Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Nawapeni elimu ndogo kabisa, Ni baba ndiye alikuwa/ anatafuta hela za kuwalipia ada shuleni, nguo, chakula, n.k. mama yenu alikuwa anapewa ila mkimuona anavyowalipia/ kuwapa mnadhani ni zake.
Nani kama mama ni misemo ya watoto/ vijana ambao bado hawana familia zao kujua mfumo kamili wa jinsi mambo yanavyokwenda
Kina baba washahatarisha maisha yao, wameshafedheheka, wameshasota na kufanya mambo mengi sana kwa ajili ya familia lakini sio waongeaji wala walalamikaji wa kuibua misoto yao pale watoto wakifanya ndivyo sivyo.
Nani kama mama ni misemo ya watoto/ vijana ambao bado hawana familia zao kujua mfumo kamili wa jinsi mambo yanavyokwenda
Kina baba washahatarisha maisha yao, wameshafedheheka, wameshasota na kufanya mambo mengi sana kwa ajili ya familia lakini sio waongeaji wala walalamikaji wa kuibua misoto yao pale watoto wakifanya ndivyo sivyo.