Kwanza,siungi mkono ongezeko la mshahara wa wabunge,kwani na wao wanatakiwa wau-uishi huu uhalisia wa maisha ulioopo mpaka pale watakapo ibana serikali katika kuinua hali zetu kiujumla.Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu,mfumuko wa bei n.k vyote vinaathiri uwezo wetu wa kumudu maisha siku hadi siku,wao si exception kwa namna yyte ile iwayo.
Lakini kwa upande mwingine naona kama umefanya makusudi tu kulifanya hili lionekane U-kigeu geu/weakness ya CHADEMA kwa sababu kilicho kuwa kinapingwa si ongezeko la mshahara bali allowances za vikao ambavyo kimsingi ndiyo kazi yao ya msingi/ofisi yao.Ni bora tukawa na mishara mizuri inayokidhi mahitaji kulingana na muda lakini kusiwe na vi-allowance vinavyo lemaza raia,i stand to be corrected though!