MCHONGANISHI
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 372
- 364
wanayanga wenzangu msihofu tutasawazisha kwenye kipindi CHA michezo L.O.L!
yanga timu ya magazetini fungwe goli mbili tu..
Kocha hana maisha yanga. Na kesho kikinuka ndo basi tena.
Head Coach: Tom Saintfiet
Assistant Coach: Fred Felix Minziro,
Goalkeeper Coach: Mfaume Athumani
Team Physician: Dr Sufian Juma
Massagist: Jacob Onyango
Kit Manager: Mahmoud Omary (Mpogolo)
hongera sana yanga nina uhakika mngemchezesha kelvin yondan mgeshinda tena nyingi tu...ushauri wa bure mnaonaje tukiwapa sunzu awasaidie michuano hii maana mna weza kuvuna aibu..
Kocha ana siku 5 tu tangu aanze kuifundisha Yanga jamani.....Huyu kocha alikuja na mbwembwe kumbe hamna kitu. Hivi mpango wa Yanga wa kumleta Maximo uliishia wapi?