Ni kweli Waislamu waligoma Tanzania isipate uhuru kwa sababu hawakupata elimu?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,837
Chama cha All Muslims of Tanganyika, ambao wengi wao walikuwa waasisi wa chama cha TAA, August 1959 walianzisha harakati kushinikiza uhuru ucheleweshwe hadi kiwango cha waislamu kupata elimu kiongezeke kilingane na cha wakristo. Kupitia TANU, iliandaa jumuiya ya mashekhe na kutoka hadharani kupinga kauli ya waislamu wenzao.

Source: John Iliffe
The Modern History of Tanganyika


Screenshot_20231018-065136.png
Screenshot_20231018-065154.png
 
Chama cha All Muslims of Tanganyika, ambao wengi wao walikuwa waasisi wa chama cha TAA, August 1959 walianzisha harakati kushinikiza uhuru ucheleweshwe hadi kiwango cha waislamu kupata elimu kiongezeke kilingane na cha wakristo. Kupitia TANU, iliandaa jumuiya ya mashekhe na kutoka hadharani kupinga kauli ya waislamu wenzao.

Source: John Iliffe
The Modern History of Tanganyika


View attachment 2785008View attachment 2785009
Upuuzi MTUPU
 
Chama cha All Muslims of Tanganyika, ambao wengi wao walikuwa waasisi wa chama cha TAA, August 1959 walianzisha harakati kushinikiza uhuru ucheleweshwe hadi kiwango cha waislamu kupata elimu kiongezeke kilingane na cha wakristo. Kupitia TANU, iliandaa jumuiya ya mashekhe na kutoka hadharani kupinga kauli ya waislamu wenzao.

Source: John Iliffe
The Modern History of Tanganyika


View attachment 2785008View attachment 2785009
Inawezekana kabisa
 
Chama cha All Muslims of Tanganyika, ambao wengi wao walikuwa waasisi wa chama cha TAA, August 1959 walianzisha harakati kushinikiza uhuru ucheleweshwe hadi kiwango cha waislamu kupata elimu kiongezeke kilingane na cha wakristo. Kupitia TANU, iliandaa jumuiya ya mashekhe na kutoka hadharani kupinga kauli ya waislamu wenzao.

Source: John Iliffe
The Modern History of Tanganyika


View attachment 2785008View attachment 2785009
Ndugu Makobazi, akili zao ni za Mende 🥴🥴🥴
 
Chama cha All Muslims of Tanganyika, ambao wengi wao walikuwa waasisi wa chama cha TAA, August 1959 walianzisha harakati kushinikiza uhuru ucheleweshwe hadi kiwango cha waislamu kupata elimu kiongezeke kilingane na cha wakristo. Kupitia TANU, iliandaa jumuiya ya mashekhe na kutoka hadharani kupinga kauli ya waislamu wenzao.

Source: John Iliffe
The Modern History of Tanganyika


View attachment 2785008View attachment 2785009
Kwa hakika sasa Historia inaanza kupotoshwa upya
 
Ndugu Makobazi, akili zao ni za Mende
Ndugu zangu katika historia ya uhuru wa Tanganyika kuna mambo ndani ya historia hii hayakupata kuelezwa kwa kuogopa itakuwaje historia hii ikifahamika?

Kwanza historia yenyewe yote haikupata kuelezwa kwa ukweli.

Pili ugomvi wa Julius Nyerere na Sheikh Suleiman Takadir mwaka 1958 haukupata kuelezwa.

Historia ya AMNUT haikupata kuelezwa kwa ukweli wake.

Nimeona John Iliffe amenukuliwa kuhusu AMNUT.

Bahati mbaya sana John Iliffe juu ya kufanya kazi kubwa kuitafiti historia ya Tanganyika kuna baadhi historia zimemponyoka hakuzieleza kwa ithibati iliyostahili.

Mfano ameandika paper nzima ya historia ya Dar es Salaam Dockworkers Union (1970).

Mambo mengi muhimu hakuyaeleza na aliyoyaeleza hayako sawa.

