Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

Na sio kila mwenye degree first class ana akili,kuna wenye akili ya kukalili,ku DESA,maksi za Ch******* hata kwa wanaume especially wanaojilegeza kutegemeana na lecturer anatokea sehemu gani ya muungano etc hivyo sio ajabu na Mwigulu yuko among hizo groups,mtu mwenye degree 1st Class,aliyeisomea hawezi kuongea pumba kama za huyu jamaa,I hate him.
wengine mnadai ni 1st class (its not a big deal, maji marefu ana busara kuliko masaburi ya Nchumba) wekeni hapa JF tuone. Mambo ya msoma mashairi kusifia mistari yake si sawa!
 
Aisee huyo Mwigulu mfuska sio ametembea na mke wa mtu >>> Haya ndio wana CCM do you want to tell me anything good will come out of CCM NEVER they are all bunch of fools waiting to beat desks even if it is not worth listening,

 
Wewe hujamuelwa Muheshimiwa hapo alikuwa anaelekeza jinsi budget ya serikali ilivyo tofauti ya upinzani usipotoshe umma wewe.



Mkuu wewe ulimwelewa ,naomba kama ulimwelewa hebu tupo dondoo.
Mpaka sasa nashindwa kuwaelewa ccm,wao ndiyo walioleta mpango wa miaka mitano leo hii wanapohojiwa kutenga hizo fedha wanakuwa mbogo.Hakika siwaelewi!
 
Ukimwangalia ni kijana mzuri. Mtanashati Msomi na mtungaji wa hoja mzuri.

Wakati mwingine uwezo wake wa akiri tena za kukariri(knowledge) wa 90% ila hana uwezo wa kabisa wa kuchambua mambo kuyatafakari kumemfanya asijue anafanya nini. Kwa nini na kwa manufaa ya nani?

Huwa siamini nikimuona akimwaga pumba watu wakacheka ka mwehu. Ni msomi huyu? Tunamsaidiaje mwigulu nchemba.

Mi sitaki aahame chama. Sitaki adhalilike. Ila ata kama hawezi kusoma picha iko wazi. Kwanini asiishauri selikali kabla ije na mipango bora kuliko anavyoachwa baadae anakuja kutetea uovu.

Ka bajeti ya trn 13 imetekelezeka kwa 62% vipi hii ya 15trn isiyo na vyanzo mbadala. Anaua selikali yake kwani ikifeli zaidi ndo kifo cha ccm. NGELEJA na umahili wa kuongea bado kapigwa chini.

Tanzania ya wasomi ni vitendo kwanza. Anakuwa ka hadijakopa jamani Mwigulu.
Sura yako ki... ndo inayokufanya uwe na tabia za kid...

Mwigulu. Ebu jiulize Jf wote hawakupendi. Vyuoni wanakuona kituko. Wahariri wa magazeti wote wanakushangaaa kwa nini? Huwaoni akina Deo, Mpina, Stela, na Rema.

Badilika unatia kichefuchefu
 
Lakini leo kapata mwenza, ni george simba chawene. Waziri. Yaliyo mkuta singida si madogo,ndio yaliyomkuta mwigulu nchemba huko igunga. Jamaa kapata mwenza. Ccm wanajisikia raha sana. Eti chama kina vidume. Ccm bwana!!!.
 
Ukiona waziri anafanya kitu fulani atakuwa amejifunza toka kwa mkuu wake.Mnakumbka mambo ya wikileaks kwamba Jk is a regular customer @ kempisky n hire rooms on temporary bases.OK kumbe tunamjadili nchemba huyu jamaa ana thibitisha hypothesis kwamba ukiwa ccm akir huwa inahamia kwenye masaburi na unaikalia.Angalia watu wenye cv kali kama akina prof muhongo n dont forget cv ya dr balali ilivyokuwa kali lakin wanapokuwa ndani ya chama hawana tofauti na dr dhaifu yaani dr wa makalai na gentle g.p.a
 
:llama: Jamani mwenzenu anatafuta uwaziri :flypig:
 
Ukimwangalia ni kijana mzuri. Mtanashati Msomi na mtungaji wa hoja mzuri.

Wakati mwingine uwezo wake wa akiri tena za kukariri(knowledge) wa 90% ila hana uwezo wa kabisa wa kuchambua mambo kuyatafakari kumemfanya asijue anafanya nini. Kwa nini na kwa manufaa ya nani?

Huwa siamini nikimuona akimwaga pumba watu wakacheka ka mwehu. Ni msomi huyu? Tunamsaidiaje mwigulu nchemba.

