CHADEMA, sio kila kitu cha kujadiliwa na viongozi, mjue mahali pa viongozi kufunga midomo

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,681
46,363
CHADEMA kama mnalenga kushika madaraka kwa kura kuna mambo viongozi wenu hawapaswi kuyaongelea kabisa katika umma kwa sababu yanawagawa raia.

Suala kama vita vya Ukraine na Urusi viongozi wa chama chenu hawapaswi kuliongolea kwa kuchukua upande.

Vita vya Israel na Hamas havipaswi kuzungumzwa na viongozi wenu katika umma hasa kwa kuchukua upande tena na kiongozi mkubwa kama Lissu. Hili hata Gwajima amewashinda.

Msiwe mnailinganisha Tanzania na nchi majirani kama Kenya au Rwanda kwa kuonyesha udhaifu kwani mnaoidogosha na pia kuna Watanzania wengi sana wanaona Tanzania ni bora kuliko hizo nchi hivyo mnawakwaza bila sababu za msingi.
 
CHADEMA kama mnalenga kushika madaraka kwa kura kuna mambo viongozi wenu hawapaswi kuyaongelea kabisa katika umma kwa sababu yanawagawa raia.

Suala kama vita vya Ukraine na Urusi viongozi wa chama chenu hawapaswi kuliongolea kwa kuchukua upande.

Vita vya Israel na Hamas havipaswi kuzungumzwa na viongozi wenu katika umma hasa kwa kuchukua upande tena na kiongozi mkubwa kama Lissu. Hili hata Gwajima amewashinda.

Msiwe mnailinganisha Tanzania na nchi majirani kama Kenya au Rwanda kwa kuonyesha udhaifu kwani mnaoidogosha na pia kuna Watanzania wengi sana wanaona Tanzania ni bora kuliko hizo nchi hivyo mnawakwaza bila sababu za msingi.
Ndio maana tunafanywa Mazuzu. Issue kubwa kama ya Gaza hata kujua vyama na viongozi wao wanasimamia unata tufiche?

Ni vizuri kwa viongozi kuwa na misimamo hata kwenye topic ngumu. Viongozi bora ni wale wapo Tayari kuhesabiwa hata kwenye mambo yenye utata.
 
CHADEMA kama mnalenga kushika madaraka kwa kura kuna mambo viongozi wenu hawapaswi kuyaongelea kabisa katika umma kwa sababu yanawagawa raia.

Suala kama vita vya Ukraine na Urusi viongozi wa chama chenu hawapaswi kuliongolea kwa kuchukua upande.

Vita vya Israel na Hamas havipaswi kuzungumzwa na viongozi wenu katika umma hasa kwa kuchukua upande tena na kiongozi mkubwa kama Lissu. Hili hata Gwajima amewashinda.

Msiwe mnailinganisha Tanzania na nchi majirani kama Kenya au Rwanda kwa kuonyesha udhaifu kwani mnaoidogosha na pia kuna Watanzania wengi sana wanaona Tanzania ni bora kuliko hizo nchi hivyo mnawakwaza bila sababu za msingi.
Hao ambao hawajasema lolote wametusaidiaje kwenye mahitaji yetu muhimu
 
Ndio maana tunafanywa Mazuzu. Issue kubwa kama ya Gaza hata kujua vyama na viongozi wao wanasimamia unata tufiche?

Ni vizuri kwa viongozi kuwa na misimamo hata kwenye topic ngumu. Viongozi bora ni wale wapo Tayari kuhesabiwa hata kwenye mambo yenye utata.
Mambo ya DRC na Rwanda ndio yanaihusu zaidi Tanzania na yenye maslahi makubwa kuliko ya huko Gaza.
 
Lazima wajue ni wakati upi wa kusema na wakati upi wa kunyamaza, na unaposema unatakiwa useme kitu gani, sio useme jambo nusu halafu nusu nyingine uwaachie wengine hiyo kazi ya kutafuta majibu, hapo huwezi kubaki salama.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA kama mnalenga kushika madaraka kwa kura kuna mambo viongozi wenu hawapaswi kuyaongelea kabisa katika umma kwa sababu yanawagawa raia.

Suala kama vita vya Ukraine na Urusi viongozi wa chama chenu hawapaswi kuliongolea kwa kuchukua upande.

Vita vya Israel na Hamas havipaswi kuzungumzwa na viongozi wenu katika umma hasa kwa kuchukua upande tena na kiongozi mkubwa kama Lissu. Hili hata Gwajima amewashinda.

Msiwe mnailinganisha Tanzania na nchi majirani kama Kenya au Rwanda kwa kuonyesha udhaifu kwani mnaoidogosha na pia kuna Watanzania wengi sana wanaona Tanzania ni bora kuliko hizo nchi hivyo mnawakwaza bila sababu za msingi.
Chama chenye nia ya kushika dola hakilalamiki tu uchwao, kuzira, kususa na kutukana viongozi na wananchi wasiowaunga mkono, kinatakiwa kutoa alternatives plans , sera, na mikakati ya kushika dola, kuunda serikali, kuwatumikia na kuwainua wananchi ....

