maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,231
- 1,308
Kwahiyo ccm hawana wabunge ambao ni wanasheria????Nani wa CCM mwenye hadhi sawa na Lissu?
Halafu, kama kuna jambo CCM hawana au hawafanyi, CHADEMA nao ndo wasifanye?
Sent using Jamii Forums mobile app