Halikadhalika hili la AMNUT Iliffe kakwepa kueleza chanzo chake.

Chanzo cha AMNUT ni Uchaguzi wa Kura Tatu na ugomvi uliotokea baina ya Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU na Julius Nyerere Rais wa TANU.

Baada ya ugomvi huu ambao Sheikh Takadir alitoa shutuma nzito sana dhidi ya Mwalimu Nyerere Sheikh Takadir alifukuzwa TANU.

Baada ya haya kutokea ndipo AMNUT ikaundwa.

Maneno aliyosema Sheikh Takadir ni mazito sana sina ujasiri wa kuyaweka hapa hadharani.

Haya maneno ni mazito sana kiasi TANU wenyewe mpaka chama kinageuka kuwa CCM haikuwa na ushujaa kueleza Sheikh Suleiman Takadir alisema maneno gani.

TANU kwa hofu ya kauli Ile ya Sheikh Takadir ikamfuta katika historia yake ikawa kama vile Sheikh Takadir hakupata kuwepo.

Historia hii niliyoitaja hapo juu yote mimi nimeitafiti na nimeandika imo katika kitabu cha Abdul Sykes.

Ndani ya kitabu hiki nimemlaumu John Iliffe kwa kutokuwa mkweli.

Iliffe alinijibu kwa ukali sana katika review yake ya kitabu changu iliyochapwa katika Cambridge Journal of African History.
 
Gill...
Nakushauri usome historia hii katika kitabu cha Abdul Sykes.

Hapakuwa na maandamano kwa sababu AMNIUT haikuwa na watu.

Ilipigwa vita vikali sana na Waislam wenyewe.
Unawezaje kujiita mwanahistoria wa Tamganyika wakati historia hii hukuwahi kuisoma.

Kwa faida soma kitabu👇 utajua kuwa waislamu waliandamana kutaka uhuru ucheleweshe. Pressed Oxford
 
Unawezaje kujiita mwanahistoria wa Tamganyika wakati historia hii hukuwahi kuisoma.

Kwa faida soma kitabu utajua kuwa waislamu waliandamana kutaka uhuru ucheleweshe. Pressed Oxford
Gily...
Tunaweza tukawa na mjadala wa kistaarabu.

Jiepushe na lugha kali.

Historia ya Tanganyika naijua na kitabu hicho nimekisoma miaka mingi iliyopita.

Nakuomba kwa hisani yako niwekee hapa nukuu inayoeleza maandamano ya AMNUT.

Huenda kipande hicho kimenipita.

Nimesoma historia ya AMNUT kutoka kwa Sheikh Abdulwahid Abdulkarim aliyekuwa Katibu Mkuu wa AMNUT baada ya Ramadhani Mashado Plantan kuacha nafasi hiyo hakupata kunieleza kuhusu maandamano.
 
Tungepata uhuru 2010 kama ni kweli!?
KUTOKA JF: KUNA WATU WANAELEZA KUWA WAISLAM WALIPINGA UHURU KUPITIA AMNUT

Utangulizi

Tatizo ni lile lile kwa kukosa kuijua historia ya kweli ya TANU na historia nzima ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

JIBU LANGU

Ndugu zangu katika historia ya uhuru wa Tanganyika kuna mambo ndani ya historia hii hayakupata kuelezwa kwa kuogopa itakuwaje historia hii ikifahamika?

Kwanza historia yenyewe yote haikupata kuelezwa kwa ukweli.

Pili ugomvi wa Julius Nyerere na Sheikh Suleiman Takadir mwaka 1958 haukupata kuelezwa.

Historia ya AMNUT haikupata kuelezwa kwa ukweli wake.

Nimeona John Iliffe amenukuliwa kuhusu AMNUT.

Bahati mbaya sana John Iliffe juu ya kufanya kazi kubwa kuitafiti historia ya Tanganyika kuna baadhi historia zimemponyoka hakuzieleza kwa ithibati iliyostahili.

