CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Chukua tano mkuu...! Ulisema haya mwanzoni wakakuandama....ona sasa pwaaa kama CCM itakavyopigwa chini...!! Haya Yondan, hongera combination yako na Canavaro hakuna mfano afrika...lol

pamoja mkuu, bado kwa apr...labda watawafunga wale vibonde waliofungwa saba...
 
Kiukweli Atletico ni wazuri sana...Kipindi cha pili wamecheza vizuri zaidi na waliwazidi Yanga katika kila Idara.....Kocha wa Yanga inabidi ajiangalie fomesheni yake ya kumuondoa Haruna Niyonzima kwenye kiungo na kumpeleka mbele kama mshambuliaji.....Chuji na Gumbo hawakuelewana kipindi cha pili...

Yaw Berko amefanya kazi kubwa sana leo,bila yeye Yanga wangefungwa magoli mengi sana......

Kelvin Yondani amecheza vizuri sana,tatizo lilikuwa kwa beki ya kulia na wakati fulani kwa Nadir Haroub....

Safu ya ushambuliaji ni butu......Ni bora Buhanuzi angeanza......

Mechi hii imepita,tusubiri zijazo sasa na APR na W. Salaam.......

Kesho Simba wanacheza na Azam pia wanacheza....Binafsi nitazishangilia timu zote hizo mbili so ndetichia, Crashwise na mtani wangu wa ukweli Masuke tegemeeni support yangu....Tupo pamoja kesho wakuu....

Kila la heri...

Bala.

Napenda sana ulivyo mzalendo na unavyotanguliza uzalendo mbele kuliko ushabiki. Big up mkuu, kwani huna tofauti na mimi japo ni SIMBA DAMU lkn inapokuja suala la uzalendo hakika siwezi kufurahi wakati timu ya Tz imefungwa. Nina imani yanga watafanya vema mechi zijazo na kufuzu.
 
Balantanda,
nakuona uko online tena kwenye hii thread lkn kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, subiri kesho uone faida ya kombe la urafiki.

Too low!!

Mimi muda wote nipo hapa na huwa sikimbii jukwaani sababu ya matokeo ndugu....

Nilikuwa na tatizo la mtandao ndo maana uliona kimya......

Sina ushabiki wa kijinga wa kukimbia jukwaani/uwanjani mara timu yangu inapofungwa.....Timu yoyote ikiingia uwanjani uju itashinda/itashindwa/itatoka sare for football is always a game of chance na kushindana mbinu.........

​Soma signature yangu........Bala Is Always Here...........
 
Kocha ana siku 5 tu tangu aanze kuifundisha Yanga jamani.....

Yanga bado wana nafasi ya kuendelea maana bado wana mechi 2.......Lolote laweza kutokea katika football

lkn kwa mkwara uliokuwa unapigwa, wengi tulitegemea kuona Yanga ikitandaza soka la uhakika na hatimaye kuibuka na ushindi, sasa hizi story za kusema bado mechi 2 na lolote linaweza kutokea ni vichekesho.
 
lkn kwa mkwara uliokuwa unapigwa, wengi tulitegemea kuona Yanga ikitandaza soka la uhakika na hatimaye kuibuka na ushindi, sasa hizi story za kusema bado mechi 2 na lolote linaweza kutokea ni vichekesho.
Mtani...Mpira hauchezi magazetini,mdomoni wala kwa BIN ZUBEIRY,mpira unachezwa uwanjani ....

Tatizo timu za Tanzania/watanzania ni kuongea....Tuko kama Waingereza,kuongea kwingiiiii lakini uwanjani sufuri...

Kuna watu husema 'Mtoto wacha kupiga mayowe,wacha watu wajionee'
 
Too low!!

Mimi muda wote nipo hapa na huwa sikimbii jukwaani sababu ya matokeo ndugu....

Nilikuwa na tatizo la mtandao ndo maana uliona kimya......

Sina ushabiki wa kijinga wa kukimbia jukwaani/uwanjani mara timu yangu inapofungwa.....Timu yoyote ikiingia uwanjani uju itashinda/itashindwa/itatoka sare for football is always a game of chance na kushindana mbinu.........

6¤7Soma signature yangu........Bala Is Always Here...........

with due respect i concur with you Balatanda; i can fail to find you anywhere but not in this forum during match season.
 
Mtani...Mpira hauchezi magazetini,mdomoni wala kwa BIN ZUBEIRY,mpira unachezwa uwanjani ....

Tatizo timu za Tanzania/watanzania ni kuongea....Tuko kama Waingereza,kuongea kwingiiiii lakini uwanjani sufuri...

Kuna watu husema 'Mtoto wacha kupiga mayowe,wacha watu wajionee'

haswaaaaa! huo ndo ukweli wenyewe mtani; wabongo midomomidomo mingi matendo sufuri.
 
Balantanda na wana Yanga wote poleni sana kwa matokeo mabaya.
Sitaki kuwa mnafiki, Yanga kombe hili mnaelekea kulipoteza, sitegemei miujiza huko mbele, timu yenu ni mpya, kocha naye mpya sana.
Jipangeni kwa Premier League, Kagame Cup iwe sehemu ya mazoezi.
 
