Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Hapa ndo unaona umuhimu wa Aden Rage, hii ngoma ingechezwa mezani kupitia rufaa, umeme si umekatwa
Tenga vp hawezi fitina?
Hapa ndo unaona umuhimu wa Aden Rage, hii ngoma ingechezwa mezani kupitia rufaa, umeme si umekatwa
Game on.............
ha ha ha ha!!hata mezani siyo mtaalamu sana!!!wapi mbuyu!Hapa ndo unaona umuhimu wa Aden Rage, hii ngoma ingechezwa mezani kupitia rufaa, umeme si umekatwa
Da Mkuu Mphamvu jitokeze kujibu hizi tuhuma za watu8 kwani ni nzito.unabisha au unakataa??
Mpira bado haujaanza...
Mi nimesimama tu Zamaulid amekaa kwenye siti yanguDakika 5
Da Mkuu Mphamvu jitokeze kujibu hizi tuhuma za watu8 kwani ni nzito.
Hapana tushakamatwa na ni dk ya 83 sasa...
Hapa ndo unaona umuhimu wa Aden Rage, hii ngoma ingechezwa mezani kupitia rufaa, umeme si umekatwa