Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Chama cha All Muslims of Tanganyika, ambao wengi wao walikuwa waasisi wa chama cha TAA, August 1959 walianzisha harakati kushinikiza uhuru ucheleweshwe hadi kiwango cha waislamu kupata elimu kiongezeke kilingane na cha wakristo. Kupitia TANU, iliandaa jumuiya ya mashekhe na kutoka hadharani kupinga kauli ya waislamu wenzao.
Source: John Iliffe
The Modern History of Tanganyika
Source: John Iliffe
The Modern History of Tanganyika