Bye bye rahatupu

Bye bye rahatupu

Hao wabunge nao wa.ji.nga tu waacha kutunga sheria kali kwa wauaji wa maalbino wanadeal na mambo ambayo hata hayagusi shida za watanzania walip wengi.. huu ni ujinga uliopitiliza sana.
 
Bungeni unapitishwa mswada wa Cyber crime.Ukisambaza picha za utupu jela na fine. So Nancy inabidi afunge tu hiyo blog no bongo certification tena.

updates
Nancy kasema blog inafungwa so watu wanadoenload mizigo mapema

ila mbona sio jukwaa lake hili.....!!!!
admin wamekula kipolo nini...!!!!
 
Kiswahili kinachanganya, hivi huy nancy anasambaza au ameweka hizo picha za utupu, kama anasambaza hiyo itakuwa inamuhusu ila kama ameweka tu na watu wenyewe ndio wanaofuata hiyo haimuhusu kabisa:tape2::tape2:
Hapa ndio umuhimu wa Tafsiri aliyoiomba Tundu Lissu inahusu.
 
Hivi watagusa na hapa JF kuLE Jukwaa la Mambo ya Kikubwa!
 
This new Bill.is.too.damn.much.against privacy.
Its a.right that.will be.violated.
Yani kunizuia.nisiangalie.porn,mwanaume.mzima am over 18???
Atakeshare in.public awe liable but sio.mm kumrushia.a friend ama lover!
 
Tz bana, kabla ya kufunga mafisadi wanaoyumbisha uchumi wa nchi mpaka wanaoutupa misaada wanasita kutoa wao hujenga hoja na vitu ambavyo havina hata maana,
 
Ni lipi hilo, tutajie jina basi.
Capture.jpg
 
funga hizi Blog za kishenzi, funga kabisaaaaaaaaaaa!!!!
 
Back
Top Bottom