Mzee Mswahili,
Ahsante kwa kutuletea hizi habari mkuu wangu, ni habari nzito hizi, tena sana, ninamuombea Marehemu kwa mwenyezi Mungu amlaze pema peponi, ni ustaarabu kuwapa muda ndugu na jamaa wa marehemu waweze kuzika na kuomboleza,
But, nina promise one thing!, kuwa hapa forum tuta-get to the bottom of this thing, enough, hiki kifo kinafanana sana na Marehemu Ipyana, ambaye in his case ilikuwa sambusa, nasikia safari hii ilikuwa ni samaki!
Sasa fasten Your Belt, kuna mzee mmoja ambaye amekuwa akiwatumia text message watu mabli mbali toka kifo kilipotokea, tunauliza baba kulikoni ya Ngoswe yakakuhusu mpaka kutumia hela zako zote hizo kutuma hizo message?
Mungu amlaze pema marehemu, Amina!