CCM inafanya siasa kisayansi na akili kubwa sana kuliko CHADEMA

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Hapa nazungumzia sayansi ya siasa sizungumzii uzuri au ubora wa sera za chama.

Mfano wamefanikia kuwaaminisha umma kuwa Raisi Ni mpole na msikivu na ameleta malidhiano na kuruhusu mikutano ya hadhara na kufuta kesi za wapinzani.

Ingawa Ni maridhiano uchwara. Since bado Sheria za uchaguzi, tume ya uchaguzi na wabunge wasio na chama kuwepo bungeni na kutochukuliwa hatua yoyote zaidi ya kubuy time tu. Bado miongoni mwa watanzania maridhiano hayo yanaonesha lidhaa ya CCM na ukolofi wa CHADEMA hadharani.

Baada ya CHADEMA kujenga sera kupitia tafiti za siasa.
1 . Watu wanakero gani
2. Watu wanataka kusikia nini
3. Watu wanaamini nini.
4. Kwanini bado watu wanaipenda ccm na kwa kiasi gani?
5. Sera kuhusu nini zinaweza kuwavutia.
6. Namna ya kufikisha sera zao. Hasa kwa watu wasiohudhuria mikutano ya siasa.
7. Watu wanaaminishwa nini kibaya kuwahusu na wanajihami vipi?

Wao wanafanya siasa za hasira baada ya kubinywa kwa mda mrefu na kupokonywa haki.

Akili ikiwa na hasira haifikirii kwa usahihi ata kidogo. Wanachofanya Ni kufoka kwa hasira tu. Kutafuta maneno magumu na kashfa na kuonekana wakorofi kwa watanzania wengi ambao Ni waoga na masikini.

Hii sio kwa bahati mbaya. Hivi Martin Luther King aliwezaje kujenga hoja zenye nguvu bila kutukana? Bila kashfa na watu wakamuelewa!!!!.

Kunakero na changamoto nyingi Sana Sasa na sio bandari tu. Mazao watu tumeminywa hasa. Sio korosho, kahawa Wala pamba. CHADEMA wako bize na bandari tuu huku tumbaku zetu zinanunuliwa Bei duni Sana, pamba zetu, choroko na CCM wanakusanya fedha za uchaguzi. Wao wako bize na bandari tu.

CHADEMA chukua hatua. Mikutano yenu iwe darasa. Andaaeni mada vizuri. Watu waelewe sera zenu. Watanzania wengi elimu duni. Bado mnatumia lugha ngumu
CCM wako simpo. Mikutano yao beba kila Kona, wote sare, sera yao amani ndio itaawapa ushindi tena
 
Hapa nazungumzia sayansi ya siasa sizungumzii uzuri au ubora wa sera za chama.

Mfano wamefanikia kuwaaminisha umma kuwa Raisi Ni mpole na msikivu na ameleta malidhiano na kuruhusu mikutano ya hadhara na kufuta kesi za wapinzani.

Ingawa Ni maridhiano uchwara. Since bado Sheria za uchaguzi, tume ya uchaguzi na wabunge wasio na chama kuwepo bungeni na kutochukuliwa hatua yoyote zaidi ya kubuy time tu. Bado miongoni mwa watanzania maridhiano hayo yanaonesha lidhaa ya CCM na ukolofi wa CHADEMA hadharani.

Baada ya CHADEMA kujenga sera kupitia tafiti za siasa.
1 . Watu wanakero gani
2. Watu wanataka kusikia nini
3. Watu wanaamini nini.
4. Kwanini bado watu wanaipenda ccm na kwa kiasi gani?
5. Sera kuhusu nini zinaweza kuwavutia.
6. Namna ya kufikisha sera zao. Hasa kwa watu wasiohudhuria mikutano ya siasa.
7. Watu wanaaminishwa nini kibaya kuwahusu na wanajihami vipi?

Wao wanafanya siasa za hasira baada ya kubinywa kwa mda mrefu na kupokonywa haki.

Akili ikiwa na hasira haifikirii kwa usahihi ata kidogo. Wanachofanya Ni kufoka kwa hasira tu. Kutafuta maneno magumu na kashfa na kuonekana wakorofi kwa watanzania wengi ambao Ni waoga na masikini.

Hii sio kwa bahati mbaya. Hivi Martin Luther King aliwezaje kujenga hoja zenye nguvu bila kutukana? Bila kashfa na watu wakamuelewa!!!!.

Kunakero na changamoto nyingi Sana Sasa na sio bandari tu. Mazao watu tumeminywa hasa. Sio korosho, kahawa Wala pamba. CHADEMA wako bize na bandari tuu huku tumbaku zetu zinanunuliwa Bei duni Sana, pamba zetu, choroko na CCM wanakusanya fedha za uchaguzi. Wao wako bize na bandari tu.

CHADEMA chukua hatua. Mikutano yenu iwe darasa. Andaaeni mada vizuri. Watu waelewe sera zenu. Watanzania wengi elimu duni. Bado mnatumia lugha ngumu
CCM wako simpo. Mikutano yao beba kila Kona, wote sare, sera yao amani ndio itaawapa ushindi tena
Umesahau kuweka namba yako. Teuzi ziko njenje.

Ila sijawahi ona mhaya kilaza. Nimeanzia kwako waitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nazungumzia sayansi ya siasa sizungumzii uzuri au ubora wa sera za chama.

Mfano wamefanikia kuwaaminisha umma kuwa Raisi Ni mpole na msikivu na ameleta malidhiano na kuruhusu mikutano ya hadhara na kufuta kesi za wapinzani.

Ingawa Ni maridhiano uchwara. Since bado Sheria za uchaguzi, tume ya uchaguzi na wabunge wasio na chama kuwepo bungeni na kutochukuliwa hatua yoyote zaidi ya kubuy time tu. Bado miongoni mwa watanzania maridhiano hayo yanaonesha lidhaa ya CCM na ukolofi wa CHADEMA hadharani.

Baada ya CHADEMA kujenga sera kupitia tafiti za siasa.
1 . Watu wanakero gani
2. Watu wanataka kusikia nini
3. Watu wanaamini nini.
4. Kwanini bado watu wanaipenda ccm na kwa kiasi gani?
5. Sera kuhusu nini zinaweza kuwavutia.
6. Namna ya kufikisha sera zao. Hasa kwa watu wasiohudhuria mikutano ya siasa.
7. Watu wanaaminishwa nini kibaya kuwahusu na wanajihami vipi?

Wao wanafanya siasa za hasira baada ya kubinywa kwa mda mrefu na kupokonywa haki.

Akili ikiwa na hasira haifikirii kwa usahihi ata kidogo. Wanachofanya Ni kufoka kwa hasira tu. Kutafuta maneno magumu na kashfa na kuonekana wakorofi kwa watanzania wengi ambao Ni waoga na masikini.

Hii sio kwa bahati mbaya. Hivi Martin Luther King aliwezaje kujenga hoja zenye nguvu bila kutukana? Bila kashfa na watu wakamuelewa!!!!.

Kunakero na changamoto nyingi Sana Sasa na sio bandari tu. Mazao watu tumeminywa hasa. Sio korosho, kahawa Wala pamba. CHADEMA wako bize na bandari tuu huku tumbaku zetu zinanunuliwa Bei duni Sana, pamba zetu, choroko na CCM wanakusanya fedha za uchaguzi. Wao wako bize na bandari tu.

CHADEMA chukua hatua. Mikutano yenu iwe darasa. Andaaeni mada vizuri. Watu waelewe sera zenu. Watanzania wengi elimu duni. Bado mnatumia lugha ngumu
CCM wako simpo. Mikutano yao beba kila Kona, wote sare, sera yao amani ndio itaawapa ushindi tena
Ya kupiga Watu risasi
Ya kuwafungulia KESI Mawakili kipinga Mkataba kusingizia Udini kwenye SIASA
Screenshot_20230802-114449_X.jpg
 
Mleta mada nikuhakikishie sio kweli kabisa na hii labda ni wajinga kabisa wanaweza kukubali!
Siasa za ccm za kwanza hazina mvuto hata kdg na ndio maana wanatumia malori kubeba watu!
Siasa za ccm ni blah blaha kutokana na kukosa sera na kuwa za gilba, uongo na uzandiki.
Siasa za ccm wameshadanganya sana na sasa hawana cha kudanganya zaidi!
Siasa za ccm hazina tena watu wenye weledi na mvuto kama zilivyo za upinzani ie CDM.
 
Hapa nazungumzia sayansi ya siasa sizungumzii uzuri au ubora wa sera za chama.

Mfano wamefanikia kuwaaminisha umma kuwa Raisi Ni mpole na msikivu na ameleta malidhiano na kuruhusu mikutano ya hadhara na kufuta kesi za wapinzani.

Ingawa Ni maridhiano uchwara. Since bado Sheria za uchaguzi, tume ya uchaguzi na wabunge wasio na chama kuwepo bungeni na kutochukuliwa hatua yoyote zaidi ya kubuy time tu. Bado miongoni mwa watanzania maridhiano hayo yanaonesha lidhaa ya CCM na ukolofi wa CHADEMA hadharani.

Baada ya CHADEMA kujenga sera kupitia tafiti za siasa.
1 . Watu wanakero gani
2. Watu wanataka kusikia nini
3. Watu wanaamini nini.
4. Kwanini bado watu wanaipenda ccm na kwa kiasi gani?
5. Sera kuhusu nini zinaweza kuwavutia.
6. Namna ya kufikisha sera zao. Hasa kwa watu wasiohudhuria mikutano ya siasa.
7. Watu wanaaminishwa nini kibaya kuwahusu na wanajihami vipi?

Wao wanafanya siasa za hasira baada ya kubinywa kwa mda mrefu na kupokonywa haki.

Akili ikiwa na hasira haifikirii kwa usahihi ata kidogo. Wanachofanya Ni kufoka kwa hasira tu. Kutafuta maneno magumu na kashfa na kuonekana wakorofi kwa watanzania wengi ambao Ni waoga na masikini.

Hii sio kwa bahati mbaya. Hivi Martin Luther King aliwezaje kujenga hoja zenye nguvu bila kutukana? Bila kashfa na watu wakamuelewa!!!!.

Kunakero na changamoto nyingi Sana Sasa na sio bandari tu. Mazao watu tumeminywa hasa. Sio korosho, kahawa Wala pamba. CHADEMA wako bize na bandari tuu huku tumbaku zetu zinanunuliwa Bei duni Sana, pamba zetu, choroko na CCM wanakusanya fedha za uchaguzi. Wao wako bize na bandari tu.

CHADEMA chukua hatua. Mikutano yenu iwe darasa. Andaaeni mada vizuri. Watu waelewe sera zenu. Watanzania wengi elimu duni. Bado mnatumia lugha ngumu
CCM wako simpo. Mikutano yao beba kila Kona, wote sare, sera yao amani ndio itaawapa ushindi tena
Eti sayansi 🤣🤣🤣🤣
 
Hapa nazungumzia sayansi ya siasa sizungumzii uzuri au ubora wa sera za chama.

Mfano wamefanikia kuwaaminisha umma kuwa Raisi Ni mpole na msikivu na ameleta malidhiano na kuruhusu mikutano ya hadhara na kufuta kesi za wapinzani.

Ingawa Ni maridhiano uchwara. Since bado Sheria za uchaguzi, tume ya uchaguzi na wabunge wasio na chama kuwepo bungeni na kutochukuliwa hatua yoyote zaidi ya kubuy time tu. Bado miongoni mwa watanzania maridhiano hayo yanaonesha lidhaa ya CCM na ukolofi wa CHADEMA hadharani.

Baada ya CHADEMA kujenga sera kupitia tafiti za siasa.
1 . Watu wanakero gani
2. Watu wanataka kusikia nini
3. Watu wanaamini nini.
4. Kwanini bado watu wanaipenda ccm na kwa kiasi gani?
5. Sera kuhusu nini zinaweza kuwavutia.
6. Namna ya kufikisha sera zao. Hasa kwa watu wasiohudhuria mikutano ya siasa.
7. Watu wanaaminishwa nini kibaya kuwahusu na wanajihami vipi?

Wao wanafanya siasa za hasira baada ya kubinywa kwa mda mrefu na kupokonywa haki.

Akili ikiwa na hasira haifikirii kwa usahihi ata kidogo. Wanachofanya Ni kufoka kwa hasira tu. Kutafuta maneno magumu na kashfa na kuonekana wakorofi kwa watanzania wengi ambao Ni waoga na masikini.

Hii sio kwa bahati mbaya. Hivi Martin Luther King aliwezaje kujenga hoja zenye nguvu bila kutukana? Bila kashfa na watu wakamuelewa!!!!.

Kunakero na changamoto nyingi Sana Sasa na sio bandari tu. Mazao watu tumeminywa hasa. Sio korosho, kahawa Wala pamba. CHADEMA wako bize na bandari tuu huku tumbaku zetu zinanunuliwa Bei duni Sana, pamba zetu, choroko na CCM wanakusanya fedha za uchaguzi. Wao wako bize na bandari tu.

CHADEMA chukua hatua. Mikutano yenu iwe darasa. Andaaeni mada vizuri. Watu waelewe sera zenu. Watanzania wengi elimu duni. Bado mnatumia lugha ngumu
CCM wako simpo. Mikutano yao beba kila Kona, wote sare, sera yao amani ndio itaawapa ushindi tena
CCM wanapendwa? mwandishi iko serious kweli? Kama CCM wanapendwa unajua ni kwa Nini wanawategemea Polisi kupata matokeo? CCM sanduku lao la kura ni TISS na Polisi, bila hao, kesho tu asubuhi hawapo.
 
Hapa nazungumzia sayansi ya siasa sizungumzii uzuri au ubora wa sera za chama.

Mfano wamefanikia kuwaaminisha umma kuwa Raisi Ni mpole na msikivu na ameleta malidhiano na kuruhusu mikutano ya hadhara na kufuta kesi za wapinzani.

Ingawa Ni maridhiano uchwara. Since bado Sheria za uchaguzi, tume ya uchaguzi na wabunge wasio na chama kuwepo bungeni na kutochukuliwa hatua yoyote zaidi ya kubuy time tu. Bado miongoni mwa watanzania maridhiano hayo yanaonesha lidhaa ya CCM na ukolofi wa CHADEMA hadharani.

Baada ya CHADEMA kujenga sera kupitia tafiti za siasa.
1 . Watu wanakero gani
2. Watu wanataka kusikia nini
3. Watu wanaamini nini.
4. Kwanini bado watu wanaipenda ccm na kwa kiasi gani?
5. Sera kuhusu nini zinaweza kuwavutia.
6. Namna ya kufikisha sera zao. Hasa kwa watu wasiohudhuria mikutano ya siasa.
7. Watu wanaaminishwa nini kibaya kuwahusu na wanajihami vipi?

Wao wanafanya siasa za hasira baada ya kubinywa kwa mda mrefu na kupokonywa haki.

Akili ikiwa na hasira haifikirii kwa usahihi ata kidogo. Wanachofanya Ni kufoka kwa hasira tu. Kutafuta maneno magumu na kashfa na kuonekana wakorofi kwa watanzania wengi ambao Ni waoga na masikini.

Hii sio kwa bahati mbaya. Hivi Martin Luther King aliwezaje kujenga hoja zenye nguvu bila kutukana? Bila kashfa na watu wakamuelewa!!!!.

Kunakero na changamoto nyingi Sana Sasa na sio bandari tu. Mazao watu tumeminywa hasa. Sio korosho, kahawa Wala pamba. CHADEMA wako bize na bandari tuu huku tumbaku zetu zinanunuliwa Bei duni Sana, pamba zetu, choroko na CCM wanakusanya fedha za uchaguzi. Wao wako bize na bandari tu.

CHADEMA chukua hatua. Mikutano yenu iwe darasa. Andaaeni mada vizuri. Watu waelewe sera zenu. Watanzania wengi elimu duni. Bado mnatumia lugha ngumu
CCM wako simpo. Mikutano yao beba kila Kona, wote sare, sera yao amani ndio itaawapa ushindi tena
Hizo siasa za kuchoma magari ya upinzani na kukatanza watanzania kuzunguka ndani ya nchi ya ndio siasa za akili? We kweli mavi.
 
Hapa nazungumzia sayansi ya siasa sizungumzii uzuri au ubora wa sera za chama.

Mfano wamefanikia kuwaaminisha umma kuwa Raisi Ni mpole na msikivu na ameleta malidhiano na kuruhusu mikutano ya hadhara na kufuta kesi za wapinzani.

Ingawa Ni maridhiano uchwara. Since bado Sheria za uchaguzi, tume ya uchaguzi na wabunge wasio na chama kuwepo bungeni na kutochukuliwa hatua yoyote zaidi ya kubuy time tu. Bado miongoni mwa watanzania maridhiano hayo yanaonesha lidhaa ya CCM na ukolofi wa CHADEMA hadharani.

Baada ya CHADEMA kujenga sera kupitia tafiti za siasa.
1 . Watu wanakero gani
2. Watu wanataka kusikia nini
3. Watu wanaamini nini.
4. Kwanini bado watu wanaipenda ccm na kwa kiasi gani?
5. Sera kuhusu nini zinaweza kuwavutia.
6. Namna ya kufikisha sera zao. Hasa kwa watu wasiohudhuria mikutano ya siasa.
7. Watu wanaaminishwa nini kibaya kuwahusu na wanajihami vipi?

Wao wanafanya siasa za hasira baada ya kubinywa kwa mda mrefu na kupokonywa haki.

Akili ikiwa na hasira haifikirii kwa usahihi ata kidogo. Wanachofanya Ni kufoka kwa hasira tu. Kutafuta maneno magumu na kashfa na kuonekana wakorofi kwa watanzania wengi ambao Ni waoga na masikini.

Hii sio kwa bahati mbaya. Hivi Martin Luther King aliwezaje kujenga hoja zenye nguvu bila kutukana? Bila kashfa na watu wakamuelewa!!!!.

Kunakero na changamoto nyingi Sana Sasa na sio bandari tu. Mazao watu tumeminywa hasa. Sio korosho, kahawa Wala pamba. CHADEMA wako bize na bandari tuu huku tumbaku zetu zinanunuliwa Bei duni Sana, pamba zetu, choroko na CCM wanakusanya fedha za uchaguzi. Wao wako bize na bandari tu.

CHADEMA chukua hatua. Mikutano yenu iwe darasa. Andaaeni mada vizuri. Watu waelewe sera zenu. Watanzania wengi elimu duni. Bado mnatumia lugha ngumu
CCM wako simpo. Mikutano yao beba kila Kona, wote sare, sera yao amani ndio itaawapa ushindi tena

Ni sawa na mtu aseme huyu ng’ombe anatumia akili sana ku…

Swali la kwanza litakuwa, “hizo akili zenyewe anazo kwanza?”
 
Mkiendelea kusomba watu kwa malori mtakosa hela ya kuwalipa watumishi wa umma mishahara mapolisi na jeshi watawageuka
 
Akili ni kwenda kwa watu kujgeuza kinyonga.....mara huu ni mkataba halafu baadaye unajikanusha kuwa siyo mkataba
 
Hapa nazungumzia sayansi ya siasa sizungumzii uzuri au ubora wa sera za chama.

Mfano wamefanikia kuwaaminisha umma kuwa Raisi Ni mpole na msikivu na ameleta malidhiano na kuruhusu mikutano ya hadhara na kufuta kesi za wapinzani.

Ingawa Ni maridhiano uchwara. Since bado Sheria za uchaguzi, tume ya uchaguzi na wabunge wasio na chama kuwepo bungeni na kutochukuliwa hatua yoyote zaidi ya kubuy time tu. Bado miongoni mwa watanzania maridhiano hayo yanaonesha lidhaa ya CCM na ukolofi wa CHADEMA hadharani.

Baada ya CHADEMA kujenga sera kupitia tafiti za siasa.
1 . Watu wanakero gani
2. Watu wanataka kusikia nini
3. Watu wanaamini nini.
4. Kwanini bado watu wanaipenda ccm na kwa kiasi gani?
5. Sera kuhusu nini zinaweza kuwavutia.
6. Namna ya kufikisha sera zao. Hasa kwa watu wasiohudhuria mikutano ya siasa.
7. Watu wanaaminishwa nini kibaya kuwahusu na wanajihami vipi?

Wao wanafanya siasa za hasira baada ya kubinywa kwa mda mrefu na kupokonywa haki.

Akili ikiwa na hasira haifikirii kwa usahihi ata kidogo. Wanachofanya Ni kufoka kwa hasira tu. Kutafuta maneno magumu na kashfa na kuonekana wakorofi kwa watanzania wengi ambao Ni waoga na masikini.

Hii sio kwa bahati mbaya. Hivi Martin Luther King aliwezaje kujenga hoja zenye nguvu bila kutukana? Bila kashfa na watu wakamuelewa!!!!.

Kunakero na changamoto nyingi Sana Sasa na sio bandari tu. Mazao watu tumeminywa hasa. Sio korosho, kahawa Wala pamba. CHADEMA wako bize na bandari tuu huku tumbaku zetu zinanunuliwa Bei duni Sana, pamba zetu, choroko na CCM wanakusanya fedha za uchaguzi. Wao wako bize na bandari tu.

CHADEMA chukua hatua. Mikutano yenu iwe darasa. Andaaeni mada vizuri. Watu waelewe sera zenu. Watanzania wengi elimu duni. Bado mnatumia lugha ngumu
CCM wako simpo. Mikutano yao beba kila Kona, wote sare, sera yao amani ndio itaawapa ushindi tena
Unafikiri ccm wanashinda uchaguzi kwa sera au kusimamia amani? Dola na Tume isiyokuwa huru ya uchaguzi ndio siri ya ushindi wa ccm.
 
Hapa nazungumzia sayansi ya siasa sizungumzii uzuri au ubora wa sera za chama.

Mfano wamefanikia kuwaaminisha umma kuwa Raisi Ni mpole na msikivu na ameleta malidhiano na kuruhusu mikutano ya hadhara na kufuta kesi za wapinzani.

Ingawa Ni maridhiano uchwara. Since bado Sheria za uchaguzi, tume ya uchaguzi na wabunge wasio na chama kuwepo bungeni na kutochukuliwa hatua yoyote zaidi ya kubuy time tu. Bado miongoni mwa watanzania maridhiano hayo yanaonesha lidhaa ya CCM na ukolofi wa CHADEMA hadharani.

Baada ya CHADEMA kujenga sera kupitia tafiti za siasa.
1 . Watu wanakero gani
2. Watu wanataka kusikia nini
3. Watu wanaamini nini.
4. Kwanini bado watu wanaipenda ccm na kwa kiasi gani?
5. Sera kuhusu nini zinaweza kuwavutia.
6. Namna ya kufikisha sera zao. Hasa kwa watu wasiohudhuria mikutano ya siasa.
7. Watu wanaaminishwa nini kibaya kuwahusu na wanajihami vipi?

Wao wanafanya siasa za hasira baada ya kubinywa kwa mda mrefu na kupokonywa haki.

Akili ikiwa na hasira haifikirii kwa usahihi ata kidogo. Wanachofanya Ni kufoka kwa hasira tu. Kutafuta maneno magumu na kashfa na kuonekana wakorofi kwa watanzania wengi ambao Ni waoga na masikini.

Hii sio kwa bahati mbaya. Hivi Martin Luther King aliwezaje kujenga hoja zenye nguvu bila kutukana? Bila kashfa na watu wakamuelewa!!!!.

Kunakero na changamoto nyingi Sana Sasa na sio bandari tu. Mazao watu tumeminywa hasa. Sio korosho, kahawa Wala pamba. CHADEMA wako bize na bandari tuu huku tumbaku zetu zinanunuliwa Bei duni Sana, pamba zetu, choroko na CCM wanakusanya fedha za uchaguzi. Wao wako bize na bandari tu.

CHADEMA chukua hatua. Mikutano yenu iwe darasa. Andaaeni mada vizuri. Watu waelewe sera zenu. Watanzania wengi elimu duni. Bado mnatumia lugha ngumu
CCM wako simpo. Mikutano yao beba kila Kona, wote sare, sera yao amani ndio itaawapa ushindi tena
Na hasa kuchoma magari
 
Back
Top Bottom