La tatu...
Leo tuna nn jamani??
La tatu...
Kaseja astaafu jamani kha!!
Kaseja anaicost timu tena leo tunafanywa kitu mbaya
3 - 0
Wakuu hatuna sababu ya kubaki hapa turudi Jukwaa la Siasa, hamna kitu hapa
Kaseja astaafu jamani kha!!
Ngasa anazuga gemu hii imemkataa
Mkuu nimechoka vibaya mno!!!!!!!!
rafu ya kizembe sana imechezwa na Tanzania, Kaseja kadaka na kuutema mpira, waganda wanashambulia hapa kama watatu hivo,,,,ni goli!!Ssentongo tena!!-UG 3 vs TZ OMkuu nimechoka vibaya mno!!!!!!!!
kaseja kosa lake nini sasa hapo? Acheni lawama kikosi hiki kimekosewa
kaseja kosa lake nini sasa hapo? Acheni lawama kikosi hiki kimekosewa
Eti kudaka na kuutema mpira ndio kosa lake!!kaseja kosa lake nini sasa hapo? Acheni lawama kikosi hiki kimekosewa
rafu ya kizembe sana imechezwa na Tanzania, Kaseja kadaka na kuutema mpira, waganda wanashambulia hapa kama watatu hivo,,,,ni goli!!Ssentongo tena!!-UG 3 vs TZ O
Kaka wachezaji wanafanya madudu yaani bure kabisa...ona tunakoswa hapa Ssentongo anakua mchoyo