CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Mwinyi Kazimoto anakosa goli la wazi anapaisha mpira juu baada ya kupokea krosi toka kwa Amir Kiemba
 
Bwana Makoye Matale...mechi ilipoanza waliimba nyimbo gani? Na je walibadilishana vibendera?
 
Last edited by a moderator:
Dk 28 Jaku Juma anaumia baada ya Kevin Yondani kumgonga na mkuu tumboni wakati akitoa mpira nje
 
Dk 32 Amir Hamad anaingia kuchukua nafasi ya Jaku aliyeumizwa na Yondani hapo awali
Zanzibar wanapiga freeck wanashindwa kutumia nafasi
 
Mpira umetulia sana na kila timu inacheza taratibu, na kupanga mashambulizi kupitia katikati
Dk 36 Zanzibar wanapata freekick inatokea piga nikupige wanakosaa
Dk 37 Mpira unarushwa, Cannavaro anapaisha
 
Dk 38 Kaseja anaumi...anatibiwa...ananyanyuka sasa kupiga mpira wa goal kick
 
Dk 40 Ngassa anakosa ubunifu na kukosa goli baada ya kukimbia na mpira, Cannavaro anautoa na inakuwa kona
Stars wanashindwa kuitumia kona...
 
Dk 42 Zanzibar wanagongeana vizuri langoni mwa Stars, wanakosa goli...
 
Naona zenj wamemshtukia yule kipa wao mwadini aliekula chapaa za wakenya wamemjua msaliti wao,,hafai kabisa yule kucheza tena timu ya taifa ya zenj wa ya muungano yeye ndio amewasaliti wenzake,kama huamini tafuta cd ya mechi ya zenj na kenya semi fainal ya cecafa 2012,kauza mechi yule.
 
Dk 47 Aggrey Morris anafanya faulo, na anapewa Kadi ya Njano....freekick kwa Stars
Stars wanapata freekick, Chuji anapiga na mpira unatoka nje...
Mpira ni mapumziko
 
Back
Top Bottom