MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,040
- 859
Muokoe ili tuendelee kuisoma NAMBA pamoja mpaka 2020 hatutaki UJINGAGuys,,,tunampoteza huyu mtu,, seriously the situation is getting worse
Muokoe ili tuendelee kuisoma NAMBA pamoja mpaka 2020 hatutaki UJINGAGuys,,,tunampoteza huyu mtu,, seriously the situation is getting worse
Dah.... bange tu hii...mpe maji anywe mengi tu....😀😀😀😀Guys,,,tunampoteza huyu mtu,, seriously the situation is getting worse
wasalimie wajinga wenzio huko waliokutangulia. byeeeeeeNina msongo mkubwa wa mawazo
Sina raha tena hapa duniani
Nahitaji kutangulia mbele za haki
Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi
Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe
Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake
Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi
Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa
Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu
Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote
ha ha hamkuu naomba jina lako kamili mleta taarifa anaweza asilete kwa wakati?
mkuu naomba kama unapesa kwenye account yako nitumie ?
mkuu nakutakia safari njema huko uendako
Mkuu pole sana kwa hatua hiyo, kwani wanataka kumuua nyoka wako ndio maana unaogopa na wewe utakufa? duuuh maisha ya kutegemea nyoka si mazuri.tehe tehe teheNina msongo mkubwa wa mawazo
Sina raha tena hapa duniani
Nahitaji kutangulia mbele za haki
Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi
Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe
Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake
Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi
Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa
Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu
Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote
mbona hajibu yawezekana yupo serious .. malaika wa ulinzi mtokee hukoVitu hivi mnaweza kuchukulia kama mzaha kumbe MTU ndo anajiua kweli, kwenye psychology wanasema hakuna MTU anayejiua bila kutoa taarifa!
we mwanamke unapenda hela!! kaolewe na bank tu yaishemkuu naomba jina lako kamili mleta taarifa anaweza asilete kwa wakati?
mkuu naomba kama unapesa kwenye account yako nitumie ?
mkuu nakutakia safari njema huko uendako
niunganishr nayewe mwanamke unapenda hela!! kaolewe na bank tu yaishe
ha ha ha ha ha ha ha... yadunia kasheshe sanaFAIZHAD nakuomba umwahi ndugu yako umuokoe, ILI TUISOME NAMBA PAMOJA hatutaki UJINGA, lazima tuisome wote NAMBA hakuna kukimbia
nawivu sana ndo tatizo langu nimuunganishie mwengine wkt me pia nahaja!niunganishr naye
kamkamate mkuu mwambie asifeGuys,,,tunampoteza huyu mtu,, seriously the situation is getting worse
acha hizo fanya tunawivu sana ndo tatizo langu nimuunganishie mwengine wkt me pia nahaja!