CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Tusubiri kuwa wanne katika mashindano thr way ninavyoona hata ndugu zetu wa zenji watatugonga. Anyway ndio game
 
Ngassa, Bocco na Kazimoto game limewakataa leo....

Yondani awe muanga
lifu....Anamchezea rafu mbaya Ssentongo......Free kick


Cha tatu hicho

Tanzania 0-3 Uganda
Mie nafikiria hawana mbinu, ukicheza na timu ngumu, lazima upange mikakati. Sasa unacheza na timu ngumu halafu eti " gemu inakukataa" utatarajia nini? Wachezaji na kocha hawana mbinu kwa ninavyowaona mie. Naamini uwezo wanao, lkn bila mbinu uwezi enda popote.
 
Kenya wanaenda Fainali kwa kushinda penati 4 dhidi ya 2 za Zanzibar

Uzembe wa mabeki na goikipa Mwadini Ay Mwadini umewagharimu Wazanzibari.......
bila kuuma maneno golikipa wa zenj amekula chapaa za wakenya,amefungisha magoli 2 ktk dkk 90 zakawaida,,na katika penelt ameonyesha dhahiri kuwa amehongwa aiue zenj,,wakati wakenya wanapiga penalt kipa wa zenj alikua anawaonesha wakenya wapige kulia yeye anajiangusha kushoto,na tumerikodi ili kuweka kumbukumbui za usaliti wa kipa huyu kwa timu ya taifa ya zanzibar msitafte mchawi mchawi wenu ni kipa wenu amewasaliti,
 
Tehtehteh Jamaa kaamuwa kwenda kuzima tu Taaa ameenda kukata waya lol Balatanda atakuwa kaenda kuzima Taa game iishe tu kashachoka aibu anayoiona.:becky:
 
sheria zinasemaje ? mpira ukisimama kwa zaidi ya robo saa inabidi urudiwe kesho yake si ndivyo?
 
Mphamvu ndio kazima taa jamani...nimepewa taarifa hiyo sasa hivi...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom