Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Ukikubali kuolewa usilale na chupi = Ukikubali ukobe usichukie gamba = Ukikubali unyinyiemu usikatae kuitwa punguwani!
 
Kipindi alipoteuliwa kuna member alimwaga cv yake ndefu nikaiponda kwa kusema hata ukiwa na cv nzuri ukishakuwa ccm ni mbovu tu lakini nilishukiwa na Matusi nikaondoka bila kuaga sasa nafikiri majibu yake yamepatikana
 
nina wasiwasi na vile vitabu mkuu wa kaya anavyotumia kuwaapisha wateule wake. kwa nini kile aliyeapishwa kwa kutumia hivyo vitabu anabadilika akili?
 
nimeshindwa kushangaa wakat mwigulu akitoa pumba zake wazir mpya wa madin ambae namjua kwa msimamo alikuwa anapiga makofi kwa style ya umagamba ushabiki usio na tija sidhan kama nimeona sahihi maana huwa namuamin sana muhongo . siamin kumpigia makofi pumba za mwigulu na tena kwa mikon miwil umisaidie kama nimeona vibaya

ELIESKIA: Wahi kumuona daktari wa magonja ya akili, ninakufahamu vema sie yule ninae kujua miaka yote hiyo. Tafadhali yale matatizo yako na zile pesa ulizopoteza jaribu kuwa jasiri usipotoke zaidi. Ukubali kushindwa tafakari ndugu yangu nakusihii
 
mwigulu tulikuwa nae chuo pale mlimani alikuwa anajiita chief nadhani ni jina alilotoka nalo Mkwawa lakini alikuwa anaonekana dhahiri ni mtu alietoka familia maskini wa kutupa, sa nikiskia hayo makelele yake nakumbuka ule msemo unaosema maskini akipata ...... hulia mbwata.Hiyo mnayoisikia ni mbwataaa

Kwa hiyo kutokea familia ya "umaskini wa kutupa ni tatizo"? Wewe uliyetokea katika familia ya utajiri wa kutupa utawezaje kutusaidia sisi maskini wa kutupa pia?
 
Jamani Mwingilu nchemba huyu ndie Kichaa namba moja wa pili Lusinde na Baba yao ni Wasira na mjomba wa atakua Lukuvi hawa jamaa wana mtindio wa Ubongo
 
Lissu nae katoa matusi na kaambiwa afute, katumia neno 'silly'
naona mipasho inatikisa bunge.

Nchemba anasema Mbowe alirudisha gari la zamani kachukua jipya na kali zaidi
Mwongo we, hakuambiwa afute. aliambiwa asiendelee kutumia maneno yanayoudhi, lakini lisu alishindwa na ikabidi aendelee kuilima serikali kwa lugha ile ile!
 
Hivi huyu Mwigulu kufoka vile kama anagombeza watoto wake nyumbani kwake ndiyo nini?huyu nina mashaka kama alipitia kule Mzumbe kusomea ethics za uongozi.Maana jamaa aliwalowesha mate majirani zake mpaka nikasema eeeh sasa kumekucha.😛ray:
 
Politics is like madness. I don't what to do with Tanzania. Im not believing on constitution either. A ruling party use advantage of its control on judiciary, executive and legislature to remain for undefined period but longer in power. Many people believe changes in 2015 but I dream nothing to happen. Status quo will remain. I desire to suspend constitution and salvation committee for the betterment of the nation.
 
Aisee kumbe Mwigulu Nchemba hana akili kabisa. Anahitaji kupelekwa Mirembe CCM inakufa anaamua kutupa matope Bungeni kutukana upinzani waigizaji na vichaa na eti wana pepo mtaka vyeo.

Hasira zake nafikiri ni failure kule arumeru. Anataka kurudia yale ya Lusinde arumeru ama kweli CCM imekwisha. Ametupa bajeti ya Upinzani na kuiita rubbish

Huyu jamaa ni mkorofi,hata pale udsm alikuwa ni mkorofi fulani ambaye alikuja kubanwa kwa kutakiwa aandike maelezo kuwa hatajihusisha na siasa za chuo baada ya kuwa ku-organise mgomo wa kijinga pale,matokeo yake amemaliza chuo akishuhudia akina Zito wakila bata pale

 
magamba wefungwa gavana za kufikiri wakiwa bungeni,no hoja ni matusi bila shaka ndio maelekezo ya m/kiti wao
 
I appreciate to happen be behind the screen for the first time yesterday, in yet another silly session. Tundu's artistry and professional has just set the tone for magamba's reactions to shadow this whole silly season throughout.

Mosi ni kweli na wazi wabunge wa ccm HAWAJUI wajibu wao kabisa. Na kwa jinsi yule mzinzi alivyotoa povu utadhani yeye ni waziri/msemaji fulani wa serikali. Je anaweza kutaja na kubainisha ni kwa namna gani wananchi wake wa Iramba watafaidika na bajeti hii?

Ok, kuna waliodai Kamanda Lissu alikuwa kwenye kampeni.....yeah yeye ameonesha utumiaji mzuri na nafuu wa muda na rasilimali fedha kwa kutotomia OC funds kwa ajili ya Katiba Mpya na Elimu ya Uraia nk. Ni wengi watakaofaidika na ubunifu wa kichokozi wa Kamanda Lissu, na kama alivyohitimisha watu watachukua hatua na kuiunga CDM mkono na kukomesha dhuluma na ukoloni huu wa CCM.
 
Mheshimiwa Mwigulu nahisi anaupungufu wa akiri maana badala ya kuchangia hoja au kuipinga kageuza kibao na kuanza kuwashambulia wabunge waliopinga na kuwaita shetani haitoshi kaamua kuitupa bungeni bajeti ya upinzani na mwenyekiti kagoma kabisa kupokea mwongozo wowote ule na kuacha wabunge wakigeuza ukumbi wa bunge kuwa comedy,this is silly parliament

Ipo siku tutafika tu,Miongozo ni kwa wapinzania tu ila kwa ccm atawatukane wafanyeje amna muongozo.
 
Bajeti ya chadema ni ya uwendawazimu, hata ukiangalia lile jedwali walotoa la punguzo la kodi kwa mishahara ni ukichaa mtupu! siiungi mkono bajeti ya CCM chama changu moja kwa moja hasa maeneno ya matumizi yaserikali kama pocho na safari za nje, hapa sipaungi mkono lakini chadema no ! ile budget ilitakiwa aitwe mtu aliebobea katika nyanja za uchumi! ni wazi imetayarishwa na mtu ambae hana fani hiyo ! msitetee jamani! pale ni uozo !
 
Aisee kumbe Mwigulu Nchemba hana akili kabisa. Anahitaji kupelekwa Mirembe CCM inakufa anaamua kutupa matope Bungeni kutukana upinzani waigizaji na vichaa na eti wana pepo mtaka vyeo.

Hasira zake nafikiri ni failure kule arumeru. Anataka kurudia yale ya Lusinde arumeru ama kweli CCM imekwisha. Ametupa bajeti ya Upinzani na kuiita rubbish

Nchemba knows the words but misses their meaning!! anawaita wapinzani vichaa na wakati huo huo anafoka kwa jazba kumbe hajui jazba is a form of ukichaa kwa mtu kushindwa kudhibiti feelings zake. Nchemba ni kichaa kuliko Kibajaji.
Tumpe pole kwani si yeye au Nape na CCM wote hata waongee chumvi ziwatoke midomoni they can not save CCM, it is destined for only one place and that is the grave; RIP CCM
 
Back
Top Bottom