Mi sitaki aahame chama. Sitaki adhalilike. Ila ata kama hawezi kusoma picha iko wazi. Kwanini asiishauri selikali kabla ije na mipango bora kuliko anavyoachwa baadae anakuja kutetea uovu.

Ka bajeti ya trn 13 imetekelezeka kwa 62% vipi hii ya 15trn isiyo na vyanzo mbadala. Anaua selikali yake kwani ikifeli zaidi ndo kifo cha ccm. NGELEJA na umahili wa kuongea bado kapigwa chini.

Tanzania ya wasomi ni vitendo kwanza. Anakuwa ka hadijakopa jamani Mwigulu.
Sura yako ki... ndo inayokufanya uwe na tabia za kid...

Mwigulu. Ebu jiulize Jf wote hawakupendi. Vyuoni wanakuona kituko. Wahariri wa magazeti wote wanakushangaaa kwa nini? Huwaoni akina Deo, Mpina, Stela, na Rema.

Badilika unatia kichefuchefu

Willy umekula nini mpaka umemsaliti mwenzio?
Au wokovu umeingia nyumbani mwako?
 
KWA NINI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM KILIMDHULUMU MWIGULU NCHEMBA HIVI KWA KUTOKUMFANYA AFANANE NA ALAMA ZA KI-TAALUMA HIZO ANAZOZIIMBA SANA?

Laiti Mwalimu wa Mwigulu Nchemba, pale Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, angefanikiwa kumrekebishia kijana huyu SPIDI ya kufikiri ikawa kubwa zaidi kuliko SPIDI ya kuongea sana mitaani, pengine hiyo 'A' yake anayoitembeza kila jukwaa ingepata maana na kutambulika zaidi hata bila ya yeye kulazimika kutumia nguvu nyingi mno kulitangaza katika jamii ya Tanzania.

Nasema Mtanzania yeyote hata yule ambaye hakuwahi kuona ndani ya darasa kunafananaje bado ANAO UWEZO wa kupambanua na kuelewa kwamba kama ndani ya Mwigulu kuna kitu alama ya 'A' kweli basi ni vema watu tukahoji uwezo wa aina ya watu aliokua nao darasani, uhusiano wake na huyo mwalimu mtoa alama isioridhisha jamii kabisa tena kwa vigezo vyote.

Naam, nasema wapo vijana wengi sana kote ndani ya CHADEMA, CCM, CUF na NCCR-Mageuzi ambao wala mtu hahitaji maelezo ya ziada juu yao kama waliwahi kuwa 'A'-Material au hapana.

Hakika kwa mtaji wa historia ambayo huyu kijana keshajiandikia kule kwenye uchaguzi mdogo Igunga, Arumeru Mashariki na hivi sasa pale sebuleni kwetu Dodoma; WaTanzania tuna maswali mengi mno juu yake kuliko majibu yanayopatikana hadi hivi sasa.

Ndio, ni matarajio ya jamii nzima kwamba Mtu mwenye alama za juu kitaaluma, popote duniani - matendo yake, ubunifu wa hali ya juu na matunda mazuri kwa jamii nzima, hoja maridhawa pamoja na aina ya lugha anayotumia kila wakati sirini au jukwaani bila shaka zitamtambulisha vema zaidi kuliko kitu kingine chochote kile.

Hata hivyo, Mwigulu Nchemba bado hajachelewa sana, kuna nafasi nyingine ya yeye mwenyewe kuweza kujifanyia tathmini binafsi na, pengine akiwa mkweli , huenda akatupongeza sisi vijana wenzake tunaomfanyia TATHMINI NA UPEMBUZI binafsi kwa lengo la kumjenga zaidi kuja kuwa kweli kiongozi anayetumainika.

Lakini kwa hivi sasa kwa huyu mwenzetu .... mmmmhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!
 
Uvunjifu wa ndoa za WaTanzania kwa nini uendelee kutokea kwa wabunge wetu toka Singida? Kuna tatizo wapi hadi hapo; kwa nini wanaharibu jina zuri la mkoa huu kama ambavyo sote tunaifahamu katika historia ya nchi yetu??
 
Ukimwangalia ni kijana mzuri. Mtanashati Msomi na mtungaji wa hoja mzuri.

Wakati mwingine uwezo wake wa akiri tena za kukariri(knowledge) wa 90% ila hana uwezo wa kabisa wa kuchambua mambo kuyatafakari kumemfanya asijue anafanya nini. Kwa nini na kwa manufaa ya nani?

Huwa siamini nikimuona akimwaga pumba watu wakacheka ka mwehu. Ni msomi huyu? Tunamsaidiaje mwigulu nchemba.

Mi sitaki aahame chama. Sitaki adhalilike. Ila ata kama hawezi kusoma picha iko wazi. Kwanini asiishauri selikali kabla ije na mipango bora kuliko anavyoachwa baadae anakuja kutetea uovu.

