Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,528
- 1,621
Una maana gani kusema shame on you?
....dictionary inakuhusu...fanya referenceSent using Jamii Forums mobile app
Una maana gani kusema shame on you?
....dictionary inakuhusu...fanya referenceHao hao Polisi hua mnawaita POLISICCM na Lissu huwa anawaita haya mapolisi leo mbona mnakua na mahaba nao kiasi hicho?Ukimsikiliza IGP vizuri ni kama anatumia fursa ya kuripoti kukwepa ukweli
1. IGP na Mkuu wa Usalama walitajwa na TL. Hawa ni viongozi wa umma si wa kisiasa. Kuhusishwa tu na thuma kama hizo kulitosha wao kufanya jambo, kujitokeza na kueleza kwa namna yoyote iwe kukanusha au kumtaka TL athbitishe madai yake, hawakufanya lolote
2. Polisi wanasema hawawezi kutumia vyombo vya habari kupokea madai. Ni kweli lakini tujiulize pia, wanapata wapi muda wa kufuatilia watu katika mitandao ambayo ni sehemu ya vyombo vya habari kwa zama hizi? Kama ni porojo kama za TL kwanini wanakamata watu
3. Wakati Polisi wakikana kupata habari kupitia mikutano na waandishi, Polisi hao hao wanamtafuta Mashinji na dereva wa TL kwa kutumia vyombo vya habari.
Ni wakati gani vyombo vya habari ni muhimu au si muhimu kwao
4. Kuna Wabunge akiweno Nape wamepeleka taarifa rasmi kuhusu kufuatiliwa, nini kimetokea!
Nitashangaa sana kama Polisi watasikia habari zinazohusu usalama wakakaa kimya kwasababu si rasmi wakisubiri ajitokeze mtu kuripoti...I agree.
..Swali langu ni, polisi walichukua hatua gani?
..Siamini kwamba taarifa kama ile inahitaji kuwa rasmi ili IGP aifuatilie.
4. Kuna Wabunge akiweno Nape wamepeleka taarifa rasmi kuhusu kufuatiliwa, nini kimetokea!
Hakuna mahaba kuna maswali juu yao. Soma vizuri ueleweHao hao Polisi hua mnawaita POLISICCM na Lissu huwa anawaita haya mapolisi leo mbona mnakua na mahaba nao kiasi hicho?
Kuna sababu kwa nini zipo njia zilizo rasmi za kutoa taarifa polisi.
Mkuu huyo dreva kasema aliona gari likiwafatilia akamshaur Lissu asishuke sasa huon hapo anaweza kuwa kashka number za gar kchwan? pili akieleza kuwa lilianza kuwafatilia kuanzia point A mpaka C huoni polisi wakienda point A mpaka C na kuulizia watu wanaweza kuwa na description ya hiyo gar na kupata pa kuanzia?Hakuna mahaba kuna maswali juu yao. Soma vizuri uelewe
Pili, wao ndiyo mamlaka inayochunguza tukio hili. Kwa namna inaonekana kuna kujichanganya
Mfano, Polisi wanamtaka dereva wa TL ajisalimishe Dodoma au Dar
Ukisikiliza taarifa ile ni kama vile dereva 'ni mtuhumiwa' kwa jinsi ilivyoelezwa
Dereva wa TL ni mtu muhimu sana katika uchunguzi huu kwani matukio yote ya nyuma na hili la sasa amekuwa ni sehemu yake. Umuhimu wake ni katika kusaidia uchunguzi kwa taarifa
Kuna mambo mawili
1. Anaweza kuwa shahidi ikiwa watuhumiwa watapatikana
2. Anaweza kuwa mtuhumiwa ikiwa ushahidi utapatikana
Katika hali hizo, suala ni kumpata kama mtu muhimu katika uchunguzi na si 'mtuhumiwa'
Kwa maelezo ya kumtafuta dereva yule, unaweza kuona ni kama kuna 'conclusion' fulani kabla ya uchunguzi au wakati uchunguzi unaendelea. Kwa tukio la TL kunahitajika weledi kinyume chake ni kuongeza mashaka yasiyo ya lazima kwa wanaofikiri hata kama fikra zao ni mbovu
Well said, ndiyo maana tunauliza kulikuwa na sababu gani za kutangaza wanamtafauta dereva wa TL? Kuna sababu gani za kueleza wamekamata magari 10? Kwanini wasifuatilie kimya kimya kama wanavyofanya suala la Wabunge walioripotiLabda wanafuatilia na wakishajua kulikoni wataufahamisha umma au watawafahamisha watoaji taarifa.Hayo mambo huchukua muda kuyafanyia uchunguzi.
Ya ccm yanawashinda unadhan ya chadema utayaweza? Pambanen na hal zenu za kwetu mtuachie wenyewe.
Ya ngoswe mwachie ngoswe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui hata unazungumzia niniMkuu huyo dreva kasema aliona gari likiwafatilia akamshaur Lissu asishuke sasa huon hapo anaweza kuwa kashka number za gar kchwan? pili akieleza kuwa lilianza kuwafatilia kuanzia point A mpaka C huoni polisi wakienda point A mpaka C na kuulizia watu wanaweza kuwa na description ya hiyo gar na kupata pa kuanzia?
