CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Yanga na Mafunzo vikosi vya leo(line-up) vimekaaje!!!

hii hapa
1.Yaw Berko - 19,
2.Juma Abdul - 14,
3.Oscar Joshua - 4,
4.Nadir Haroub Cannavaro (C) - 23
5.Kelvin Yondani - 5
6.Athuman Idd Chuji - 24
7.Rashid Gumbo - 16
8.Haruna Niyonzima - 8
9.Said Bahanunzi - 11
10.Hamis Kiiza - 20
11.Stephano Mwasika - 3

Subs;
1.Ally Mustapaha 'Barthez' - 1
2.Godfrey Taita - 17
3.Ladislaus Mbogo - 29
4.Juma Seif Kijiko - 13
5.Idrisa Rashid - 12
6.Shamte Ally - 15
7.Jeryson Tegete - 10

Head Coach: Tom Saintfiet
Assistant Coach: Fred Felix Minziro,
Goalkeeper Coach: Mfaume Athumani
Team Physician: Dr Sufian Juma
Massagist: Jacob Onyango
Kit Manager: Mahmoud Omary (Mpogolo)
 
Kitendo cha APR kuingia nusu fainali si habari nzuri hata kidogo kwa wana Yanga. Mechi itakuwa ngumu sana kwa vile timu hizi zilishacheza katika hatua ya makundi. APR siyo timu mbovu hata kidogo na itataka kulipa kisasi kwa Yanga, bahati mbaya hatua hii ni mtoano, ikiwa hivyo basi wana Yanga tutakuwa tumepata msiba wa mwaka. Nakumbuka mwaka 1993 kule Nakivubo stadium, Yanga ililala kwa 3-1 kwa SC Villa ya Uganda katika hatua ya makundi, timu hizi zilikutana fainali, mechi ilikuwa ngumu ajabu lakini mwisho Yanga waliibuka na kikombe katika nchi ya ugeni.

Nashauri benchi la ufundi la Yanga liweke mikakati maalum kuiong'oa APR, vinginevyo msiba unanukia.
 
Kitendo cha APR kuingia nusu fainali si habari nzuri hata kidogo kwa wana Yanga. Mechi itakuwa ngumu sana kwa vile timu hizi zilishacheza katika hatua ya makundi. APR siyo timu mbovu hata kidogo na itataka kulipa kisasi kwa Yanga, bahati mbaya hatua hii ni mtoano, ikiwa hivyo basi wana Yanga tutakuwa tumepata msiba wa mwaka. Nakumbuka mwaka 1993 kule Nakivubo stadium, Yanga ililala kwa 3-1 kwa SC Villa ya Uganda katika hatua ya makundi, timu hizi zilikutana fainali, mechi ilikuwa ngumu ajabu lakini mwisho Yanga waliibuka na kikombe katika nchi ya ugeni.

Nashauri benchi la ufundi la Yanga liweke mikakati maalum kuiong'oa APR, vinginevyo msiba unanukia.

pole mkuu oska makoye tolu..
 
URA kwa heri .haitakuwa ajabu fainal ikazikutanisha timu zote za tanzania
 
Kitendo cha APR kuingia nusu fainali si habari nzuri hata kidogo kwa wana Yanga. Mechi itakuwa ngumu sana kwa vile timu hizi zilishacheza katika hatua ya makundi. APR siyo timu mbovu hata kidogo na itataka kulipa kisasi kwa Yanga, bahati mbaya hatua hii ni mtoano, ikiwa hivyo basi wana Yanga tutakuwa tumepata msiba wa mwaka. Nakumbuka mwaka 1993 kule Nakivubo stadium, Yanga ililala kwa 3-1 kwa SC Villa ya Uganda katika hatua ya makundi, timu hizi zilikutana fainali, mechi ilikuwa ngumu ajabu lakini mwisho Yanga waliibuka na kikombe katika nchi ya ugeni.

Nashauri benchi la ufundi la Yanga liweke mikakati maalum kuiong'oa APR, vinginevyo msiba unanukia.

Aisee. Unaongelea mkakati wa kuitoa APR badala ya Mafunzo. Mwenzetu unaona mbali eeh
 
hii hapa
1.Yaw Berko - 19,
2.Juma Abdul - 14,
3.Oscar Joshua - 4,
4.Nadir Haroub Cannavaro (C) - 23
5.Kelvin Yondani - 5
6.Athuman Idd Chuji - 24
7.Rashid Gumbo - 16
8.Haruna Niyonzima - 8
9.Said Bahanunzi - 11
10.Hamis Kiiza - 20
11.Stephano Mwasika - 3

Subs;
1.Ally Mustapaha 'Barthez' - 1
2.Godfrey Taita - 17
3.Ladislaus Mbogo - 29
4.Juma Seif Kijiko - 13
5.Idrisa Rashid - 12
6.Shamte Ally - 15
7.Jeryson Tegete - 10

Head Coach: Tom Saintfiet
Assistant Coach: Fred Felix Minziro,
Goalkeeper Coach: Mfaume Athumani
Team Physician: Dr Sufian Juma
Massagist: Jacob Onyango
Kit Manager: Mahmoud Omary (Mpogolo)

wasiwasi wangu ni kwa Rashid Gumbo, vipi Nizar Alfan ni majerui???
 
Yanga wanapata goli mwamuzi anasema offside ni hamisi kiza diego yanga 0 mafunzo 0
 
Anatangazaga yule jamaa alifukuzwa TFF kwa Kiswahili lakini naona huwa anaboa sana bora show wapewe wakina Charles, Nkamia nk angalau hata vijana chipukizi wa TBC wanajitahidi sana.
 
Back
Top Bottom