Bye bye rahatupu

Bye bye rahatupu

Ingia rahatupu.blogspot.com hadi jana nancy katupia vitu,afu ww unasema rahtupu byebye???
 
wazee wa kurahatupika
haya sasa ...........................................

leo hii ameweka bango kabisaa download mapema blog inafungwa nimecheka sanaaaa
 
Ingia rahatupu.blogspot.com hadi jana nancy katupia vitu,afu ww unasema rahtupu byebye???

lakin kaweka na bango la bye bye akiwataka wadau kudownnload wanavyovitaka manake bog inafungwa hujaona?
 
Mi nshapaniki jaman wadau maana nimenunua smartphone ili nirahatupike wanaleta uduanzi ase vpi hawa majamaa hawajui mitandao itakosa wateja watu huku tunaeka GB sita kwa ajili ya kucheki mizigo chezea
 
Blog itaendelea huu ni utandawazi wakafunge dunia nzima kama kweli wanataka kuficha mambo ya wakubwa......bunge letu hakuna kitu


Google wamepiga marufuku ngono kwa watumiaji wa blogs. Na ilitangaza kuwa 23.03 ingekuwa mwisho wa blogs zote zinazoonyesha picha za ngono, unless iwe ni kwa ajili ya kuelimisha.
Kwa hiyo hata serikali isipopitisha mswada bungeni, bado blog ya rahatupu itafungwa...!
 
Kwani kitu kinaposambaa si lazima kuwe na chanzo?

Kiswahili kinachanganya, hivi huy nancy anasambaza au ameweka hizo picha za utupu, kama anasambaza hiyo itakuwa inamuhusu ila kama ameweka tu na watu wenyewe ndio wanaofuata hiyo haimuhusu kabisa:tape2::tape2:
 
Ila niliwahi kusikia kuwa serikali ya TZ haina uwezo wa kuhack info zinazopitia kwenye hizi application za simu kama whatsapp mpaka wasaidie na wamiliki wa hizo application... Je, ya kweli hayO?
 
Nimetaka tu kujua mkuu, Nakumkubali sana huyo jamaa afu nimeona avatar yako ni kama sura yake. asante kwa kujibu
 
Back
Top Bottom