Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,443
wewe jibu swali bana !
Kadampinzani,
Naona tunakwenda mbali sana. Kama huwezi kuelewa ninaloandika basi niulize nifafanue, na usipokubaliana nami pia useme na kwa kwa nini hukubalini nami; hiyo itanisadia na mimi kujifunza kutoka kwako. Mambo ya kushambuliana hayatusadii lolote. Nilipotofautisha science na scientism ulinielewa kweli? Kama umenielewa hayo maneno ya "kuna mtu kasema science na uchawi sijui nini na nini" na hapa kunishupalia kuwa "wewe jibu swali bwana" yanatoka wapi.
Mwanzoni nilichukulia swali lako kama swali la kawaida na nikakujibu very sincerely kwenye post yangu hapa. Lakini sasa naona umezidi kuwa too personal na nadhani kuwa hatuwezi kuendelea kujadiliana namna hiyo. Afterall hayo mambo haya hayana uhusiano sana na mada hii, tunai-dilute bure.