Tanesco Mwanza yapata hasara tsh 10 million

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,040
2,121
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Mwanza limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni kumi baada ya watu wasiofahamika kujenga njia ya umeme, kusimika nguzo tisa pamoja na kuunganisha nishati hiyo kwenye nyumba tano kinyume cha sheria tukio hilo limetokea katika mtaa wa Kagua Iramba kata ya Nyamhongolo manispaa ya Ilemela mkoani humo.
---

Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Mwanza limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni kumi baada ya watu wasiofahamika kujenga njia ya umeme, kusimika nguzo tisa pamoja na kuunganisha nishati hiyo kwenye nyumba tano kinyume cha sheria tukio hilo limetokea katika mtaa wa Kagua Iramba kata ya Nyamhongolo manispaa ya Ilemela mkoani humo.

Afisa Usalama wa TANESCO Mkoa wa Mwanza Jeverino Pembe amesema, watu wasiojulikana wamejenga njia ya umeme katika mtaa wa Kagua Iramba kata ya nyamhongolo manispaa ya Ilemela mkoani humo na kujiunganishia nguzo tisa kinyume na utaratibu ili waweze kujinufaisha kitendo ambacho kimeikosesha serikali mapato na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wateja kwa kuwa taratibu sahihi hazikufuatwa.

Kaimu meneja wa wilaya ya ki-TANESCO ya Nyakato, Mhandisi Johansen Mkurusi amesema, miundombinu iliyotumika kujiunganishia umeme kwenye nyumba kinyemela ikiwemo nguzo, nyaya pamoja na mita zitang'olewa na maafisa wa shirika hilo kutokana na kujengwa kinyume na utaratibu.
 
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Mwanza limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni kumi baada ya watu wasiofahamika kujenga njia ya umeme, kusimika nguzo tisa pamoja na kuunganisha nishati hiyo kwenye nyumba tano kinyume cha sheria tukio hilo limetokea katika mtaa wa Kagua Iramba kata ya Nyamhongolo manispaa ya Ilemela mkoani humo.
---

Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Mwanza limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni kumi baada ya watu wasiofahamika kujenga njia ya umeme, kusimika nguzo tisa pamoja na kuunganisha nishati hiyo kwenye nyumba tano kinyume cha sheria tukio hilo limetokea katika mtaa wa Kagua Iramba kata ya Nyamhongolo manispaa ya Ilemela mkoani humo.

Afisa Usalama wa TANESCO Mkoa wa Mwanza Jeverino Pembe amesema, watu wasiojulikana wamejenga njia ya umeme katika mtaa wa Kagua Iramba kata ya nyamhongolo manispaa ya Ilemela mkoani humo na kujiunganishia nguzo tisa kinyume na utaratibu ili waweze kujinufaisha kitendo ambacho kimeikosesha serikali mapato na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wateja kwa kuwa taratibu sahihi hazikufuatwa.

Kaimu meneja wa wilaya ya ki-TANESCO ya Nyakato, Mhandisi Johansen Mkurusi amesema, miundombinu iliyotumika kujiunganishia umeme kwenye nyumba kinyemela ikiwemo nguzo, nyaya pamoja na mita zitang'olewa na maafisa wa shirika hilo kutokana na kujengwa kinyume na utaratibu.
Haoni Tanesco wenyewe hao hao, hakuna mwingine
 
Line imejengwa hadi kukamilika - wahusika hawakuona
Wakazi wameomba umeme - bado wahusika hawajastuka
Mita na vifaa vimetoka ofisini - ....
 
Tanesco waache ujinga, unitolee mita nikose umeme wakati nyie ndo mliweka. Aisee tutaenda mahakamani.
 
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Mwanza limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni kumi baada ya watu wasiofahamika kujenga njia ya umeme, kusimika nguzo tisa pamoja na kuunganisha nishati hiyo kwenye nyumba tano kinyume cha sheria tukio hilo limetokea katika mtaa wa Kagua Iramba kata ya Nyamhongolo manispaa ya Ilemela mkoani humo.
---

Shirika la Umeme nchini (TANESCO) Mkoa wa Mwanza limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni kumi baada ya watu wasiofahamika kujenga njia ya umeme, kusimika nguzo tisa pamoja na kuunganisha nishati hiyo kwenye nyumba tano kinyume cha sheria tukio hilo limetokea katika mtaa wa Kagua Iramba kata ya Nyamhongolo manispaa ya Ilemela mkoani humo.

Afisa Usalama wa TANESCO Mkoa wa Mwanza Jeverino Pembe amesema, watu wasiojulikana wamejenga njia ya umeme katika mtaa wa Kagua Iramba kata ya nyamhongolo manispaa ya Ilemela mkoani humo na kujiunganishia nguzo tisa kinyume na utaratibu ili waweze kujinufaisha kitendo ambacho kimeikosesha serikali mapato na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wateja kwa kuwa taratibu sahihi hazikufuatwa.

Kaimu meneja wa wilaya ya ki-TANESCO ya Nyakato, Mhandisi Johansen Mkurusi amesema, miundombinu iliyotumika kujiunganishia umeme kwenye nyumba kinyemela ikiwemo nguzo, nyaya pamoja na mita zitang'olewa na maafisa wa shirika hilo kutokana na kujengwa kinyume na utaratibu.
Hao wananchi walikwisha omba huduma hiyo na mafundi wa Tanesco walitoa vifaa vyote toka Tanesco pamoja na orodha ya wahitaji, Tanesco isisitishe huduma bali iwashughulikie wafanyakazi wake waliotoa vifaa kwenye stoo ya Tanesco, magari na mafundi.
Wateja husika hawahusiki na utapeli huo kwani walomba kwa kutumia njia sahihi na mafundi walitumia orodha husika ya majina wakajichomeka kuitapeli kampuni yao.
Ushauri wangu kwa wananchi, Tanesco wakiwabughudhi nendeni mahakamani kudai fidia dhidi ya Tanesco ili ikathibitishe nyie mliwezaje kuwatumia mafundi wa Tanesco na vifaa vyao kujiunganishia umeme.
 
Back
Top Bottom