CHADEMA jifanyieni tathmini

CHADEMA jifanyieni tathmini

Mkuu nimewahi kujifunza psychology ya kwenye Jamii.

Ni kawaida sana ukishindwa kuamua jambo dhidi ya mwenye nguvu, huibuka watu kukutupia lawama wewe.
Na wengine wanamuona yule aliyekuonea yupo sahihi zaidi zaidi.

Sitaki kujadili kuhusu Gharama za ulinzi and so foth.

My Take:-
In short hakuna ulinzi utakaojiwekea mbele ya serikali inayokuongoza ambao utauamini kua utakuweka Salama 100%.

Salama ya kweli ni Mungu Tu.

Unaweza kua na ulinzi lakini huwezi jilinda na snipers

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna ulinzi ulio wa 100%.

Hata ulinzi wa rais si wa asilimia 100.

Indira Gandhi aliuliwa na walinzi wake wenyewe. Laurent Kabila naye aliuliwa na mlinzi wake.

Lakini hiyo haimaanishi kwamba viongozi wasilindwe.
 
Hakuna ulinzi ulio wa 100%.

Hata ulinzi wa rais si wa asilimia 100.

Indira Gandhi aliuliwa na walinzi wake wenyewe. Laurent Kabila naye aliuliwa na mlinzi wake.

Lakini hiyo haimaanishi kwamba viongozi wasilindwe.
So unaona mwenyewe majibu.
Ni mlinzi Gani nchini anaweza kukulinda dhidi ya Agizo toka Juu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie CHADEMA sikilizeni....amkeni sasa.

Anzeni kuwa mnafikiria kwa hatua kadhaa mbele.

Hatua zenye manufaa kwa mustakabali wa chama chenu na viongozi wenu.

Hivi nyie mna idara ya usalama kweli? Kama mnayo, iweje suala la ulinzi kwa Tundu Lissu mlikuwa hamjaona umuhimu wake?

Kwa nini Lissu hakuwa na ulinzi imara wa watu wenye silaha za moto?

Kwa kweli hapo mmeudondosha mpira. Na kama mna watu wanaohusika na usalama ndani ya chama chenu basi hamna budi kufanya maamuzi magumu na kuwatimulia mbali.

Haiwezekani kiongozi mkubwa kwenye chama kama Lissu asiwe na usalama wa kueleweka.

Sijui mlikuwa mnaitegemea serikali kwenye hilo!

Kiongozi wa juu tena mwenye mbwembwe na cheche kama Lissu kutembea tembea bila ulinzi wa maana ni upumbavu.

Ni upumbavu kwa sababu tayari yeye atakuwa ni mlengwa wa mashambulizi toka kwa wabaya wake. Anapotembea bila ulinzi anakuwa ni shabaha iliyo rahisi sana kuilenga.

Haiingii akilini kwa nini hadi siku ya lile tukio mlikuwa hamjampatia ulinzi huyo mwanasheria wenu mkuu.

Shame on you.
Tanzania ni nchi ya Amani na tulizoeshwa hivyo .

Mambo ya siraha za moto wala hayasaidii kitu kama watu wakiamua kukumaliza...

Hivi unajua karume aliuawa na nani vile?.....

Siafiki swala la kulindana kwa siraha za moto .
 
Walikua wanamlinda Wema Sepetu kwa mbweeembwe.....

+Ila kile kitengo walichokitengeneza enzi za Dr. Slaa ilikua matata sana
 
So unaona mwenyewe majibu.
Ni mlinzi Gani nchini anaweza kukulinda dhidi ya Agizo toka Juu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hilo agizo kutoka juu ni usadiki wako tu. Huna ushahidi nalo. Kama unao, uweke hapa.

Licha ya hivyo, haimaanishi mtu usijiandae kwa kujihami.

Unachosema wewe ni sawa na kusalimu amri.

Cowardice mentality.
 
Tanzania ni nchi ya Amani na tulizoeshwa hivyo .

Mambo ya siraha za moto wala hayasaidii kitu kama watu wakiamua kukumaliza...

Hivi unajua karume aliuawa na nani vile?.....

Siafiki swala la kulindana kwa siraha za moto .

Kwa hiyo unachosema hakuna kabisa haja wala ulazima wowote ule wa kujilinda kwa sababu kama watu wameamua kukumaliza watakumaliza tu?