Kiukweli Atletico ni wazuri sana...Kipindi cha pili wamecheza vizuri zaidi na waliwazidi Yanga katika kila Idara.....Kocha wa Yanga inabidi ajiangalie fomesheni yake ya kumuondoa Haruna Niyonzima kwenye kiungo na kumpeleka mbele kama mshambuliaji.....Chuji na Gumbo hawakuelewana kipindi cha pili...

Yaw Berko amefanya kazi kubwa sana leo,bila yeye Yanga wangefungwa magoli mengi sana......

Kelvin Yondani amecheza vizuri sana,tatizo lilikuwa kwa beki ya kulia na wakati fulani kwa Nadir Haroub....

Safu ya ushambuliaji ni butu......Ni bora Buhanuzi angeanza......

Mechi hii imepita,tusubiri zijazo sasa na APR na W. Salaam.......

Kesho Simba wanacheza na Azam pia wanacheza....Binafsi nitazishangilia timu zote hizo mbili so ndetichia, Crashwise na mtani wangu wa ukweli Masuke tegemeeni support yangu....Tupo pamoja kesho wakuu....

Kila la heri...

Bala.
Mkuu poleni kwa kipigo na asante in advance kwa support yako kesho, na hili ni tatizo la sisi mashabiki na viongozi wetu, kama beki mbili ilikuwa shida, sikumbuki ni post ipi lakini jana nilisema hapakuwa na sababu ya kumwacha Nsajigwa kwenye haya mashindano hata kama haanzi kukaa benchi tu inatosha unaweza ukamtumia pengine, lakini yawezekana aliachwa kwa sababu tu alivyoharibu ile mechi dhidi ya Simba, na kingine nilisema mimi sio kocha lakini Gumbo kucheza kati na Kiiza kushoto halafu Niyonzima mbele nalo ni tatizo.

Tukija kesho juu ya mechi yetu ningependa kocha apange kikosi kama ifuatavyo, Golini Kaseja, 2. Shomari Kapombe, 3. Amir Maftah, 4. Lino Masombo, 5. Juma Nyoso, 6. Musa Mude, 7. Uhuru Selemani, 8. Mwinyi Kazimoto, 9. Felix Sunzu, 10. patrick Mbiyavanga, 11. Salim Kinje.
 
Last edited by a moderator:
Utamsikia Maulid Kitenge, atasingizia kipigo kimetokana na kuwa bize na uchaguzi wa viongozi. Siku hizi kipindi cha 'spoti leo' cha Radio One kimegeuka kama kipindi cha Yanga, maana jamaa (Kitenge) alipiga kampeni za kumng'oa Nchunga na sasa anapiga kampeni za kumchagua John Jambele. Asilimia 80 ya habari za 'spoti leo' zinahusu Yanga !!
 
Mkuu poleni kwa kipigo na asante in advance kwa support yako kesho, na hili ni tatizo la sisi mashabiki na viongozi wetu, kama beki mbili ilikuwa shida, sikumbuki ni post ipi lakini jana nilisema hapakuwa na sababu ya kumwacha Nsajigwa kwenye haya mashindano hata kama haanzi kukaa benchi tu inatosha unaweza ukamtumia pengine, lakini yawezekana aliachwa kwa sababu tu alivyoharibu ile mechi dhidi ya Simba, na kingine nilisema mimi sio kocha lakini Gumbo kucheza kati na Kiiza kushoto halafu Niyonzima mbele nalo ni tatizo.

Tukija kesho juu ya mechi yetu ningependa kocha apange kikosi kama ifuatavyo, Golini Kaseja, 2. Shomari Kapombe, 3. Amir Maftah, 4. Lino Masombo, 5. Juma Nyoso, 6. Musa Mude, 7. Uhuru Selemani, 8. Mwinyi Kazimoto, 9. Felix Sunzu, 10. patrick Mbiyavanga, 11. Salim Kinje.

si vibaya Haruna Moshi akianzia benchi dk 30 zinamtosha kuingia na kubadilisha mchezo
 
Mkuu poleni kwa kipigo na asante in advance kwa support yako kesho, na hili ni tatizo la sisi mashabiki na viongozi wetu, kama beki mbili ilikuwa shida, sikumbuki ni post ipi lakini jana nilisema hapakuwa na sababu ya kumwacha Nsajigwa kwenye haya mashindano hata kama haanzi kukaa benchi tu inatosha unaweza ukamtumia pengine, lakini yawezekana aliachwa kwa sababu tu alivyoharibu ile mechi dhidi ya Simba, na kingine nilisema mimi sio kocha lakini Gumbo kucheza kati na Kiiza kushoto halafu Niyonzima mbele nalo ni tatizo.

Tukija kesho juu ya mechi yetu ningependa kocha apange kikosi kama ifuatavyo, Golini Kaseja, 2. Shomari Kapombe, 3. Amir Maftah, 4. Lino Masombo, 5. Juma Nyoso, 6. Musa Mude, 7. Uhuru Selemani, 8. Mwinyi Kazimoto, 9. Felix Sunzu, 10. patrick Mbiyavanga, 11. Salim Kinje.
Vipi Abdallah Juma wakicheza na Sunzu...
 
Back
Top Bottom