Mfano ameandika paper nzima ya historia ya Dar es Salaam Dockworkers Union (1970).

Mambo mengi muhimu hakuyaeleza na aliyoyaeleza hayako sawa.
Halikadhalika hili la AMNUT Iliffe kakwepa kueleza chanzo chake.

Chanzo cha AMNUT ni Uchaguzi wa Kura Tatu na ugomvi uliotokea baina ya Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU na Julius Nyerere Rais wa TANU.

Baada ya ugomvi huu ambao Sheikh Takadir alitoa shutuma nzito sana dhidi ya Mwalimu Nyerere Sheikh Takadir alifukuzwa TANU.

Baada ya haya kutokea ndipo AMNUT ikaundwa.

Maneno aliyosema Sheikh Takadir ni mazito sana sina ujasiri wa kuyaweka hapa hadharani.

Haya maneno ni mazito sana kiasi TANU wenyewe mpaka chama kinageuka kuwa CCM haikuwa na ushujaa kueleza Sheikh Suleiman Takadir alisema maneno gani.

TANU kwa hofu ya kauli Ile ya Sheikh Takadir ikamfuta katika historia yake ikawa kama vile Sheikh Takadir hakupata kuwepo.

Historia hii niliyoitaja hapo juu yote mimi nimeitafiti na nimeandika imo katika kitabu cha Abdul Sykes.

Ndani ya kitabu hiki nimemlaumu John Iliffe kwa kutokuwa mkweli.

Iliffe alinijibu kwa ukali sana katika review yake ya kitabu changu iliyochapwa katika Cambridge Journal of African History.

Hitimisho

Baada ya jibu hili waliokuwa wanakejeli Waislam kuwa ati walipinga kupatikana kwa uhuru wametoweka uwanja wa mapambano.

Hawaonekani sasa kutwa nzima jua linakaribia kutua.

Sijakata tamaa bado In Shaa Allah nawasubiri.
 
Ndugu zangu katika historia ya uhuru wa Tanganyika kuna mambo ndani ya historia hii hayakupata kuelezwa kwa kuogopa itakuwaje historia hii ikifahamika?

Kwanza historia yenyewe yote haikupata kuelezwa kwa ukweli.

Pili ugomvi wa Julius Nyerere na Sheikh Suleiman Takadir mwaka 1958 haukupata kuelezwa.

Historia ya AMNUT haikupata kuelezwa kwa ukweli wake.

Nimeona John Iliffe amenukuliwa kuhusu AMNUT.

Bahati mbaya sana John Iliffe juu ya kufanya kazi kubwa kuitafiti historia ya Tanganyika kuna baadhi historia zimemponyoka hakuzieleza kwa ithibati iliyostahili.

Mfano ameandika paper nzima ya historia ya Dar es Salaam Dockworkers Union (1970).

Mambo mengi muhimu hakuyaeleza na aliyoyaeleza hayako sawa.

Halikadhalika hili la AMNUT Iliffe kakwepa kueleza chanzo chake.

Chanzo cha AMNUT ni Uchaguzi wa Kura Tatu na ugomvi uliotokea baina ya Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU na Julius Nyerere Rais wa TANU.

Baada ya ugomvi huu ambao Sheikh Takadir alitoa shutuma nzito sana dhidi ya Mwalimu Nyerere Sheikh Takadir alifukuzwa TANU.

Baada ya haya kutokea ndipo AMNUT ikaundwa.

Maneno aliyosema Sheikh Takadir ni mazito sana sina ujasiri wa kuyaweka hapa hadharani.

Haya maneno ni mazito sana kiasi TANU wenyewe mpaka chama kinageuka kuwa CCM haikuwa na ushujaa kueleza Sheikh Suleiman Takadir alisema maneno gani.

TANU kwa hofu ya kauli Ile ya Sheikh Takadir ikamfuta katika historia yake ikawa kama vile Sheikh Takadir hakupata kuwepo.

Historia hii niliyoitaja hapo juu yote mimi nimeitafiti na nimeandika imo katika kitabu cha Abdul Sykes.

