CHADEMA jifanyieni tathmini

CHADEMA jifanyieni tathmini

Mbona na nyie hampambani na hali yenu na mnaitegemea polisi iwakamate walohusika?

Nyie wafuasi hamna akili kabisa.

Mnachojua na mnachoweza ni kuzungusha mikono tu.
Ukiona mpaka mnatumia bunduki ujue mgolo umewashuka.
 
mmmnh

inamaana viongozi wote/wabunge wote walindwe???

si wapo bungeni,wenye itikadi tofauti,

Mtu anayeongoza jimbo kwa ticket ya CCM,alindwe sababu katika jimbo lake,kuna walio na itikadi tofauti??ya ukawa kwa mfano

Hahahaa...yaani wewe huwa nakuonea huruma tu saa ingine maana huo uwezo wako kwenye dome....hmmm.

Anywho...si kosa lako lakini.
 
Aisee nadhani waikuwa wakimpa ulinzi ila hawakutarajia kitu kama hiki, mwenyewe sikutarajia mbunge na mpinzani maarufu kuliko wote wa Magufuli kupigwa risasi kwenye akiwa kwenya makazi ya mawaziri

Unadhani walikuwa wakimpa?

Kwa hiyo hujui kama walikuwa wakimpa bali unadhani tu, siyo?

Nauliza hivyo ili niweze kujua kama unajua tofauti kati ya kudhani na kujua.
 
Truth be told, Watanzania kwa ujumla hatuko sensitive sana na ishu ya usalama kutokaña na mazingira yaliyojengeka muda mrefu. Kama ni kweli Gari linafuatiliwa tangu tegeta na bado una present hilo proudly there must be a very big weakness. All this time hio premio haijafuatiliwa na at least kuja na idea ya nani ana husika?. Lazima tukubali kuwajiba kwa Yale ambayo yapo ndani ya uwezo vinginevyo hatureflect kuwa mbadala wa kuchukua dola anytime soon
 
Kazi ya polisi ni KULINDA KILA RAIA bila kujali itikadi yake.

Polisi hawatakiwi kuwa na chama, ila hapa kwetu wana vyama.

Ni sawa na referee. Hatakiwi kuwa na timu, japo nao wana timu zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kuna tahadhari zilichukuliwa(ndo maana wakagunduwa kufuatiliwa mara kwa mara),however haikuhusisha security detail. Pia inaonyesha washambuliaji walifahamu kuwa mshambuliwaji asingekuwa na wasiwasi mwingi Dodoma ambapo ulinzi na usalama pengine ni wa juu zaidi kutokana na idadi za viongozi wanaokuwepo huko. Tena jirani na nyumba ya spika? Mtu wa tatu ama wa nne ki madaraka kama sikosei baada ya rais, na makamu wake?

Just my take.

However nakubaliana na hilo la chadema kutoa ulinzi.

Walau wewe una uelewa wa mambo kwa kiasi flani. Husukumwi tu na hisia za kiushabiki.

Lissu ni mwanasiasa high profile nchini.

Tayari alishahisi anawindwa.

Sielewi kwa nini CHADEMA hawakuwa proactive kwenye suala la ulinzi wake.

Kuhusu ulinzi kuwa ni wa juu Dodoma...look...inapokuja kwenye suala la ulinzi you don't take anything for granted.

Hata POTUS akiwa kwenye Oval office secret service huwa wapo futi chache kutoka alipo yeye.

Hata wao kwa wao huwa wanaangaliana kwa sababu ishawahi kutokea viongozi kuuwawa na walinzi wao wenyewe....rejea Indira Gandhi na Laurent Kabila.
 
CHADEMA wanashangaza sana.

Wana mentality ya utegemezi.

Utegemezi wa serikali ya CCM.

Sijui wataamka lini tu!!
Mkuu nimewahi kujifunza psychology ya kwenye Jamii ambapo imebebwa na mob psychology.

Hua Ni kawaida sana ukishindwa kuamua jambo fulani dhidi ya mwenye nguvu, huibuka watu kukutupia lawama wewe mnyonge. Huku wanamuona yule aliyekuonea yupo sahihi zaidi.


Sitaki kujadili kuhusu Gharama za ulinzi, nafasi ya Polisi kwa Raia, kesi za Red brigade kwa jeshi la polisi, and so forth...


Nachoweza kusema:-

Hakuna ulinzi utakaojiwekea binafsi kisha ukajihakikishia usalama 100% especially kama una bifu na serikali ilioko madarakani.

Salama ya kweli ni Mungu Tu.

Unaweza kua na ulinzi lakini huwezi jilinda na snipers.
Wapo watu duniani waliuwawa na walinzi wao vilevile.

Polisi wanawajibika kumlinda Tundu lisu lakini wana mipaka yao especially ikiwa WAMEPATA AGIZO TOKA JUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr.Slaa aliacha ombwe kubwa la uongozi CHADEMA haijafankiwa kuliziba ipasavyo ukweli huu hawataki kuukubali ili kurekebisha makosa waliyoyafanya.
Wanabaki wanajibaraguza na kujifaragua, kama kawaida yao. Hawataki kukubali makosa yao. Ngoja wamalizike mmoja baada ya mwingine ndio wataamka.
 
Sidhani kama ni jambo la kushangaa,tanzania tunayoishi hatukujua kama uongozi wa sasa utafikia hapa kwa tulipofika leo,sio kitu cha kawaida kwa mwanasiasa kutafutwa na kumiminiwa risasi nyingi kiasi kile,nafikir hili sio suala la chadema tu ila ni wanasiasa wote wanatakiwa wawe na ulinzi hata binafsi ili kuendana na kasi ya madaraka ya sasa.
 
CHADEMA wanashangaza sana.

Wana mentality ya utegemezi.

Utegemezi wa serikali ya CCM.

Sijui wataamka lini tu!!

Nyani toka juzi unaanzisha uzi na kuchangia nyingine kuonyesha cdm wanahisi tu wabaya wao ni serekali. Saa hii unajichanganya kuonyesha cdm walinde watu wao!! Je ww hukuona serekali ilivyotoa mapovu kuhusu red brigade? Jana mwenyekiti wa Bavicha kasema watachukua hatua dhidi ya hao watu wasiofahamika, je umeona uvccm wamesema nini leo kuhusu kusakwa watu wasiofahamika? Unapoona chama kinagoma polisi jamii unapata picha gani? Nakuhakikishia hata polisi watagoma polisi jamii kuhusu watu wanaokiri hawawafahamu. Najua utasema mlinzi binafsi, hata kama atakuwa na mlinzi binafsi iwapo mashambulizi ni kutoka sehemu nyetu atafanya nini? Jiulize kama dereva kaanza kutafutwa jana tena kupitia vyombo vya habari hapo hupati picha tu?
 
Back
Top Bottom