Ka bajeti ya trn 13 imetekelezeka kwa 62% vipi hii ya 15trn isiyo na vyanzo mbadala. Anaua selikali yake kwani ikifeli zaidi ndo kifo cha ccm. NGELEJA na umahili wa kuongea bado kapigwa chini.

Tanzania ya wasomi ni vitendo kwanza. Anakuwa ka hadijakopa jamani Mwigulu.
Sura yako ki... ndo inayokufanya uwe na tabia za kid...

Mwigulu. Ebu jiulize Jf wote hawakupendi. Vyuoni wanakuona kituko. Wahariri wa magazeti wote wanakushangaaa kwa nini? Huwaoni akina Deo, Mpina, Stela, na Rema.

Badilika unatia kichefuchefu

Jamani kuna kusoma ukaelimika na kusoma kwa maana ya kuhudhuria shule, Chemba ni msomi labda kwa maana ya kuhudhuria darasani, lakini msomi akitawaliwa na itikadi ya umimi anaacha kufikiri kwa kichwa badala yake anatumia tumbo kufikiri. huyo ndie Lameck Mwigulu chemba
 
Ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka.

Huyu jamaa anajichimbia kaburi lake mwenyewe.

Analopoka sana, anajitapa sana, anajiona amemaliza Tanzania na hakuna kama yeye au zaidi yake.

Anasahau kwamba siku moja yeye na ccm yake watakuwa wapinzani haijalishi chama gani kitashika madaraka hapo ndipo kilio na kusaga meno kitakapowadia.

Nadhani ni mbumbumbu wa siasa.
 
Ukimwangalia ni kijana mzuri. Mtanashati Msomi na mtungaji wa hoja mzuri.

Wakati mwingine uwezo wake wa akiri tena za kukariri(knowledge) wa 90% ila hana uwezo wa kabisa wa kuchambua mambo kuyatafakari kumemfanya asijue anafanya nini. Kwa nini na kwa manufaa ya nani?

Huwa siamini nikimuona akimwaga pumba watu wakacheka ka mwehu. Ni msomi huyu? Tunamsaidiaje mwigulu nchemba.

Mi sitaki aahame chama. Sitaki adhalilike. Ila ata kama hawezi kusoma picha iko wazi. Kwanini asiishauri selikali kabla ije na mipango bora kuliko anavyoachwa baadae anakuja kutetea uovu.

Ka bajeti ya trn 13 imetekelezeka kwa 62% vipi hii ya 15trn isiyo na vyanzo mbadala. Anaua selikali yake kwani ikifeli zaidi ndo kifo cha ccm. NGELEJA na umahili wa kuongea bado kapigwa chini.

Tanzania ya wasomi ni vitendo kwanza. Anakuwa ka hadijakopa jamani Mwigulu.
Sura yako ki... ndo inayokufanya uwe na tabia za kid...

Mwigulu. Ebu jiulize Jf wote hawakupendi. Vyuoni wanakuona kituko. Wahariri wa magazeti wote wanakushangaaa kwa nini? Huwaoni akina Deo, Mpina, Stela, na Rema.

Badilika unatia kichefuchefu

Mwigulu=Simbachawene
 
Lakini leo kapata mwenza, ni george simba chawene. Waziri. Yaliyo mkuta singida si madogo,ndio yaliyomkuta mwigulu nchemba huko igunga. Jamaa kapata mwenza. Ccm wanajisikia raha sana. Eti chama kina vidume. Ccm bwana!!!.
wote hao wanahitaji kumuona muheshimiwa msigwa haraka
 
Ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka. Huyu jamaa anajichimbia kaburi lake mwenyewe. Analopoka sana, anajitapa sana, anajiona amemaliza Tanzania na hakuna kama yeye au zaidi yake. Anasahau kwamba siku moja yeye na ccm yake watakuwa wapinzani haijalishi chama gani kitashika madaraka hapo ndipo kilio na kusaga meno kitakapowadia. Nadhani ni mbumbumbu wa siasa.
Binafsi ninavyomfahamu huyu jamaa hana akili kabisa za kimaisha na hata hizi za masomo bado sijaamini kama ni kweli.
 
Jamaa amewaumbua tu jipangeni upya, mapu.... Yenu yote yakawakimbia, asingekuwa na uwezo asingegungua bajeti kivuli imekosewa, rubish
 
Mwigulu amepoteza heshima yake kwa kuwa mwongo kila mmoja anajiuliza uongo huu kapewa bei gani ili ajimalize na kujiacha uchi in front of peoplez power
 
Back
Top Bottom