mkuu nipe habari nasikia Ngassa ameuzwa dolla elfu 70 na azamu, ila Rage ni kama anazitaka hizo dolla kwa kigezo kuwa Ngassa ni mchezaji halali wa Simba...nani mwenye haki na Ngasa kati ya Rage na Azam.?
Ngassa, Bocco na Kazimoto ni kama hawakuwa uwanjani leo......
Tujipange kwa mwakani.....Uganda wameupiga mpira wa ukweli leo......Tanzania tumedebweka leo....
Ball possession ni Tanzania 35-65 Uganda......Uganda waistahii ushindi...
Tatizo kwa Tanzania leo lilikuwa ni kiungo......Sure Boy alipwaya hivyo kumuacha Frank Domayo akihaha pekee dimbani....Pia Amri Kiemba hakuwa kwenye form leo......Kocha angemuingiza Chuji tangu kipindi cha kwanza....
Yote kwa yote niipongeze tu timu yetu hii iliyoundwa na chipukizi kwa kandanda safi waliyoionesha.....Timu hii ni nzuri, ikitunzwa itatuletea mafanikio sana siku za usoni...
Asanteni sana wana JF kwa ushirikiano wenu ambao umepelekea kufanikiwa kwa Updates hizi za CECAFA Tusker Challenge Cup 2012.......
Tukutane tena siku ya mechi ya kumtafuta mshindi wa tatu kati ya Bara na Visiwani..........What a match to watch
Ki-ukweli Uganda bado iko nyuma sana kwa vitu vya maendeleo. Hata barabara zao ni mbovu mpaka jiji Kampala. M7 anakula sana pesa na kakikundi kadogo ka watu wake na hawajali kabisa. Ingawa na kwetu kuna rushwa But we are doing far better than them.
Naona unakurupuka tu mkuu wangu....Ni wapi nimetoa lawama?......Kusema kwamba Uganda hawakustahili kuwa wenyeji ni kutoa lawama (za kushindwa)?...... Sina tabia hiyo(ya kutupa lawama)....
We hauoni kwamba Uganda wametuaibisha nchi wanachama wa CECAFA kwa kuchezesha mpira kwenye uwanja usio na sifa, uliojaa Tope (kama uliangalia mechi ya Rwanda na Zanzibar utaelewa nini namaanisha)....Pia siku ya kwanza mechi ilisimama kwa sababu ya umeme kukatika uwanjani na leo pia hivyohivyo.....Hauoni kuna tatizo hapa?.....Ni kwa nini mechi ziihamishiwa lugogo?....
Halafu, sababu za Tanzania bara kufungwa eo mbona nimeshazitaja hapo juu?.....Cheki post namba 1,707
Ngassa, Bocco na Kazimoto ni kama hawakuwa uwanjani leo......
Tujipange kwa mwakani.....Uganda wameupiga mpira wa ukweli leo......Tanzania tumedebweka leo....
Ball possession ni Tanzania 35-65 Uganda......Uganda walistahii ushindi...
Tatizo kwa Tanzania leo lilikuwa ni kiungo......Sure Boy alipwaya hivyo kumuacha Frank Domayo akihaha pekee dimbani....Pia Amri Kiemba hakuwa kwenye form leo......Kocha angemuingiza Chuji tangu kipindi cha kwanza....
Yote kwa yote niipongeze tu timu yetu hii iliyoundwa na chipukizi kwa kandanda safi waliyoionesha.....Timu hii ni nzuri, ikitunzwa itatuletea mafanikio sana siku za usoni...
Asanteni sana wana JF kwa ushirikiano wenu ambao umepelekea kufanikiwa kwa Updates hizi za CECAFA Tusker Challenge Cup 2012.......
Tukutane tena siku ya mechi ya kumtafuta mshindi wa tatu kati ya Bara na Visiwani..........What a match to watch
Mechi ya Kenya na Uganda itakuwa ngumu sana tofauti na watu wanavyodhani, Hawa ni watani wa jadi hivyo tutegemee mechi kali,nzuri na yenye ushindani wa kila aina...Tusihangae pia kuona Undava undava kwa kwenda mbele
Ila buti za mabeki wetu zilikuwa za hatari sema refa kasaidia, tulitakiwa tupigwe redi.
Jamani lile goli la tatu mkiangalia clip ile siyo kwamba mfungaji aliunawa mpira kabla ya kufunga?
Hongereni chipikizi kwa kuonyesha nia ya dhati kuzichezea timu za taifa. Sasa taratibu matunda ya timu za watoto na vijana za kukuza vipaji yaanza kuonekana.
Hongereni timu zetu kwa kuhakikisha tunarudi na nafasi ya tatu nyumbani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.