CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Utamsikia Maulid Kitenge, atasingizia kipigo kimetokana na kuwa bize na uchaguzi wa viongozi. Siku hizi kipindi cha 'spoti leo' cha Radio One kimegeuka kama kipindi cha Yanga, maana jamaa (Kitenge) alipiga kampeni za kumng'oa Nchunga na sasa anapiga kampeni za kumchagua John Jambele. Asilimia 80 ya habari za 'spoti leo' zinahusu Yanga !!
Kama wanavyofanya Clouds,hivyo ni sawa tu.
 
[video=youtube_share;q_-jhVfPlZI]http://youtu.be/q_-jhVfPlZI[/video]
.............................. ..............
 
Vipi Abdallah Juma wakicheza na Sunzu...
Abdallah Juma na Sunzu aina yao ya uchezaji inafanana halafu Abdallah ni mzito, wanaweza kucheza pamoja endapo Mbiyavanga, Haruna Moshi na Edward Christopher hawako fiti, hayo ni maoni yangu kulingana na nilivyowaona wakicheza pamoja siku ya mechi ya Azam sijui kocha atapangaje.
 
ao port wa djibout toka chamazi washapigwa nne bila na vita..
 
Hao wajibuti vipi? CECAFA inatakiwa izipige ban timu za namna hii....
 
Hz timu km ports na wau salaam ndo zngealikwa kule kwenye kombe la urafiki!zngepata na kutoa ushindan stahili!
 
Back
Top Bottom