Matokeo ya awali Busanda jumla ya vituo ni 30 na matokeo tayari vituo 253 namatokeo yake ni kama ifuatavyo ccm 19,190
chadema 14.024
cuf 372
udp 143 Mungu yupo pamoja nasi
Nakujua wewe sio mfuasi wa chadema bali ni mfuasi wa zito...ndio maana ulinukuliwa ukisema kuwa kiongozi maarufu duniana unaemuhusudu nizitto kabwe,Hongera kwa kung'amua ujinga wako.....
omarilyas
Matokeo ya awali Busanda jumla ya vituo ni 30 na matokeo tayari vituo 253 namatokeo yake ni kama ifuatavyo ccm 19,190
chadema 14.024
cuf 372
udp 143 Mungu yupo pamoja nasi
=====Matokeo ya awali Busanda jumla ya vituo ni 380 na matokeo tayari vituo 253 namatokeo yake ni kama ifuatavyo ccm 19,190
chadema 14.024
cuf 372
udp 143 Mungu yupo pamoja nasi
lakini ni watanzania wazalendoGee! Mungu yupo na mafisadi wanaoiangamiza nchi!? 😕
Mlishasema mtashinda kwa 60% labda mlishapanga jinsi ya kufanya madhambi yenu ikiwemo pamoja kupandikiza wapigaji kura wa CCM toka mikoa mingine ambao hawana sifa ya kupiga kura kule Busanda.
Hongera wanabusanda kwa kupenda mafisadi and kuridhika na ufukara wenu
Usiwashutumu hawana kosa kabisa. Ni mapema sana kutoa kauli kama hizi, wao wamewekwa chini ya ulinzi wafanyeje?
lakini ni watanzania wazalendo
Aaah potelea mbali mtanzania yeyote anaewapigia mafisadi kura aidha ni mjinga,fisadi au adui wa watanzania kwisha!Usiwashutumu hawana kosa kabisa. Ni mapema sana kutoa kauli kama hizi, wao wamewekwa chini ya ulinzi wafanyeje?
Atafanywa nini ndugu yangu nchi hii imekaa mkao wa kunajisiwa...!!!kama ndo hivo bac nimeelewa maana ya Posco UWT kuhakikishia mafisadi ushindi. hongereni mafisadi kwa ufisadi wa kishindo!
hivi waziri aliye kamatwa na shahada za wizi imeishaje?
Aaah potelea mbali mtanzania yeyote anaewapigia mafisadi kura aidha ni mjinga,fisadi au adui wa watanzania kwisha!
Usife moyo, this is just a process na kufikia mafanikio yahitaji kujitolea na kujua kuwa safari ni ngumu na yahitaji kuvumilia hadi tone la mwisho. Lets wait and see the last vote!Aaah potelea mbali mtanzania yeyote anaewapigia mafisadi kura aidha ni mjinga,fisadi au adui wa watanzania kwisha!
Kauli kama hizi ndio ufanya CCM kuibuka kidedea siku zote...!Kweli. Hasa mjinga au fisadi tu. Hawa mafisadi wakishinda Busanda, lo jamani message mbaya sana kwa wapiga kura wengine wajinga jinga vijijini...hawa CCM wameloga watu?
Chadema will win...no way.
I personally know Magesa, he is a hardworking fellow and straight up. I hope he wins.