Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Huwezi kuona kwasababu na wewe upo kwenye level hiyohiyo ya akili.Sioni hoja hapo , hiyo nembo , inatoa maana tofaut na chadema kwanini ulalamike acheni kukurupuka
Abbreviation ndio hutoa tofaut na sio nembo
Kama unafikiri haya mambo ni mchezo, tuone kama inafaa sasa hivi ACT wakianzisha CCM - Chaguo Chema Mama kama hamtaongea mpaka mpate matumbo ya kuhara.