Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,539
dah! ni nini tena hiki aisee
anataka kufa mwana jf mwenzetudah! ni nini tena hiki aisee
Nina msongo mkubwa wa mawazo
Sina raha tena hapa duniani
Nahitaji kutangulia mbele za haki
Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi
Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe
Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake
Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi
Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa
Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu
Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote
anataka kufa mwana jf mwenzetu
a we ni kaka yangu utamfirisi haiwezekani!acha hizo fanya tu
duh mtani mwache tu atangulie kama anaona ni suluhuHuyo hafi mtani....isipokuwa anataka kufariki dunia...
simfilisi mkuu nakuahidia we ni kaka yangu utamfirisi haiwezekani!
ha ha ha ha! humu ni zaidi ya vituko vyenyeweHuyo hafi mtani....isipokuwa anataka kufariki dunia...
duh mtani mwache tu atangulie kama anaona ni suluhu
Kwahiyo unapendekeza kifanyike nini??Sio kila kitu cha kuchukulia mzaha mzaha, hii taarifa siio taarifa ndogo, huenda tukamsaidia kama ni kweli lakini kama si kweli basi fahamu kuwa kuna wengine pia wenye msongo kama huo ulioelezwa na ambao kwa kutoa ushauri mzuri huenda tukawasaidia.
Sometimes MUNGU anaweza kumtumia mtu mwingine ili kuokoa mtu au watu wengine bila kujua! Rejea kisa cha yule jamaa aliyepeleka mtumbwi wake ukapakwe rangi, mpaka rangi akaona tundu kidgo kwenye mtumbwi ule akaamua kuliziba kisha akaendelea na kazi yake na hatimaye kurudisha mtumbwi ule, bila kujua watoto wakachukua mtumbwi wakaondoka nao, mwenye mali amerudi anakuta watoto wameondoka na mtumbwi huku akikumbuka kulikua na shimo, aliishia pozi. Ch akushangaza watoto walirejea salama na akaja kugundua kuwa yule fundi ndie aliziba lile tundu na hivyo kuokoa maisha ya watoto wale.
Huenda mleta mada akawa ndio tundu lenyewe, sisi wachangiaji tusimame upande wa fundi, hebu tuzibe tundu hili regardless ya kuwa linatuhusu au lah, huenda tukawaokoa wengine kwa kutoa ushauri mzuri. MUNGU akubariki
Una rafiki japo humu wa kutupa mrejesho?Nina msongo mkubwa wa mawazo
Sina raha tena hapa duniani
Nahitaji kutangulia mbele za haki
Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi
Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe
Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake
Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi
Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa
Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu
Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote