Mangi wewe sijui leo umebugia vikombe vingapi mbege? Hiki chama ni kipya na sitashangaa kama watu wengi hawajui kirefu chake. Hizo itikadi mimi nimekuwa nazo hata kabla ya kujua kuna mtu anaitwa Mwanakijiji. Sasa sijui "biasness" inatoka wapi na propaganda zinatoka wapi katika mimi kuuliza kirefu cha CCJ. Na huwezi kunipangia mpangilio wangu wa kuuliza maswali. Mimi nauliza kwa kadri yanavyonijia kichwani.
Punguza jazba na hisia. Upokeaji wako wa mambo ni wa kihisia zaidi kuliko kiakili. Nimeuliza kwa nia njema kabisa ya kutaka kujua kirefu chake baada ya kugundua kuwa siifahamu. Sasa Mwanakijiji amesema tuulize yote ambayo tungependa kujua kuhusu CCJ. Ubaya uko wapi kwa mimi kuuliza kirefu chake ni nini kama sikijui?
"unnanana sana na mwanakijiji" unajitahidi sometimes "wewe si yeye" naamini kuna watu wana majina mawili mawili kwasababu ya unafiki!wanajidai wao ni perfect kwasana na badala ya kutumia majina yao wanayoheshimika nayo na kuwa real watever da ef case,wanakuwa macowrds na kuwa feki kuandika ujinga na matusi!i havent bought it,lakini i dont really give a rat ass about mi,i am real and i'ma ef satayin da ef real 4ever, im mi so wat?na sina haja ya kutumia many than one name about it,eti hisia zaidi ya akili,wewe ndio unahisi niko juu ya mbege na kuhisi kwamba naendeshwa na hisia! we mdosi tu very out of touch!
We ni mtu wa mtandaoni na hauna mwelekeo wa kuwaza kama mwananchi wa kawaida,mwananchi ambaye hata chama hicho chama cha ccj ndiyo kina watarget zaidi.
Nilishakwambia kuwa sikupangii nini cha kusema lakini bado umerudia kusema kuwa nakupangia cha kusema! Si unaongozwa na "kwenda personal all the time mtu anapo question somthing on your post!
Logically kama uko very interested na mambo mengine kabla hata ya jua jina la chama(kwasababu majina mara nyingi hubeba mwelekeo wa chama) mategemeo ni kwamba ungeshajua tayari jina la chama,maswali uliyoyauliza hapo nyuma yanatoa mwelekeo kwamba ulitakiwa uwe ushajua info hiyo,na si hisia....we cjui mtanzania gani?mara nyingi unapost out touch "shit" fareal! Na kama mtu unayeshinda hapa JF kujidai kwamba hujui ni nafiki mtupu,tulikuwa kule kwnye mjadala wa kuhusu ccj na maelezo yalitolewa wazi kabisa kuwa ccj stands for chama cha jamii,na wengine kuanza kuspeculte "sisije?"
Mwisho kwasababu ya anynomity kuruhusiwa hapa JF, STILL I AINT NO PUBLIC FIGURE,or a celebrity we unahisi evry day mi ni mchaga,na mimi sikutaka kuhisi kwamba wewe ni mwanakijiji,mgoni ama ama mwenyeji wa mtwara, i always that aint da case coz yu sound flani hivi msikufiche!
Yani wewe unakubaliana na mwanakijiji kwamba ni hisia watu wanaongozwa nazo ukanitolea mimi mfano na yeye hapo awali akidai eti hajui hisia za Tendwa kwa maana akiamini kuwa anaongoza kwa hisia,lakini kwasababu ya ushabiki wako wa "kishoga shoga" ushanigeukia mimi na kudai naongozwa na hisia badala ya si akili, hapo sishangazwi coz nilisha mention biasness yako,na vijimaswali vyako rahisi rahisi ambavyo ni vya kufurahishana kama vile viko pre arraanged,mtapewa nchi watu ambao hamjui namna ya ku react?aaegh,halafu tusije kushangaa na fikra zako za "Kinyani" ukapewa uongozi ama kaposition flani hivi kifisadi fisadu,bado safari ni ndefu kama eti we ndo mwenye akili!
Ukiona hivyo basi perfomance yetu ya uelewa ni ya kushtusha!
Very out of touch on real and normal Tanzanians lives,mtandao peke yake hautoshi kuyajua mambo flani flani.
Kwa kusema natumia hisia bila akili huo ni us**** wa kiakili!
Sometimes una vijimaneno vya "kishoga shoga" sikufichi mkuu,neat pickin*2 za kipuuzi puzi tu,mara sijui how i type,eti sijui mangi kuwa hivi ama vile,ooh cjui grow up and all dat ef crap,unapenda kupeleka watu personal sana,unajuwa wewe umefungiwa mara ngapi kwa mambo ya kipuuzi?Juzi tu umetoka kwenye "Ujulius" na kurudia "Unyani" wewe ndiye ambaye you dont grow up,n you still ef da same,huna haja ya kuniambai eti you had itikadi kabla ya kumjua mwanakijiji,under you anyonymity your ass can be enybody" so dont fool me "fool."
Acha upuuzi subiri majibu,nilishakwambia sikupangii cha kusema na we ndo "mjinga" kwa kutokusoma postings za wenzako vyema,hujui kuna watanzania wa tofauti humu we ni muhindi unayejibambikizia Utanzania na kuinsult uafrika,halafu ukijidai eti hiyo ndo akili!
:brick:
Mwanakijiji naye anadai eti hajawhi kukishabikia cama chochote cha kisiasa ccj ndo cha kwanzaa!eti nini?
Halafu pia anadai nisiseseme for a certain kwamba Dr Slaa ametoa mchango mkubwa sana kuhusiana na kuibuliwa kwa issue za ufisadi na kuwa na msimamo ule ule wa kizalendo hadi sasa,usiyo yumba,kamwe hatuwezi kuwatupa wazalendo eti kisa kuna chama kipya na watu wasiojibu maswali hapa,na kwamba eti kutokujulikana kwao ndo jambo zuri?Slaa anaheshimu watu humu ndani he's down to earth licha ya umaarufu wote alionao na anajibu maswali vyema bila vijimadharau,hao viongozi wa ccj wanamtumia mwanakijiji kwasababu wao anadai eti wamo humu lakini nadhani kwa majina bandia ama kama guests!
Tutasimamia misingi na hoja za maswali yetu tukipewa nafasi hiyo!
BTW your "ass" backwards....Unasoma kitabu kabla ya title na labda mwandishi?Acha uzembe Nyani na kuita wenzio wajinga maana wewe ndo tafsiri hiyo uliyoiweka hapo juu kuhusu mimi!