Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Hata kuanzisha thread ni kuchangia. Tena ni kuchangia kujaza nafasi katika servers kwa uzi wa kipuuzi. Wee Julius vipi wewe?Si lazima kuchangia.
Hata kuanzisha thread ni kuchangia. Tena ni kuchangia kujaza nafasi katika servers kwa uzi wa kipuuzi. Wee Julius vipi wewe?Si lazima kuchangia.
Duuh, aisee.Tundu Lisu anajiamini sana kwa sababu anamiliki kijibastola fulani hivi cha kichina
Mkuu nimewahi kujifunza psychology ya kwenye Jamii.
Ni kawaida sana ukishindwa kuamua jambo dhidi ya mwenye nguvu, huibuka watu kukutupia lawama wewe.
Na wengine wanamuona yule aliyekuonea yupo sahihi zaidi zaidi.
Sitaki kujadili kuhusu Gharama za ulinzi and so foth.
My Take:-
In short hakuna ulinzi utakaojiwekea mbele ya serikali inayokuongoza ambao utauamini kua utakuweka Salama 100%.
Salama ya kweli ni Mungu Tu.
Unaweza kua na ulinzi lakini huwezi jilinda na snipers
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kuanzisha thread ni kuchangia. Tena ni kuchangia kujaza nafasi katika servers kwa uzi wa kipuuzi. Wee Julius vipi wewe?
So unaona mwenyewe majibu.Hakuna ulinzi ulio wa 100%.
Hata ulinzi wa rais si wa asilimia 100.
Indira Gandhi aliuliwa na walinzi wake wenyewe. Laurent Kabila naye aliuliwa na mlinzi wake.
Lakini hiyo haimaanishi kwamba viongozi wasilindwe.
Tanzania ni nchi ya Amani na tulizoeshwa hivyo .Nyie CHADEMA sikilizeni....amkeni sasa.
Anzeni kuwa mnafikiria kwa hatua kadhaa mbele.
Hatua zenye manufaa kwa mustakabali wa chama chenu na viongozi wenu.
Hivi nyie mna idara ya usalama kweli? Kama mnayo, iweje suala la ulinzi kwa Tundu Lissu mlikuwa hamjaona umuhimu wake?
Kwa nini Lissu hakuwa na ulinzi imara wa watu wenye silaha za moto?
Kwa kweli hapo mmeudondosha mpira. Na kama mna watu wanaohusika na usalama ndani ya chama chenu basi hamna budi kufanya maamuzi magumu na kuwatimulia mbali.
Haiwezekani kiongozi mkubwa kwenye chama kama Lissu asiwe na usalama wa kueleweka.
Sijui mlikuwa mnaitegemea serikali kwenye hilo!
Kiongozi wa juu tena mwenye mbwembwe na cheche kama Lissu kutembea tembea bila ulinzi wa maana ni upumbavu.
Ni upumbavu kwa sababu tayari yeye atakuwa ni mlengwa wa mashambulizi toka kwa wabaya wake. Anapotembea bila ulinzi anakuwa ni shabaha iliyo rahisi sana kuilenga.
Haiingii akilini kwa nini hadi siku ya lile tukio mlikuwa hamjampatia ulinzi huyo mwanasheria wenu mkuu.
Shame on you.
So unaona mwenyewe majibu.
Ni mlinzi Gani nchini anaweza kukulinda dhidi ya Agizo toka Juu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ni nchi ya Amani na tulizoeshwa hivyo .
Mambo ya siraha za moto wala hayasaidii kitu kama watu wakiamua kukumaliza...
Hivi unajua karume aliuawa na nani vile?.....
Siafiki swala la kulindana kwa siraha za moto .
Kwani polisi wanalipwa kwa ajili ya nini?Mbona na nyie hampambani na hali yenu na mnaitegemea polisi iwakamate walohusika?
Nyie wafuasi hamna akili kabisa.
Mnachojua na mnachoweza ni kuzungusha mikono tu.
Kwani polisi wanalipwa kwa ajili ya nini?
Ben alikuwa mtu muhimu sana.walijua.ndio maana wakaanza naeHivi nyie mna idara ya usalama kweli? Kama mnayo, iweje suala la ulinzi kwa Tundu Lissu mlikuwa hamjaona umuhimu wake?
Hahahaa...yaani wewe huwa nakuonea huruma tu saa ingine maana huo uwezo wako kwenye dome....hmmm.
Anywho...si kosa lako lakini.
Hapo nakubaliana na wewe! lakini haiondoi ukweli kwamba hata kama Chadema wataweka ulinzi kwa viongozi wao bado jukumu la jumla kwa polisi na serikali ni kuhakikisha usalama kwa wananchi wote ikiwemo viongozi wa Chadema. Kwa hiyo Chadema kuwategemea polisi sio hisani!Polisi hawawezi kuwepo kila mahali, kila wakati, na kwa kila mtu.
CHADEMA wanashangaza sana.
Wana mentality ya utegemezi.
Utegemezi wa serikali ya CCM.
Sijui wataamka lini tu!!
Hilo agizo kutoka juu ni usadiki wako tu. Huna ushahidi nalo. Kama unao, uweke hapa.
Licha ya hivyo, haimaanishi mtu usijiandae kwa kujihami.
Unachosema wewe ni sawa na kusalimu amri.
Cowardice mentality.
Nyie CHADEMA sikilizeni....amkeni sasa.
Anzeni kuwa mnafikiria kwa hatua kadhaa mbele.
Hatua zenye manufaa kwa mustakabali wa chama chenu na viongozi wenu.
Hivi nyie mna idara ya usalama kweli? Kama mnayo, iweje suala la ulinzi kwa Tundu Lissu mlikuwa hamjaona umuhimu wake?
Kwa nini Lissu hakuwa na ulinzi imara wa watu wenye silaha za moto?
Kwa kweli hapo mmeudondosha mpira. Na kama mna watu wanaohusika na usalama ndani ya chama chenu basi hamna budi kufanya maamuzi magumu na kuwatimulia mbali.
Haiwezekani kiongozi mkubwa kwenye chama kama Lissu asiwe na usalama wa kueleweka.
Sijui mlikuwa mnaitegemea serikali kwenye hilo!
Kiongozi wa juu tena mwenye mbwembwe na cheche kama Lissu kutembea tembea bila ulinzi wa maana ni upumbavu.
Ni upumbavu kwa sababu tayari yeye atakuwa ni mlengwa wa mashambulizi toka kwa wabaya wake. Anapotembea bila ulinzi anakuwa ni shabaha iliyo rahisi sana kuilenga.
Haiingii akilini kwa nini hadi siku ya lile tukio mlikuwa hamjampatia ulinzi huyo mwanasheria wenu mkuu.
Shame on you.
Mkuu ulipotelea wapi maana mawazo yako humu jf yanahitajika sana. Tatizo la hawa wenzetu wakiambiwa ukweli wanahamisha goli. Halafu wanawasema wenzao wa ccm. Taabu sanaUsichange, hili ni jambo dogo. Unaweza kuelewa kuwa Chama kilikodisha Choppa 4 kwa zaidi ya Tzs. bilioni 8 kuendesha kampeni za Mgombea urais (2015) lakini wakashindwa kupata/kutenga bajeti ya Tzs. million 50 kulipa mawakala elfu 5 kusimamia kura za Mgombea urais wao. Hawa jamaa hopeless kabisa. Mwenyekiti na sekretariat wao chao ni dili tu, basi.