CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

bongo tutasubiri sana kama timu na meneja ni hivi. hovyo kabisa kazi kucheza ktk magazeti. Eti mmekaa kusubiri timu mbovu hii ishinde silverware forget. Bongo viwango hakuna period
 
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaa

Wabongo mnatamani Game iahirishwe.......Teh teh!
 
Leo najaribu tu kufurahisha Baraza kwa navyoujuwa mpira wetu wa Tanzania lazima "Mganga wa kienyeji" kama tunavyojuwa walivyowaongo na wezi atajitetea kwamba alijitahidi kufanyisha Taa zizimike kwamba kafanya kazi yake mganga anapewa pesa nyingi utakuta kuliko wachezaji Maganga na huyo Sio mbaguzi huyo mtu mweupe(mzungu) tehtehteh.
 
Sheria za fifa zinasemaje endapo tatizo likatokea na mchezo kusimama zaidi ya nusu saa?wana jf
 
Ni bora tupigwe 5 bila, ili kocha aelewe alichagua timu gani? Unajaza Simba ambao wanachechemea
 
Kumbuka UGANDA hawana historia za kukata umeme itakuwa tu mchizi mmoja wa Kitanzania kaamuwa kwenda tu kuzizima taa.

.., basi ni mafundi wetu wa TANESCO, wako pale uwanjani, kwani wanauzoefu na mgao...
 
Mkuu Mphamvu hawezi fanya tukio la namna hiyo hata siku moja...tena huyu jamaa ni mdau mkubwa katika tasnia ya michezo.

unabisha au unakataa??
Mpira bado haujaanza...
 
Back
Top Bottom