Mwisho soma taarifa ya mara ya kwanza iliyotolewa ya watu walioenda Nairobi na mgonjwa ilielezwa ni Mbowe,Msingwa na mke wa Lissu baada ya kuona Dreva anahitajika polisi hapo hapo nae akajumuishwa kuwa yupo Nairobi hahaaaaaa
aisee Gwajima hatariwapi polisi wamesema wanamtaka dreva kama mtuhumiwa?Sijui hata unazungumzia nini
Sikiliza, nimeandika kuwa dereva wa TL ni muhimu sana kwasababu matukio ya nyuma na hili la sasa amekuwa ni sehemu yake. Katika uchunguzi huyu ni mtu muhimu sana ili kupata mwongozo. Hili umeelewa nadhani na sitarajii kama utauliza tena
Pili, nikasema Polisi wanapomtaka katika hali ya 'mtuhumiwa' wanajinyima fursa
1. Anaweza kuwa shahidi mbele ya safari kwa maana hiyo unayosema ikiwemo namba, watu,aina gari, majira, ilianza lini n.k. Hili nadhani umeelewa sitarajii utauliza tena
2. Anaweza kuwa mtuhumiwa ikiwa kuna ushahidi utakao mu implicate na suala zima
Katika uchunguzi kila kitu kinakuwa mezani na kinaangaliwa kwa undani.
Hii ni nadharia tu na sidhani kama hujaelewa na utauliza tena.
3. Kwavile ni mtu muhimu kilichotakiwa ni kushirikiana naye si kuanza 'kumuonyesha kama mtuhumiwa''.
Uchunguzi ni udadidisi ambao mwisho huwa na matokeo iwe chanya au hasi
Nikueleza jambo moja ikitokea upo eneo la uhalifu kuna sababu nyingi Polisi waakuhitaji
1. Kuwapa mwongozo wa nini kimetokea ili waweze kuendelea na uchunguzi
2. Uwepo wako unaweza kuwa ni shahidi kama yule wa serikali dhidi ya kesi ya TL
3. Unaweza kuwa mtuhumiwa wa tukio pia
Nadhani umeelewa
Wewe kila mtu akitembea na bastola nchi hii ulishaambiwa asilimia 90 vichaaCHADEMA wanashangaza sana.
Wana mentality ya utegemezi.
Utegemezi wa serikali ya CCM.
Sijui wataamka lini tu!!
Kwa statement yako,unatuaminisha Tanzania si mahala salama? Kwa nini tuanze kuishi kwa hofu? Kwa nini CHADEMA wasiamini ulinzi wa serikali kwa raia wake?Nyie CHADEMA sikilizeni....amkeni sasa.
Anzeni kuwa mnafikiria kwa hatua kadhaa mbele.
Hatua zenye manufaa kwa mustakabali wa chama chenu na viongozi wenu.
Hivi nyie mna idara ya usalama kweli? Kama mnayo, iweje suala la ulinzi kwa Tundu Lissu mlikuwa hamjaona umuhimu wake?
Kwa nini Lissu hakuwa na ulinzi imara wa watu wenye silaha za moto?
Kwa kweli hapo mmeudondosha mpira. Na kama mna watu wanaohusika na usalama ndani ya chama chenu basi hamna budi kufanya maamuzi magumu na kuwatimulia mbali.
Haiwezekani kiongozi mkubwa kwenye chama kama Lissu asiwe na usalama wa kueleweka.
Sijui mlikuwa mnaitegemea serikali kwenye hilo!
Kiongozi wa juu tena mwenye mbwembwe na cheche kama Lissu kutembea tembea bila ulinzi wa maana ni upumbavu.
Ni upumbavu kwa sababu tayari yeye atakuwa ni mlengwa wa mashambulizi toka kwa wabaya wake. Anapotembea bila ulinzi anakuwa ni shabaha iliyo rahisi sana kuilenga.
Haiingii akilini kwa nini hadi siku ya lile tukio mlikuwa hamjampatia ulinzi huyo mwanasheria wenu mkuu.
Shame on you.
Kwani wale jamaa wenye makoti na miwani kama majambazi wa movie za kibongo kazi yao nini?Ulinzi wa raia sio jukumu la chadema ni la jeshi la polisi ambao wanalipwa kwa kodi za wananchi wa vyama na dini zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa katoa ushauri mzuri sana ..Ni vyema CDM wajitathimini Hata mimi huwa hainiingii akilini kwanini wanashindwa kujilinda wenyewe wanabaki kulalamika tu.Mungu azidi kutupa busaraYa ccm yanawashinda unadhan ya chadema utayaweza? Pambanen na hal zenu za kwetu mtuachie wenyewe.
Ya ngoswe mwachie ngoswe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyani Ngabu,
..walinzi wenye bunduki/bastola??
..what if wakimjia na ma rpg?
..na sidhani kama wataruhusiwa kuwa na ulinzi wa aina hiyo.
..kwamba walitaka kumuua mchana kweupe, tena eneo la makazi ya viongozi, inaonyesha jinsi gani hao wauaji wanavyofanya ukatili wao kwa kujinafasi, na bila wasiwasi wowote.