Sorry dude, I'd rather die on my feet fighting for my life than on my knees begging for it to be spared.

No guts, no glory.
 
Mbona na nyie hampambani na hali yenu na mnaitegemea polisi iwakamate walohusika?

Nyie wafuasi hamna akili kabisa.

Mnachojua na mnachoweza ni kuzungusha mikono tu.
Kwani polisi wanalipwa kwa ajili ya nini?
 
Polisi hawawezi kuwepo kila mahali, kila wakati, na kwa kila mtu.
Hapo nakubaliana na wewe! lakini haiondoi ukweli kwamba hata kama Chadema wataweka ulinzi kwa viongozi wao bado jukumu la jumla kwa polisi na serikali ni kuhakikisha usalama kwa wananchi wote ikiwemo viongozi wa Chadema. Kwa hiyo Chadema kuwategemea polisi sio hisani!
 
naungana kabisa na wewe.ni uzembe wa hali ya juu kuacha mtu kama Lissu bila ulinzi. Chadema kwa hili mkubali mmechemka.

bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
 
Hilo agizo kutoka juu ni usadiki wako tu. Huna ushahidi nalo. Kama unao, uweke hapa.

Licha ya hivyo, haimaanishi mtu usijiandae kwa kujihami.

Unachosema wewe ni sawa na kusalimu amri.

Cowardice mentality.

Kakaaaa , Open your EYeS and see what has been transpired.

Hii unayoiya Cowardice mentality ndio Fact sasa. Hizo nyingine mbwembwe.

Unfortunatelly, Nyie wasomi mnasomeshwa ili kuwapotosha wananchi kwa nadharia zenu zilizojaa Uoga, Unafiki na kujikomba.


Mkuu kasema waziwazi bila kupepesa macho kua hii Ni vita...na wasaliti na kawaida, adhabu yao ni kifo.

Speech yake alipoongea na wabunge imekua unpopular.
We are no Fool, we all know What The president is alluding to..

Huihitaji kusomea PHD ili ku- forecast the next move.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie CHADEMA sikilizeni....amkeni sasa.

Anzeni kuwa mnafikiria kwa hatua kadhaa mbele.

Hatua zenye manufaa kwa mustakabali wa chama chenu na viongozi wenu.

Hivi nyie mna idara ya usalama kweli? Kama mnayo, iweje suala la ulinzi kwa Tundu Lissu mlikuwa hamjaona umuhimu wake?

Kwa nini Lissu hakuwa na ulinzi imara wa watu wenye silaha za moto?

Kwa kweli hapo mmeudondosha mpira. Na kama mna watu wanaohusika na usalama ndani ya chama chenu basi hamna budi kufanya maamuzi magumu na kuwatimulia mbali.

Haiwezekani kiongozi mkubwa kwenye chama kama Lissu asiwe na usalama wa kueleweka.

Sijui mlikuwa mnaitegemea serikali kwenye hilo!

Kiongozi wa juu tena mwenye mbwembwe na cheche kama Lissu kutembea tembea bila ulinzi wa maana ni upumbavu.

Ni upumbavu kwa sababu tayari yeye atakuwa ni mlengwa wa mashambulizi toka kwa wabaya wake. Anapotembea bila ulinzi anakuwa ni shabaha iliyo rahisi sana kuilenga.

Haiingii akilini kwa nini hadi siku ya lile tukio mlikuwa hamjampatia ulinzi huyo mwanasheria wenu mkuu.

Shame on you.

Nikweli kabisa ,,ilibidi awe na ulinzi hata kama hawatokuwa na silaha za moto,,lakini hata gari ambayo watakuwanayo ni siraha Tosha muda mwingine
 
Usichange, hili ni jambo dogo. Unaweza kuelewa kuwa Chama kilikodisha Choppa 4 kwa zaidi ya Tzs. bilioni 8 kuendesha kampeni za Mgombea urais (2015) lakini wakashindwa kupata/kutenga bajeti ya Tzs. million 50 kulipa mawakala elfu 5 kusimamia kura za Mgombea urais wao. Hawa jamaa hopeless kabisa. Mwenyekiti na sekretariat wao chao ni dili tu, basi.
Mkuu ulipotelea wapi maana mawazo yako humu jf yanahitajika sana. Tatizo la hawa wenzetu wakiambiwa ukweli wanahamisha goli. Halafu wanawasema wenzao wa ccm. Taabu sana
 
Back
Top Bottom