Kweli. Hasa mjinga au fisadi tu. Hawa mafisadi wakishinda Busanda, lo jamani message mbaya sana kwa wapiga kura wengine wajinga jinga vijijini...hawa CCM wameloga watu?
Chadema will win...no way.
Mtafute Ka-inzi na utabiri wake... Leo mnalala nalo tu donge la koo! CCM kidedeaHivi hayo alo yaandika fisadi mtoto si kweli? mi nipo naugulia moyo hapa..
Tangu lini mliambiwa Wasukuma ni watu wanapenda mabadiliko?? Utashangaa bado watachagua CCM!
Upinzani ni Pemba, Kilimanjaro, Musoma, Kigoma na kule Kagera!!
Kweli. Hasa mjinga au fisadi tu. Hawa mafisadi wakishinda Busanda, lo jamani message mbaya sana kwa wapiga kura wengine wajinga jinga vijijini...hawa CCM wameloga watu?
Chadema will win...no way.
Kauli kama hizi ndio ufanya CCM kuibuka kidedea siku zote...!
Vijijini hawataki watu ambao ni too much know...
Na watapenda na kufurahi iwapo utawatoa huo wasiwasi wao...watu mna wasiwasi sana..
Nakujua wewe sio mfuasi wa chadema bali ni mfuasi wa zito...ndio maana ulinukuliwa ukisema kuwa kiongozi maarufu duniana unaemuhusudu nizitto kabwe,
na hili ndio linagundulika leo? basi vyama vingine visingeenda kabisa kufanya hata kampeni au hawakuwa na statistics za ignorant vs knowledgeable population ya huko?Hakuna ubishi. Ni kweli tupu. CCM inategemea ONLY ignorant voters. Hata wana CCM damu ambao sio mafisadi wanajua na kulikubali hili. CCM survival is in the hands of these ignorant voters who can vote without choosing.
Kauli za mfa maji hizo, au sizitaki hizi mbichi! BTW jamaa walichukia sana kwenda kule na kihelikopta kwani mliwafanya ni washamba sana eeh? Jibu wamewapeni kupitia kwenye box la kura.Hakuna ubishi. Ni kweli tupu. CCM inategemea ONLY ignorant voters. Hata wana CCM damu ambao sio mafisadi wanajua na kulikubali hili. CCM survival is in the hands of these ignorant voters who can vote without choosing.
Usitoe matusi kwa watu kuchagua wanachotaka; na baba na mama ako hawaishi kijijini? au unawaona na wao mafala pia?
you sound mwanakijiji kuliko wa-busanda.Acha upuuzi. Wadhani kila mtu mwanakijiji? Wapiga kura wajinga tu na mafisadi ndio wanachagua CCM. With all these evils, mtu unachagua CCM? It's really news.
Nilikusikia mwenyewe wakati wa kile kisemina cha vijana pale brittish council na hata tukiwa udsm ulikuwa ukipenda kusemaNakushauri usiamini chochote kile anachosema huyo anayedai alininukuu nikisema hivyo.....
omarilyas
Naona kuna mwamko mkubwa huko kwenye small towns. Ni tofauti na watu wa Dar ambao wamelala fofofo
you sound mwanakijiji kuliko wa-busanda.
Kwa ufupi,
CCM wameshinda... Am out