Tz naona kama hamna
 
CHADEMA kama mnalenga kushika madaraka kwa kura kuna mambo viongozi wenu hawapaswi kuyaongelea kabisa katika umma kwa sababu yanawagawa raia.

Suala kama vita vya Ukraine na Urusi viongozi wa chama chenu hawapaswi kuliongolea kwa kuchukua upande.

Vita vya Israel na Hamas havipaswi kuzungumzwa na viongozi wenu katika umma hasa kwa kuchukua upande tena na kiongozi mkubwa kama Lissu. Hili hata Gwajima amewashinda.

Msiwe mnailinganisha Tanzania na nchi majirani kama Kenya au Rwanda kwa kuonyesha udhaifu kwani mnaoidogosha na pia kuna Watanzania wengi sana wanaona Tanzania ni bora kuliko hizo nchi hivyo mnawakwaza bila sababu za msingi.
Misimamo ya Nyerere ilikuwa wazi kwenye mambo haya, je naye Nyerere alikuwa na tatizo kama Hawa viongozi wa cdm?
 
Chama chenye nia ya kushika dola hakilalamiki tu uchwao, kuzira, kususa na kutukana viongozi na wananchi wasiowaunga mkono, kinatakiwa kutoa alternatives plans , sera, na mikakati ya kushika dola, kuunda serikali, kuwatumikia na kuwainua wananchi ....

Tz naona kama hamna
Hamna mwananchi anatukanwa, usichanganye wananchi na viongozi majizi ya kura. Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.

Sera zipo kibao, ila huzisomi unabaki kuimba propaganda za chama la majizi ya kura humu mitandaoni.
 
CHADEMA kama mnalenga kushika madaraka kwa kura kuna mambo viongozi wenu hawapaswi kuyaongelea kabisa katika umma kwa sababu yanawagawa raia.

Suala kama vita vya Ukraine na Urusi viongozi wa chama chenu hawapaswi kuliongolea kwa kuchukua upande.

Vita vya Israel na Hamas havipaswi kuzungumzwa na viongozi wenu katika umma hasa kwa kuchukua upande tena na kiongozi mkubwa kama Lissu. Hili hata Gwajima amewashinda.

Msiwe mnailinganisha Tanzania na nchi majirani kama Kenya au Rwanda kwa kuonyesha udhaifu kwani mnaoidogosha na pia kuna Watanzania wengi sana wanaona Tanzania ni bora kuliko hizo nchi hivyo mnawakwaza bila sababu za msingi.
Chama cha demokrasia na maendeleo.

Na demokrasia inasifika kwa kweli na uwazi.

Hiki unachofanya wewe ni unafiki ndicho kile kile nilicho zungumza kuwa demokrasia ni mfumo wa kinafiki hauwezi fanikiwa sehemu yoyote ile duniani kwa sababu ya unafiki.

Sifikiri kama hao viongozi baadhi wangetoka misimamo ya kukufurahisha ungeleta hiki kiuzi chako hapa.
 
Misimamo ya Nyerere ilikuwa wazi kwenye mambo haya, je naye Nyerere alikuwa na tatizo kama Hawa viongozi wa cdm?
Nyerere alikuwa hategemei kura kushika au kubaki madarakani. Hakukuwa na ushindani wowote kipindi chake.
 
Lisu Nilikuwa namheshimu Lakini Kwa pumba alizoongea nimememfuta haji kuongoza Nchi Hii.

..Ni vizuri kuwafahamu kwa kina viongozi tunaowachagua.

..Lissu anaonyesha mfano bora kwa kuwa muwazi kuhusu mambo anayoyaamini.

..Hiyo inasaidia wapiga kura kujua wanachagua kiongozi wa aina gani.

..Wewe umeamua kumpuuza Lissu jambo ambalo una uhuru nalo, na umefika uamuzi huo baada ya kujiridhisha kuwa sikubaliani na hoja za Lissu.
 
CHADEMA kama mnalenga kushika madaraka kwa kura kuna mambo viongozi wenu hawapaswi kuyaongelea kabisa katika umma kwa sababu yanawagawa raia.

Suala kama vita vya Ukraine na Urusi viongozi wa chama chenu hawapaswi kuliongolea kwa kuchukua upande.

Vita vya Israel na Hamas havipaswi kuzungumzwa na viongozi wenu katika umma hasa kwa kuchukua upande tena na kiongozi mkubwa kama Lissu. Hili hata Gwajima amewashinda.

Msiwe mnailinganisha Tanzania na nchi majirani kama Kenya au Rwanda kwa kuonyesha udhaifu kwani mnaoidogosha na pia kuna Watanzania wengi sana wanaona Tanzania ni bora kuliko hizo nchi hivyo mnawakwaza bila sababu za msingi.
Tundu Lissu kaenda Kenya na kusema Kenya iko mbali Sana kwa demokrasia...

Nimeshaongea Sana kuwa Lissu hajui siasa za kikabila za Kenya?
Hajui hao wapinzani wote kina Kibali na Uhuru Kenyatta ni wakikuyu waliotoka Kanu wote?..
 
Back
Top Bottom