Ndani ya kitabu hiki nimemlaumu John Iliffe kwa kutokuwa mkweli.

Iliffe alinijibu kwa ukali sana katika review yake ya kitabu changu iliyochapwa katika Cambridge Journal of African History.
Mkuu nilipokuwa natafiti kuhusu chama cha AMNUT kuhusu hayo madai ya kutaka uhuru ucheleweshwe, nimekutana moja ya machapisho yako nawe ukisema kuwa ni kweli chama hicho kilikuwa kinataka uhuru wa Tanganyika uchelewe kwa sababu hizo zilizotajwa
 
Mkuu nilipokuwa natafiti kuhusu chama cha AMNUT kuhusu hayo madai ya kutaka uhuru ucheleweshwe, nimekutana moja ya machapisho yako nawe ukisema kuwa ni kweli chama hicho kilikuwa kinataka uhuru wa Tanganyika uchelewe kwa sababu hizo zilizotajwa
John...
Hilo linafahamika ni kweli hayo yalikuwa madai ya AMNUT.
Lakini AMNUT ilibadili msimamo huo.

Soma barua hiyo hapo chini ya AMNUT kwa UNO Trusteeship Council.

Lakini madai hayo hayakuwa ya Waislam yalikuwa madai ya watu wachache mno.

Zingatia kuwa TANU kilikuwa chama cha Waislam na wao ndiyo waliokianzisha kwa kuwashirikisha wengine.

Ukweli huu unawatisha wengi.

Lakini angalia ushahidi wa picha na pitia historia yenyewe kama nilivyoieleza katika kitabu cha Abdul Sykes...''the untold story of the Muslim Struggle.''

Waislam kwa ujumla wao waliikataa AMNUT.

AMNUT ilifikia mahali ilikuwa haiwezi hata kulipa kodi ya ofisi yake Mtaa wa Narung'ombe.

Sasa fananisha AMNUT hii ya Khamis Hunde, Abdallah Mohamed, Ramadhani Mashado Plantan na Abdulwahid Abdulkarim na TANU ya Abdul Sykes, Ally Sykes, Dossa Aziz na John Rupia.

Nimeweka picha ya Zubari Mtemvu na Mashado Plantan wapinzani wa TANU waliokuwa ndani ya TANU toka uasisi wake.

Mashado Plantan yeye alihudhuria ufunguzi wa ofisi ya African Association 1933.

1697642663787.png
 
John...
Hilo linafahamika ni kweli hayo yalikuwa madai ya AMNUT.
Lakini AMNUT ilibadili msimamo huo.

Soma barua hiyo hapo chini ya AMNUT kwa UNO Trusteeship Council.

Lakini madai hayo hayakuwa ya Waislam yalikuwa madai ya watu wachache mno.

Zingatia kuwa TANU kilikuwa chama cha Waislam na wao ndiyo waliokianzisha kwa kuwashirikisha wengine.

Ukweli huu unawatisha wengi.

Lakini angalia ushahidi wa picha na pitia historia yenyewe kama nilivyoieleza katika kitabu cha Abdul Sykes...''the untold story of the Muslim Struggle.''

Waislam kwa ujumla wao waliikataa AMNUT.

AMNUT ilifikia mahali ilikuwa haiwezi hata kulipa kodi ya ofisi yake Mtaa wa Narung'ombe.

Sasa fananisha AMNUT hii ya Khamis Hunde, Abdallah Mohamed, Ramadhani Mashado Plantan na Abdulwahid Abdulkarim na TANU ya Abdul Sykes, Ally Sykes, Dossa Aziz na John Rupia.

Nimeweka picha ya Zubari Mtemvu na Mashado Plantan wapinzani wa TANU waliokuwa ndani ya TANU toka uasisi wake.

Mashado Plantan yeye alihudhuria ufunguzi wa ofisi ya African Association 1933.

View attachment 2785676
Ok, nimekusoma mkuu
 
Back
Top Bottom