Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
- Thread starter
- #21
Dakika ya 77 APR wanapata goli la 7
Hawa vijana wa Sudan pamoja ugeni wao wanajitahidi sana...Wanashambulia na wanajaribu kushoot kwa mbali...
Kipa Jean Claude Ndoli wa APR ndio kikwazo kwao....
Hivi mtani....Ule uwanja alioahidi Rage kwa mbwembwe na wataalamu toka Uturuki umeishia wapi?.....Vipi kuhusu Simba TV?.....yanga timu ya magazetini fungwe goli mbili tu..
Mkuu Balatanda, naomba ufanye mabadiliko kidogo kwenye post ya kwanza ya ratiba, Simba na URA wanacheza kesho jpili na siyo jtatu.Hawa vijana wa Sudan pamoja ugeni wao wanajitahidi sana...Wanashambulia na wanajaribu kushoot kwa mbali...
Kipa Jean Claude Ndoli wa APR ndio kikwazo kwao....
Kufungwa 6 sio tatizo mtani....Mi naangalia mchezo wanaoucheza na jinsi wanavyoshambulia na kulisogelea lango la APR....wanajitahidi wamefungwa 6
Pouwa mkuu.......Nadhani kuna mabadiliko yamefanyika ila ratiba ya awali ilikuwa ni hiyoMkuu Balatanda, naomba ufanye mabadiliko kidogo kwenye post ya kwanza ya ratiba, Simba na URA wanacheza kesho jpili na siyo jtatu.
Mechi ya kwanza kati ya APR na WAU SALAAM ipo Live Super Sport....
Ni dakika ya 57 sasa na APR wanawaadhibu vilivyo vijana wa South Sudan....
Mpaka sasa matokeo ni APR 6-0 WAU Salaam
Mechi ya pili itaoneshwa na TBC 1&2
Pouwa mkuu.......Nadhani kuna mabadiliko yamefanyika ila ratiba ya awali ilikuwa ni hiyo
Yanga Vs Atletico
KAGAME CUP 2012 national Stadium kick-off 16:00hrs
Here's Young Africans line-up to face Atletico today;
1.Yaw Berko - 19,
2.Juma Abdul - 14,
3.David Luhende - 29
4.Nadir Haroub Cannavaro (C) - 23
5.Kelvin Yondani - 5
6.Athuman Idd Chuji - 24
7.Shamte Ally - 7
8.Rashid Gumbo - 16
9.Jeryson Tegete - 10
10.Haruna Niyonzima - 8
11.Hamis Kiiza - 20
Subs;
1.Ally Mustapaha 'Barthez' - 1
2.Godfrey Taita - 17
3.Oscar Joshua - 4
4.Stephano Mwasika - 3
5.Ladislaus Mbogo - 29
6.Juma Seif Kijiko - 13
7.Idrisa Rashid - 12
8.Nizar Khalfan - 7
9.Said Bahanunzi - 11
Head Coach: Tom Saintfiet
Assistant Coach: Fred Felix Minziro,
Goalkeeper Coach: Mfaume Athumani
Team Physician: Dr Sufian Juma
Massagist: Jacob Onyango
Kit Manager: Mahmoud Omary (Mpogolo)
Achana na tbccm wewe,game litakua live startv.live bila chenga..
Dah....hawa APR wanaonekana watatisha sana katika mashindano haya.
Dakika ya 90
APR 7-0 WAU Salaam
Dakika 3 za nyongeza