CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Yanga bwana, kelele nyingi..... Labda wasubiri mechi zinazofuata.
 
timu inawachezaji wazuri tatizo hawa kucheza mechi za kutosha kujipima
 
Kesho uchaguzi sijui kama utafanyika kwa hali hii...
 
....wana undugu, si mafisadi wengi wapo Yanga, wakiongozwa na Rz1 na Manji.... 🙂 Sasa kesho mchapane bakora na uchaguzi then mje kuishangilia URA !!

Na magazeti yenu kama Mwanaspoti sijui yataandika nini sasa.... Chujinho, Fabrigas wa mbao au ukuta wa vidic kauza...lol
 
labda mechi ya kufuata wataleta furaha kwa watanzania kwa leo ziiiiiiiiiiiiiiiiiii goal la 2
 
yani nadir haroub " kanavaro" hata Twiga stars hapati namba YAANI ni mnemba sijawah ona
 
Kesho tunatazamia furaha kwa finalist wa urafiki cup maana tayari wachezaji wana mazoezi ya kutosha
 
Simba wanatapatapa........

Wanamlazimisha mchezaji kuchezea timu yao ilhali hawataki........

Yupo anachezea Yanga leo na amevaa jezi namba 5,anasaidiana na Nadir Haroub pale nyuma....

Anakamua kisawasawa...

beki mbovu
 
Back
Top Bottom