mimi sidhani kama mpinzani wa kweli wa CCM ameshapatikana, watanzania bado tuna chakura chakura kwenye pakacha, vyama viletwe tu tupate uwanja mpana zaidi wa kuchagua, upinzani wa kweli na nia ya kuongoza nchi hii utaonekana baada ya uchaguzi na sio wakati wa kuomba kura. chama bora cha upinzani kitakapopatikana wote wenye moyo wa kweli wa upinzani watajiunga nacho. watanzania wengi bado wana 'have a bite and spit out', nothing yet to swallow
Kwa sababu ndege ya usafiri wetu CCM imeanguka, vyama vya Upinzani walikuwa na wasiwasi nayo toka mwaka 1992, wakati hawa CCJ wakiwa wahudumu na waajiriwa wa shirika hili. Sasa baada ya kuanguka ndipo tunapata mawazo mengine toka kwao ya kutuchanganya akili zaidi..Kumbuka mkuu wangu wewe unazungumza kama mwanaCCJ sijui kama umesimama kama mpiga debe au mmoja wa viongozi hali mimi nazungumza kama mwananchi nayetaka kuokolewa..Imani yangu mwananchi kwako ndiyo muhimu kuliko maelezo yoyote yale na lazima ujali zaidi hofu ya mwananchi kuliko fikra zako wewe..
Nitarudia kusema hivi ile ndoto ya Ushindi haiwezi kuwepo kama hakuna muungano wa vyama. CCJ could be anything.. pengine ni watu wa Lowassa, Mkapa, Sumaye who knows..au hata JK mwenyewe anataka kujiengua CCM ya wazee na kuunda wagombea wapya through CCJ kama alivyofannya yule rais wa Malawi. Kifupi Ujio wa CCJ unatuchanganya zaidi sawa na hiyo misaada inayotolewa hivi karibu ya uchaguzi kama ni takrima au ndio ilikuwa Ilani ya mgombea. Mkuu mnatuvuruga tu akili zetu kuweni wazi. wakweli na kutazama ishara za wakati na ushindi, haya maswala ya kila kila mtu na usafiri wake ni maswala ya kutafuta orodha ya wanachama sio ushindi kwa Taifa zima.
Jmushi how old is your sister called Felister?
AND THEN WHAT? Kinda a kidish ah!:frown:
Kule Marekani mtu akisema yeye ni Republican tunajua anaegemea upande wa matajiri
Uncle tarrtiiibu,no biggie.....Yu no wat im sayin?Mind your own business
Hapa uko right...Kwanini hao walio nyuma ya CCJ wasijitokeze sasa mpaka wapime upepo wa kupita ama kutokupita kwenye kura za maoni CCM? Au kwa nini wasubiri mpaka bunge livunjwe rasmi ili kuonyesha wao ni CCJ? Je haitii mashaka kwamba pamoja na Mpendazoe kuacha uanachama CCM bado anapata mafao kama vile alikuwa mgombea binafsi? Kwa nini wasimsimamishe ubunge haraka kwa visingizio dhaifu kwamba bunge halijapata taarifa reasmi? So it is very obvious kwamba CCJ ni zubaisha *****, yaani mahali watu wote watakaona mwelekeo wao kisiasa hauwaendei vizuri CCM , basi wajiunge CCJ. Ya Mkapa na Kikwete kucheka dakika hizi....yanatia mashaka. I remain vigilant
Hapa uko right...Kwanini hao walio nyuma ya CCJ wasijitokeze sasa mpaka wapime upepo wa kupita ama kutokupita kwenye kura za maoni CCM?
Au kwa nini wasubiri mpaka bunge livunjwe rasmi ili kuonyesha wao ni CCJ?
Je haitii mashaka kwamba pamoja na Mpendazoe kuacha uanachama CCM bado anapata mafao kama vile alikuwa mgombea binafsi? Kwa nini wasimsimamishe ubunge haraka kwa visingizio dhaifu kwamba bunge halijapata taarifa reasmi? So it is very obvious kwamba CCJ ni zubaisha *****, yaani mahali watu wote watakaona mwelekeo wao kisiasa hauwaendei vizuri CCM , basi wajiunge CCJ. Ya Mkapa na Kikwete kucheka dakika hizi....yanatia mashaka. I remain vigilant
Nani amekuambia kuna watu nyuma ya CCJ nje ya hawa waliojitokeza?
You guys you have to move from this mentality..
I totally understand your sentiments.
Uncle tarrtiiibu,no biggie.....Yu no wat im sayin?
hadi uongee na wako kwanza,hapo vipi?Maana hiyo picha yako hapo kama kweli yako,basi mmnh!Ebana vipi wewe uliongea na sista lakini?
hadi uongee na wako kwanza,hapo vipi?Maana hiyo picha yako hapo kama kweli yako,basi mmnh!