Cancer inachukua maisha yangu

Cancer inachukua maisha yangu

Pole sana mpendwa naelewa unavyojisikia sasa,miezi miwili iliyopita nilipata kuugua na nilipopimwa wakasema ni cancer nilipata hofu sana ila nilijifanyia ushauri nasaha mwenyewe na nikaukataa ugonjwa kwa jina la Yesu!nikaendelea kuomba nikililia uponyaji kwa wiki tano mfululizo!wiki iliyopita nikarudia vipimo nanikaambiwa sina hilo tatizo!kwa hiyo amini wewe ni mzima omba kwa imani kwa jina la Yesu utapokea uponyaji!
 
Pole sana Nyanyuka ujiwekee Happiness 24/7 Mwenyeezi mungu yupo na wewe just Cheka nae always. Na ukipata maji ya ZamZam yatakufaa. Utapona tu Mpendwa.AMINa
 
Hii ni wazo zuri mkuu, fanyia kazi. Mimi wife aliendaga kwenye hayo mahospitali ya wakenya, one of the famous clinic in Dar wakati wa ujauzito wake wakampima wakachukua mahela kibao wakaibuka na findings kwamba atajifungua mtoto kilema, unaweza ku imagine hali waliyompa wife, ni kulia tu kila siku hadi siku ya kujifungua! Ila nikamwambia twende sehemu nyingine na nyingine tukajiridhishe akagoma kabisa! Siku ya kujifungua ni huzuni tupu, nichokozee queen alietoka sasa, mzimaaaaaaaaaaaaaaaa!


Mkuu
Naungana na wote wanaokutakia uponyaji haraka. inatia moyo sana kuona wachangiaji wote wakitambua umuhimu wa kupeana moyo kwa mambo muhimu kama afya bya roho na mwili. Long live, JF. Ujumbe kwetu sote ni: Pima afya mara kwa mara ili uchukue hatua stahiki mapema kuondoa maradhi yanayoweza kuwa yamekupatanila hayajajitokeza wazi. I wish you well, brother!

PP
 
Sangarara, Pole sana kwa hayo matatizo makubwa, ila mtegemee MUNGU, Kwake hakuna lisilowezekana.

Mungu akuponye na kukurudishia afya yako njema
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu, mtafute dokta ndodi utapata tiba kama cancer haijafikia hatua mbaya kikubwa pesa tu, harafu nakushauri jaribu kupita hospital kubwa, unajua wakati mwingine wanasema unaumwa kitu fulani kumbe sio kweli.
 
Cancer mbaya na inamaliza vijana wengi nowadays. Pole sana, ila kama kuna.treatment endelea nayo coz kama stage 1 or 2 unaweza ku survive kwa muda tu. Cha mhm be strong, mana inategemea na wewe mwenyewe umeichkuliaje hio taarifa. Mimi mama yangu alifanyiwa ops ya cancer ya ziwa na kutolewa lote since 1990 na mpk leo ameweza ku survive coz she is strong. MashAllah
 
Pole sana Mkuu. Angalia kama kuna uwezo wa kuondoa figo liloathirika kwa vile unaweza kuishi vizuri tu na figo moja.
 
Mkuu Sangarara!!!!!

Mengi wamemaliza waliotangulia,inauma sana ila usikate tamaa yeye aliyetuumba hutupa mitihani mingi kabla ya umauti hili ni moja wapo lakini imani juu yake yeye ni tiba kubwa na ya kwanza.

Tuendelee kufanya vipimo zaidi kama walivyshauri wengine. Naamini kwa umoja wetu tunaweza
 
MKUU pole kwa yote manake Afya ndokila kitu ikiyumba hakuna kitu kinachoendelea Issue ya FIGO imekuwa serious sana niko Rafiki yangu 1 alikuwa shida hiyo ya FIGO bt yeye alilazimika kuingia MADENI kaenda kuponea INDIA anasema kwa muda aliokaa huko pamoja na Matibabu ametumia 70m ni PESA ndefu kwakweli lkn tunasema HASARA ni ROHO PESA C issue chek na maDR bt wackupotezee muda km Bajeti itaruhu Nenda INDIA huo C UGONJWA wakukaa nao hapa MJINI pole tena KIONGOZ pamoja sana! GAD B with U MKUU!
 
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.
dah,kwani huwezi itoa au ni figo zote?
 
Pole sana Nyanyuka ujiwekee Happiness 24/7 Mwenyeezi mungu yupo na wewe just Cheka nae always. Na ukipata maji ya ZamZam yatakufaa. Utapona tu Mpendwa.AMINa

mazoezi kwa wingi tiba mbadala inahusika sana pia Sangarara kuhakiki ni vizuri sana jamani hawa madr wakati mwingine mhhhh.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom