JJ Mnyika
View: https://youtu.be/x5yFws4dc1U?si=8Xs0--sIxjLls1Qw.

P.

CHADEMA iko kwenye mioyo ya watu haiko kwenye pesa mkuu.
 
CHADEMA iko kwenye mioyo ya watu haiko kwenye pesa mkuu.
Hizo ni enzi za real politics, kujiunga na chama fulani ni imani, na mapenzi ya dhati ya moyoni. Enzi hizo fedha ilikuwa sii msingi, ni matokeo. Sasa ni tofauti, fedha ndio kila kitu!. Chadema ilishindwa kuendesha kikao cha Baraza Kuu kutokana na ukata, ingekuwa ni mapenzi ya dhati ya moyoni, wajumbe wa Baraza Kuu wangejitolea!. Mpaka Mama alipookoa jahazi ndipo Baraza Kuu likakutana!. Siasa za sasa pesa ndio kila kitu!.

Mimi ni Pro Nyerere, nimegombea CCM, sikutoa hata senti moja, nikapata kura 1.

Nilimshauri Magufuli kufuta ruzuku kwa vyama vya siasa Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
Na sasa nimemshauri Samia kufuta ruzuku Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee


View: https://youtu.be/kpOuytUa4O4?si=JO1joEa6GuP3pFAU
P
 
Hizo ni enzi za real politics, kujiunga na chama fulani ni imani, na mapenzi ya dhati ya moyoni. Enzi hizo fedha ilikuwa sii msingi, ni matokeo. Sasa ni tofauti, fedha ndio kila kitu!. Chadema ilishindwa kuendesha kikao cha Baraza Kuu kutokana na ukata, ingekuwa ni mapenzi ya dhati ya moyoni, wajumbe wa Baraza Kuu wangejitolea!. Mpaka Mama alipookoa jahazi ndipo Baraza Kuu likakutana!. Siasa za sasa pesa ndio kila kitu!.

Mimi ni Pro Nyerere, nimegombea CCM, sikutoa hata senti moja, nikapata kura 1.

Nilimshauri Magufuli kufuta ruzuku kwa vyama vya siasa Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
Na sasa nimemshauri Samia kufuta ruzuku Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee


View: https://youtu.be/kpOuytUa4O4?si=JO1joEa6GuP3pFAU
P

Hahaha unadhani ccm inapata wapi pesa? CCM ruzuku yao kubwa sana kuliko vyama vyote. Pia wanapewa na nchi rafiki au vyama rafiki kama CCP, na Vingine duniani.

Ili hivi vyama viweze kuwepo ruzuku lazima iwepo, vyama vile vya kiukombozi pia vilikuwa vinapata pesa kutoka nchi rafiki. Na mpaka sasa kila chama kina marafiki ndani na nje, ila Chadema walizuiliwa kupokea pesa moja kwa moja, ikatengenezwa kwamba pesa za Chadema kutoka nje zipitie serikali kuu, na mtoaji aseme ni za nini ili chama kisizitumie kwa kazi tofauti. Lakini hii ilikuwa kwa chadema na CUF(enzi hizo).
 
Hahaha unadhani ccm inapata wapi pesa? CCM ruzuku yao kubwa sana kuliko vyama vyote. Pia wanapewa na nchi rafiki au vyama rafiki kama CCP, na Vingine duniani.

Ili hivi vyama viweze kuwepo ruzuku lazima iwepo, vyama vile vya kiukombozi pia vilikuwa vinapata pesa kutoka nchi rafiki. Na mpaka sasa kila chama kina marafiki ndani na nje, ila Chadema walizuiliwa kupokea pesa moja kwa moja, ikatengenezwa kwamba pesa za Chadema kutoka nje zipitie serikali kuu, na mtoaji aseme ni za nini ili chama kisizitumie kwa kazi tofauti. Lakini hii ilikuwa kwa chadema na CUF(enzi hizo).
Aisee,Mungu aliamua ugomvi.
 
Back
Top Bottom