GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
- Thread starter
- #21
Au waiite Mtei & Mbowe Enterprises (MME)
Nadhani hili nalo linawafaa pia ! haya CHAKushindwa tuambieni jina lipi sasa ?
Au waiite Mtei & Mbowe Enterprises (MME)
kubwa lakini jinga, hata mimi kijana wa miaka 21 nakushinda,mpsxxyyy
Kama kawaida ya cdm viongozi + wanachama + wapenzi majibu rahisi kwa hoja nzito. Kuwa mweledi wa kiswahili ndipo ujibu najua ukiwezi kiswahili fasaha
Mara hii kupendekeza kubadili jina la chama imekuwa hoja nzito...lohhh JINIAS, unaweza kuwa jinias lakini sio intelligent. VIVA CHADEMA freedom is very near no need to slowdown.
ccm bwana!cjui akili zao ziko tumboni au ni uko kichwani ambapo za wengine zipo!
Ningewashauri wabadilishe jina la chama . Ukisema DEMA kwa kiswahili fasaha ni kushindwa. kwa hiyo CHADEMA maana yake kwa kiswahili fasaha ni CHAkushindwa
Na kweli kwa fikra mgando na uzumbukuku wanishinda hata sijakataa. Ila kwa weledi wa mambo hapo nakuacha mbali balaa !
Ningewashauri wabadilishe jina la chama . Ukisema DEMA kwa kiswahili fasaha ni kushindwa. kwa hiyo CHADEMA maana yake kwa kiswahili fasaha ni CHAkushindwa
Ningewashauri wabadilishe jina la chama . Ukisema DEMA kwa kiswahili fasaha ni kushindwa. kwa hiyo CHADEMA maana yake kwa kiswahili fasaha ni CHAkushindwa
mkuu hao wazee wa magamba akili zao zipo makalioni. They are thinking from behindccm bwana!cjui akili zao ziko tumboni au ni uko kichwani ambapo za wengine zipo!
Ningewashauri wabadilishe jina la chama . Ukisema DEMA kwa kiswahili fasaha ni kushindwa. kwa hiyo CHADEMA maana yake kwa kiswahili fasaha ni CHAkushindwa
kida saa!Ningewashauri wabadilishe jina la chama . Ukisema DEMA kwa kiswahili fasaha ni kushindwa. kwa hiyo CHADEMA maana yake kwa kiswahili fasaha ni CHAkushindwa