Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Inawezekana kuna ukweli fulani kwa maneno yako ila hilo la uislama kuwa rangi sijui. lakini nimesikia pia waislam wakisema kuwa ccm ni chama cha wakritstu, ccm=christian church of Tanzania na kwamba Nyerere alipogundua kuwa waislam ni wengi kwenye TANU akaunda ccm na kuweka alama ya mslaba kwa kisingizio cha jembe na nyundo.Unasemaje hapo jerusalem
Umeonesha ujinga kupita maelezo! Yaani unaona jembe na nyundo unasema msalaba?? wapi na wapi...hiyo ni alama ya Wafanyakazi na Wakulima full stop!
Mawazo mengine sijui mnayatoa wapi ambayo hayana mantiki!! kha!